Just in: UDSM wafukuzwa



NB:

Napenda kuwatangazia mapema kuwa endapo uongozi utawapa viongozi wa DARUSO masharti ya kujinyonga ili warudi chuoni, msiwe na shaka HAWATATUABISHA!
 
Tanzanianjema,
Unafikiri hivyo?..
Labda hunifahamu vizuri ndugu yangu lakini mtu kama mimi siwezi kupendekezwa wala kupewa nafasi ktk kundi la washindi kwa sababu nitakuwa mzigo mkubwa sana.. eeeeh bwana wee mimi baba ubishi sii rahisi kubebeka hata kidogo. Tatizo kubwa ni kwamba nina Imani ya dini namuogopa Mungu na pia imani ya nchi kuiogopa sheria.
Kujiunga na hao jamaa inawezekana kabisa ikiwa watanipa nafasi kwa sababu haikatazwi kuingia msikitini/kanisani kuomba dua.
Na pengine JK anahitaji vichwa kama vyetu kuupata ushindi kwa njia halali na hilo fagio la chuma kuwa kwa viongozi wabaya!..
Nyerere kawahi kusafisha baraza zima la mawaziri!...nasikia kutokana na kichwa kimoja tu kilichomshauri!...
 
This has made my day, nauona moto wa activism kwa hawa vijana. Hapa walipofikia ningewaomba ndugu zangu wa vyama vya siasa wakae kimya, wasitie neno-wanaweza kuchafua hewa. Huyu dada Bernadetta ni kiongozi shupavu mpaka hapo!
 
FFU watanda Chuo Kikuu kusubiri amri



SOURCE: Nipashe

Serikali inatumia sana vyombo vya dola kunyanyasa wananchi wake?
 
Mwanasiasa hapa leo naona nikupinge unaposema wanasiasa wakae pembeni ni kosa kwani bila prtesha za wanasiasa chuo kisingelifunguliwa na hapo keshokutwa jumamosi watakuwa na mkutano mwingine kule tanga kuwaamsha watanzania ili kujua maana ya asilimia 40. kumbuka kule morogoro walifanikiwa kuamsha hisia za watanzania nami nawapa go ahead kuwani huwa hii serikali ya jk kazi yake ni kusikilizia tuu wakiona watu wnaelewa ukweli wanatafuta pa kutokea. kumbuka ishu za richmond hadi wanawatuma pcb,ishu nza malima vs mengi, nssf ona limekufa kwani hakuna wanasiasa waliolivalia njuga.
Wanasiasa tieni timu nchi imeuzwa hii.
 
Prof unakumbuka hapa?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…