Hatukatai kuilipa Dowans,lakini kabla ya kuilipa ni lazima tujue uhalali wa malipo hayo!!
We have failed to learn from similar previous cases! you are right!
Well said, aidha hao washtakiwe, wakilipwa kama alivyosema mwanakijiji waliovunja mkataba washtakiwe, Haponi mtu in either way!
well said, ni popularist and simply is dangerous than any other criminals! wo ndio waliotufikisha hapa, leo hii anasema sema tu na still kuna watu wanampigia makofi! poor Tanzanians!
Yes that is a fact whether we take it or leave it, talking words wont help it, lets all people who have caused this to be accountable. The accountable people still they are on our back to appeasing us!!!! yet some people call them heroes what a shame
Is high time to differentiate btn politics and professional..Mwakyembe is a politician in this case not a leader so to speak ! if he is a leader were was he when this case was filed and listened in the court where was his stand before HUKUMU??
Mitambo wameleta hawakuleta?Hawakuleta walirithi ya Richmond
Mitambo imejaribiwa haijajaribiwa?Haikujaribiwa
Mkataba ulivunjwa baada ya kuletwa mitambo au kabla?Hawakuwa na mitambo
Ukijibu hayo maswali utajuwa uhalali wa kulipwa Dowans uko wapi.Uko kwa JK na Mzee wako
Si uliona shida na dhiki tuliokuwa nayo wakati wa Nyerere kwa ubishi wake? Mwisho akasalimu amri, rejea LONRHO wakati wa Nyerere.
Haya kaseme sasa.....
Utachekwa kwa kusema uongo.
Mwakyembe huna uadilifu wowote,ulificha baadhi ya data wakati wa kamati yako kwa kisingizio cha serikali kuanguka,,,leo waendeleza unafiki ule ule kwa kushangaa,shame on you
Sasa Tutamwona Real Owner wa Dowans Holding SA Ajitokeze Kama Kweli Yeye ni Mwanamme. Watanzania Hatutoi Pesa kwa Malipo Mpaka Tujue Maswala Yafuatayo:
- Aliopigia Debe au Lobby On Behalf of Dowans Holding Kuingia Mkataba na Tanesco ni Nani?
- Dowans Ilisajiliwa Vipi au Tender Process Ilifanikishwa Vipi?
- Aliesaini Mkataba na Kukubali Tanesco wa Saini na Dowans ni Nani? (Najua Jibu Rostam, Lowasa na JK Hawakosi)
- Alichukua Uamuzi wa Kwenda ICC Badala ya Kuchallange Validity ya Mkataba wa Tanesco na Dowans ni Nani (Najua Jibu JK na Rostam wapo hapa)
- Utaratibu Gani Ulitumika Kumpata Arbitrator wa Kuwakalisha Chini Tanesco na Dowans?
- Sababu Gani JK Kakaa Kimya ICC Ilipotoa Maamuzi?
- Kwanini Baraza la Mawaziri Alihusishwi Kabla ya Maamuzi ya Mwisho? (Hii Process ya Malipo Inafanyiwa Ikulu)
- Kwanini Wizara ya Nishati na Madini na Tanesco Wana Harakisha Kuwalipa Dowans Wakati Bei ya Umeme Imepanda na Pia Hakuna Umeme Wakutosha?
- Kwanini Serikali Inalipa Kipaumbele "Dowans" Wakati Wastaafu Wengi Hawajalipwa Miaka Mingi Sasa na Pia Wizara Nyingi Hakuna Pesa (Elimu na Afya)? Serikali Inatoa Wapi Pesa?
Kwani Dowans ni kampuni ya Kitapeli? nini ilichotapeli?
Kuna mtu alisema Dowans ni kaburi la JK.
hebu acha kupotosha watu hapa hiyo redvco na rdl ni kampuni mbili tofauti na ndio maana kwenye report ya mwakyembe kulikuwa na hoja ya "trade as kwamba mojawapo ni jina la biashara na hiyo ya redvco ni kampuni ya ku-print i.e printing company nyingine iliyo tia saini na tanesco haipo kwenye usajili wowote.Naanza kuitilia shaka credibilty ya Harrison Mwakyembe. Sababu kubwa ni kutuambia kuwa Richmond Development ni kampuni hewa, wakati tunaona wanashitakiwa huko Merekani, sasa hawa mawakili watakuwa wanaishitaki kampuni hewa? Na hawa majaji wa Merekani kutoka April Mwaka jana wanasikiliza kesi ya kampuni hewa? Hapa panaanza kunifanya nimtilie mashaka huyu Mheshimiwa?
