Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,008
- 864,129
So here we go.... Hakuna kumi inaanza na sifurimtandao wa madawa ya kulevya, pia mtandao wa kanda yetu, msafisha fedha chafu, hakuna wa kushindana naye ana fedha mingi sana.
So here we go.... Hakuna kumi inaanza na sifurimtandao wa madawa ya kulevya, pia mtandao wa kanda yetu, msafisha fedha chafu, hakuna wa kushindana naye ana fedha mingi sana.
Makaburi yanafufuliwaMkuu Cv yake ni ya kichina four lever,unga magumashi masters mzumbe she has never attend class session ila amegraduate.unachezea pesa wewe!
Inshort uwezo wake ni mdogo sana yaan ukisikia unalamba joka then jirani analia last kadi ndiyo hii!
Ninachijua ni mgawaji wa K mzuri. Wakati anagombea ubunge wa kawe, kwa masikio yangu kutoka kwa aliyekuwa katibu wa ccm wa mkoa wa Dar kwao ni Kigoma na badaye kuwa naye Mbunge. Ila safari hii kadondoshwa na Baba Levo , Alihamia kwake kabisa. Niishie hapo maana kibarua chake CCM kiliota kwa jambo hiloNajua waliopiga kura (Wabunge) wamezingatia vitu vingi sana kumchagua mgombea yeyote aliyeshinda, huyu mama ameshinda kwa kura nyingi sana so am interested to know her in details hivyo kama kuna mwenye kumfahamu naomba nami nijue ueledi wa mwakilishi wetu huyu anayeenda kupambana na kina Professor Wanjiru wanotaka ardhi yetu kuliko kitu kingine katika jumuia hii! Naomba kuwasilisha
Wakati huo alikuwa anaidai serikali billion 2 imagine!!!! 2010Sina CV yake.
Huyo mama ni mweupe kichwani...aligombea Ubunge jimbo la Kawe 2010 na kugaragazwa na Halima...Alikuwa anaendesha kampeni zake kitoto sana...uwezo wake wa kupambanua mambo ni sawa na hakuna...wanakampeni wake walikuwa wanaporomosha matusi waziwazi..Kwa jinsi nilivyomtathimini wakati huo sijui wabunge wamevutiwa na kitu gani hadi kumchagua
Umempeleka lini? Pesa Yake ndo imemfikisha alipo. Punguzeni shoboTumepeleka mafisadi na makada wa Magamba. Uweledi na utaalamu kwa Magamba siyo kitu. Huyo Bernard Mrunya si yule fisadi mkubwa aliyekuwa TANAPA?
Nadhani swali kuu ni yake ? Yaani ameipata kiuhalali kwa kuongeza value kwa mwananchi au kwa kutumia shortcut ya kumuumiza mwenye nchi ?Umempeleka lini? Pesa Yake ndo imemfikisha alipo. Punguzeni shobo
Iwe halali au si halali haituhusuNadhani swali kuu ni yake ? Yaani ameipata kiuhalali kwa kuongeza value kwa mwananchi au kwa kutumia shortcut ya kumuumiza mwenye nchi ?
Sababu kama ni ya ujanja ujanja ambayo mwisho wa siku ni ya mlipa kodi ambayo ingebidi kuleta maendeleo basi huyu ni kama kupe myonya damu ambaye kuwepo kwake ni for the detriment ya jamii...
Nadhani walipa Kodi tukifahamu hilo basi tutakemea wizi / ufisadi na sio kuusifia kama ni ujanja
Mtoto yupi?Hebu muulizeni Mtoto wa rais mtaafu Mwinyi kuhusu CV ya Angela. There you can connect the dots. na mtajua nguvu imetokea wapi ya kushinda ubunge!
From magumashi to ikulu!!!!Na yupo ikulu siku hizi
Na hilo ndio tatizo kubwa, uelewa.....Iwe halali au si halali haituhusu
Alafu ngoma 2012 huko. Hii mitandao mizizi yake sidhani tutapata Rais atakuja kuimaliza.Makaburi yanafufuliwa
Kwanini wahangaike na mfano wa huyu na sio kina Diamond; Bhakhresa, Mo au watu kama hao ?Mtu kuwekeza mkihangaika na Jiwe Leo bilionea mnapiga mayowe