Juzi Mama akiapisha wateule umeme haukukatwa, leo Maulidi umekatwa

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,342
4,801
Ninafikiri lengo lilikuwa kuhakikisha hotuba ya Rais inasikilizwa na kuwafikia wananchi wengi. Mtazamo wangu ninaona hata kwa siku ya leo hawa watawala + tanesco wangefanya uungwani kuwaachia umeme wananchia hasa masikini wasiokuwa na uwezo wa kununua solar na generator. Na kwa kufanya hivyo pia INGEKUWA KUMPA KIPAUMBELE MUNGU . Ni vyema kumuheshimu Mungu kwa vitendo zaidi kuliko maneno ya mdomoni tu.

Ninaamini ingewezekana sana kuipa umuhimu siku ya leo kama ilivyokuwa juzi wakati wa uapisho wa viongozi.

NDIO MAANA MAMBO MENGI YANAKWAMA KWASABABU YA KUTOMPA UMUHIMU MWENYEZI MUNGU KWA VITENDO BALI WATAWALA WA NCHI NDIO WANAPEWA UMUHIMU ZAIDI. TAIFA LA MUNGU HATA SIKU ZA IJUMAA NA JUMAPILI WASINGESUBUTU KUKATA UMEME.
 
Kama huyo ndie yule Mungu aliyeandikwa eti alimfanya Pharaoh kuwa na moyo mgumu basi angeweza hata kuifanya mioyo ya wafanyakazi wa TANESCO wasikate umeme.

na nyie watu wa dini mnatakiwa mjiongeze mkiona hali hii mfahamu kabisa Mungu karuhusu hili liwapate
 
Kuna upungufu wa umeme na sio mgao
Jaman mnataka waongeaje??
Wauweni basi in makamba's voice
 
Ninafikiri lengo lilikuwa kuhakikisha hotuba ya Rais inasikilizwa na kuwafikia wananchi wengi. Mtazamo wangu ninaona hata kwa siku ya leo hawa watawala + tanesco wangefanya uungwani kuwaachia umeme wananchia hasa masikini wasiokuwa na uwezo wa kununua solar na generator. Na kwa kufanya hivyo pia INGEKUWA KUMPA KIPAUMBELE MUNGU . Ni vyema kumuheshimu Mungu kwa vitendo zaidi kuliko maneno ya mdomoni tu.

Ninaamini ingewezekana sana kuipa umuhimu siku ya leo kama ilivyokuwa juzi wakati wa uapisho wa viongozi.

NDIO MAANA MAMBO MENGI YANAKWAMA KWASABABU YA KUTOMPA UMUHIMU MWENYEZI MUNGU KWA VITENDO BALI WATAWALA WA NCHI NDIO WANAPEWA UMUHIMU ZAIDI. TAIFA LA MUNGU HATA SIKU ZA IJUMAA NA JUMAPILI WASINGESUBUTU KUKATA UMEME.
Mliposikia miezi 6 mlidhani mchezo?
Awali walisema mwisho mwezi wa 12.
Mara imekuwa miezi 6 yaani kutokea hii Septemba hadi mwezi Februari 2024
 
Mungu na maulidi havina uhusiano.

Maulidi ni mkusanyiko tu wa watu wenye kutenda dhambi wakiiitumia siku hii kuzini na kumchukiza Mungu
 
Mungu na maulidi havina uhusiano.

Maulidi ni mkusanyiko tu wa watu wenye kutenda dhambi wakiiitumia siku hii kuzini na kumchukiza Mungu
Mbona kuna Kuran na Bibilia na bado havifuati, itakuwa kijitabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom