Mantheman6
Senior Member
- May 30, 2020
- 169
- 144
Habari zenu wanaJF naimani wote mkoa poa tukisheherekea sikukuu ya miaka 60 ya Uhuru
Ndugu zangu kama ilivyo kawaida kila ifikapo 9 Desemba vikosi mbalimbali vya kijeshi huenda kutoa burudani kidogo kwa wananchi na viongozi wake kwenye uwanja wa uhuru
Sasa siku ya leo kiukweli nimefurahishwa sana kuona jeshi la uhamiaji wakiongezwa kwenye gwaride kwa mara ya kwanza.
Lakini kubwa zaidi nalotamani kufahamu ni kuhusu aina mbalimbali za vikosi vya jeshi la wananchi jwtz pamoja na majukumu yao.
Siku ya leo vimepita vikosi mbalimbali mbele ya rais lakini kuna baadhi ya uniform hatujazoea kuziona zikivaliwa na wanajeshi wetu lakini katika aina tofauti ya vikosi vilivyopita leo pale uwanja wa uhuru tulishuhudia gwanda nyeusi
Je hiki ni kikosi gani na wanamajukumu gani?
Lakini wapo pia wanaotofautiana kwenye rangi za kofia naomba kujuzwa kuhusu wao
Mwisho kabisa nipongeze jeshi letu kwa uzalendo waliotuonyesha leo hakika tupo imara
Ndugu zangu kama ilivyo kawaida kila ifikapo 9 Desemba vikosi mbalimbali vya kijeshi huenda kutoa burudani kidogo kwa wananchi na viongozi wake kwenye uwanja wa uhuru
Sasa siku ya leo kiukweli nimefurahishwa sana kuona jeshi la uhamiaji wakiongezwa kwenye gwaride kwa mara ya kwanza.
Lakini kubwa zaidi nalotamani kufahamu ni kuhusu aina mbalimbali za vikosi vya jeshi la wananchi jwtz pamoja na majukumu yao.
Siku ya leo vimepita vikosi mbalimbali mbele ya rais lakini kuna baadhi ya uniform hatujazoea kuziona zikivaliwa na wanajeshi wetu lakini katika aina tofauti ya vikosi vilivyopita leo pale uwanja wa uhuru tulishuhudia gwanda nyeusi
Je hiki ni kikosi gani na wanamajukumu gani?
Lakini wapo pia wanaotofautiana kwenye rangi za kofia naomba kujuzwa kuhusu wao
Mwisho kabisa nipongeze jeshi letu kwa uzalendo waliotuonyesha leo hakika tupo imara

