You must be really desperate you are now posting patrol boats armed with machine guns ?....post a battle ship that can engage Kns Jasiri or even Nyayo in maritime combat.Hahahahaha, Hahahahaha. Kuanzia Leo ukisikia Tanzania wanasifia JWTZ, usiseme kitu, acha wasifie.
KDF walirudi kwa KQ ama military plane? Afu SI uweke hiyo picha kdf wakiabiri KQ...afu weka ya JWTZ wakiabiri drimulaina.Huyo kichaa aliyeshangaa JWTZ kusafirishwa kwa dream liner, lakini a kushindwa kushangaa KDF wakiridishwa NYUMBANI kwa ndege mbovu baada ya kufukuzwa kutoka South Sudan na UN kwa kushindwa kutimiza majukumu yake ya kulinda RAIA, huyu jamaa unamkumbuka?
Nyinyi tunawaitia wale vijana was kongo...panga Boyz wamalize kazi Hadi Ikulu ya Dar.Hahahahaha, all those weapons are not older than 7 years, we bought them in 2014. We grounded our Mig 21, which are second generation like F-5, we replaced them with J-7 which are third generation.
Umeona nguvu za JWTZ baharini na An gani?, ndio sababu nikakuambia Kenya tunaweza kuikamata ndani ya masaa 36 kama tutashambulia kutoka Angani, baharini na nchi kavu. Sio mchezo JWTZ.
Unataka tupambane nao kutumia nini?? mapanga kama M23 rebelsNyie za kwenu mnazitumia wapi? Kupambana na Al Shabab ambao hawana hata helicopter?!
di
meanwhile did you know these rifles can pay salaries of more than 10 JWTZ personnel
View attachment 1108200View attachment 1108204View attachment 1108196
Police.... Tunaka wajeda sio manjagu
Hakuna unachokijua ikija kwenye nyuzi aina hii.. Rudi kwa kupiga picha ndugu. Hujielewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wanaume?Ahhh, Kwa hiyo hata huyo aliyobeba hilo rifle analipwa zaidi Au na yeye kabeba kifaa cha thamani kuliko Mshahara wake, Just asking .
Nimeona Kuna maeneo kadhaa nchi zetu zinatumia Rifle zinafana.
Hizi Naziona sana kwa wakenya, Tz pia wanazo ila zinaonekana mbaya sana [emoji1787]
1. View attachment 1108516
2. View attachment 1108517
3.View attachment 1108518
4. View attachment 1108519
5.View attachment 1108521
6.View attachment 1108522
7. View attachment 1108523
8.View attachment 1108524
9.View attachment 1108525
10. View attachment 1108526
View attachment 1108527
[/Q
I really like that gun though I can't remember the exact name.its a very nice submachine gun.
Hakuna unachokijua ikija kwenye nyuzi aina hii.. Rudi kwa kupiga picha ndugu. Hujielewi
apart from the Tavors and the M 16 most of your weapons are outdated .I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9Ahhh, Kwa hiyo hata huyo aliyobeba hilo rifle analipwa zaidi Au na yeye kabeba kifaa cha thamani kuliko Mshahara wake, Just asking .
Nimeona Kuna maeneo kadhaa nchi zetu zinatumia Rifle zinafana.
Hizi Naziona sana kwa wakenya, Tz pia wanazo ila zinaonekana mbaya sana 🤣
1. View attachment 1108516
2. View attachment 1108517
3.View attachment 1108518
4. View attachment 1108519
5.View attachment 1108521
6.View attachment 1108522
7. View attachment 1108523
8.View attachment 1108524
9.View attachment 1108525
10. View attachment 1108526
Kumbe wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi mnapambana nao kwa kutumia zana za kisasa za kivita na bado wanawatoa kamasi halafu bado mnajigamba mna jeshi bora!!! Tena basi ni ma-invetory mliyoanza kuyajaza baada ya kuanza na Al Shabaab! Are you serious?! Unajaza ma-invetory kwa ajili ya kupambana na kikosi cha wanamgambo wasio na mafunzo yoyote ya kijeshi?! Very sorry for you, mnadhani jeshi imara linapimwa for number of inventories tena ambazo zimenunuliwa with little military need!! Tuchezeeni siku moja kama hamjazikimbia hizo! No wonder nimewauliza mmewahi kupigana vita gani na mkashinda, hakuna hata mmoja aliyenijibu hilo swali!Unataka tupambane nao kutumia nini?? mapanga kama M23 rebels
apart from the Tavors and the M 16 most of your weapons are outdated .I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9
Wakenya naona mnakwepa swali langu! Nitajieni vita MOJA TU ambayo mmewahi kupigana na mkashinda!!! Ili kuweka kumbukumbu sawa, nalazimika kukukumbusha kwamba hata wanamgambo wa Al Shabaab ambao hawa mafunzo yoyote ya kijeshi na wenyewe mmewashindwa!!!KDF moto wa kuotewa mbali. Hongereni waKenya wenzangu. Mmewavua midanganyika 😂 bado hawaamini.
I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9
I even see cold war era Chinese weapons on pic number 9