Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,404
Labda ndo maana hujatumiwa..!!Mimi ningemjibu ''acha kunitumia meseji za kijinga kwenye simu yangu, Kwanza nani kakupa namba yangu!?
Labda ndo maana hujatumiwa..!!Mimi ningemjibu ''acha kunitumia meseji za kijinga kwenye simu yangu, Kwanza nani kakupa namba yangu!?
Paschal C'mon you're more than that.Mkuu Matrix19 watu hatulingani uelewa na hatufanani, sisi wengine ni washamba Sana!
Wangapi wanajua mambo ya push SMS?, nimepokea SMS ya Samia, inasema "Mimi Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakukaribisha.. " mtu asiye na uelewa na hayo mambo ya push SMS, atajuaje?. Mimi nimepokea SMS ya Rais wangu, kwa nini nisifurahi?.
Kwa sisi wengine, it's not embarrassing kuwa mashamba, Mimi ni mshamba fulani tuu, na mtu kuwa mshamba sio kosa!.
P
Na ikishaingia kichwani inakuwa kama ulemavu.Aibu nimeona Mimi..
Njaa mbaya
Unamaanisha ni matapeli wametutapeli kututumia sms ya kujfanya ni Mamaa?. Mimi naamini ni Mama.Halafu si yeye anayetuma..!!! Bulk sms imefanya kazi
Punguza kujipendekezaUnamaanisha ni matapeli wametutapeli kututumia sms ya kujfanya ni Mamaa?. Mimi naamini ni Mama.
p
Siyo matapeli, bali ni zile sms zinakuwa nyingi toka kwenye short code.. Binafsi nimetumiwa mbili hizi hapa chini;Unamaanisha ni matapeli wametutapeli kututumia sms ya kujfanya ni Mamaa?. Mimi naamini ni Mama.
p
Mtu wa kawaida mshamba kama mimi asiyejua mambo ya push sms, akipokea sms hiyo si ni ataamini ni kutoka kwa Mama?, kwanini asifurahi Mama kamtumia sms?.Siyo matapeli, bali ni zile sms zinakuwa nyingi toka kwenye short code.. Binafsi nimetumiwa mbili hizi hapa chini;
View attachment 2333897
View attachment 2333899
Mtu wa kawaida mshamba kama mimi asiyejua mambo ya push sms, akipokea sms hiyo si ni ataamini ni kutoka kwa Mama?, kwanini asifurahi Mama kamtumia sms?.
Acheni sisi watu wa kufurahi, tufurahi!.
P
Mkuu Mchokoo usituletee mambo yako ya ki... (jina lako) hapa, sisi binadamu tunatofautiana sana levels za ushamba, kuna sisi wengine tumekwea pipa toka tuko wadogo, hivyo tukikwea leo hatupigi picha wala kutuma status, wakati wale ambao ni mara yao ya kwanza, kwao its a big thing its a big deal!. Mimi mwenzenu hii ndio mara yangu ya kwanza kupokea sms ya rais wangu, hivyo its a big thing!. Acheni tuu washamba tufurahi!. Hata sisi tukiwa kwenye pipa, hatuwashangai wanaohangaika kuji selfisha, tunawaacha!, mtuache!. Tena sms ile siifuti naiacha as a souvenir!, SMS ya rais sio kitu kidogo!.Kufurahi au kutofurahi ni hiari yenu na wenzako unaowasema.
Tatizo ni pale unapotaka kuaminisha kadamnasi kwamba; kupokea hizo sms ni jambo kubwa!