Dowans Holdings S.A. et al v. RDEVCO, LLC
Plaintiffs: Dowans Holdings S.A. and Dowans Tanzania Limited
Defendant: RDEVCO, LLC
Case Number: 4:2010cv01086
Filed: April 2, 2010
Court: Texas Southern District Court
Office: Houston Office
County: Harris
Presiding Judge: Nancy F. Atlas
Nature of Suit: Contract - Recovery of Overpayment and Enforcement of Judgment
Cause: 28:1332
Jurisdiction: Diversity
Jury Demanded By: Plaintiff
Source: Dowans Holdings S.A. et al v. RDEVCO, LLC :: Justia Dockets & Filings
Thank you. Hawa kina Dr. Mwakyembe na Sitta ni mavuvuzela ya CCM tu hawana lolote.
Walidandia hoja ya ufisadi na kujidai wapiganaji kumbe hamna kitu zaidi ya kuchumia tumbo tu.
mzee wa kariakoo hebu punguza uongo icc ina shughulika na kutatua migogoro ya kibiashara pande mbili zikikubaliana na hii ni kupunguza gharama za kesi kwenye mahakama za kawaida. hivyo tunaweza tusitekeleze hii hukumu na tukaendelea kufanya biashara na makampuni mengine. biashara za kimataifa zina kuwa regulated na unctad, na protocol zingine za kibiashara kama acp, eu, nk., hii mikataba ya icc pia hutumika zaidi kwenye nchi zenye serikali vigeu geu, ama sivyo sheria za tanzania au za nchi kakamavu zinafaa tu kutumika pale nia nzuri inapokuwepo kati ya muuzaji na mnunuzi. na si kila mkataba lazima uridhie mambo ya icc, na pia sio nchi zote zinaridhia kwenye usuluhishi wa icc. leo hii mimi ninapo nunua gari japan sio kufanya biashara? na je wakinipatia gari tofauti na nilivyo agiza nitaenda icc? ninaweza kufungua kesi huko japan, naweza nikawasiliana na afisa biashara katika ubalozi wao , naweza wasiliana na chambers of commerce yao nk nk, au naweza nikashitaki tanzania na wao wakatakiwa kuja kujitetea, wakikata mahakama inaweza wapiga marufuku kuleta bidhaa zao tanzania nk nkSoma vizuri hukumu, mkataba ni baina ya Dowans na Tanesco. ICC huwezi kukiuka hukumu yao na nchi ikikataa kulipa kitachofatia ni kutolewa kwenye uanachama wa ICC, sasa sijui hapo biashara zako utafanya na nani kwani nchi nyingi na bidhaa za biashara kubwa lazima ziidhinishwe na Chemba za biashara. Hapo ndio panakuwa patamu. Hili ni pigo kubwa kwa waTanzania.
Nilisema na ninasema tena, aliyesababisha hili ni yule aliyekurupuka na kuvunja mkataba halali na si yule aliyeweka mkataba.
Utachekwa kwa kusema uongo.
<br />Oh oh ....wait a minute Dr............chagua moja................. Siasa au Kushika Chaki............!!
Maamuzi ya ICC yana maanisha serikali imeshindwa,ni aibu kwa serikali na taifa kwa ujumla,Serikali ijiuzulu,iundwe serikali ya mpito.Waliokula njama, kuliibia na kusababisha hasara kubwa kwa taifa letu wafunguliwe mashitaka ya kuhujumu uchumi,ikibidi wanyanganywe urai,wafilisiwe mali zao zote,wanyongwe kama China.Hivi ni vita kama vita vya Kagera au vita vya kuzikomboa nchi kusini mwa Afrika.Mapambano bado yanaendelea.Tukisoma Taratibu Zenyewe za ICC Tunaona Kwamba Serikali ya JK na CCM Wamevunja Sheria za Tanzania na Kudharau Mahakama Kuu ya Tanzania. Tusome Hapa Chini Kutoka Website ya ICC:
Often the parties are from markedly different national, cultural and legal backgrounds.
They want to avoid litigation because they fear bias by national courts, are unfamiliar with national court procedures and want to be spared damaging publicity. ICC arbitration is an attractive alternative because it is international and confidential. Usually, it is less time-consuming and less expensive than litigation.
he Court organizes and supervises your arbitration and helps in overcoming obstacles. It does not itself resolve disputes, a task that is carried out by independent arbitrators. The Court makes every effort to ensure that the award is enforceable in national courts if need be, although in practice the parties usually comply
Under ICC Rules, the parties can choose the arbitrators, the place of arbitration and which rules of law should apply. They can even indicate a target date for completing the arbitration and estimate approximate costs in advance in full confidence that the Court will exercise control over the choice of the arbitrators, over the procedure, over the costs and over the award
Ukisoma Yote Haya Tutaona Jinsi Gani JK na Rostam Wametuchezea Ngoma Watanzania. Wanafikiri Hatujui Jinsi ya Kuresearch na Kupata Information Sahii. Huu Ndio Mwisho wa CCM na JK...