Just for my info, mwenye CV ya Angela Kizigha please!

Just for my info, mwenye CV ya Angela Kizigha please!

Escobar

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2011
Posts
574
Reaction score
444
Najua waliopiga kura (Wabunge) wamezingatia vitu vingi sana kumchagua mgombea yeyote aliyeshinda, huyu mama ameshinda kwa kura nyingi sana so am interested to know her in details hivyo kama kuna mwenye kumfahamu naomba nami nijue ueledi wa mwakilishi wetu huyu anayeenda kupambana na kina Professor Wanjiru wanotaka ardhi yetu kuliko kitu kingine katika jumuia hii! Naomba kuwasilisha
 
mtandao wa madawa ya kulevya, pia mtandao wa kanda yetu, msafisha fedha chafu, hakuna wa kushindana naye ana fedha mingi sana.

Mkuu Cv yake ni ya kichina four lever,unga magumashi masters mzumbe she has never attend class session ila amegraduate.unachezea pesa wewe!
Inshort uwezo wake ni mdogo sana yaan ukisikia unalamba joka then jirani analia last kadi ndiyo hii!
 
Mkuu Cv yake ni ya kichina four lever,unga magumashi masters mzumbe she has never attend class session ila amegraduate.unachezea pesa wewe!
Inshort uwezo wake ni mdogo sana yaan ukisikia unalamba joka then jirani analia last kadi ndiyo hii!

Heh! So tumeuzwa?
 
Heh! So tumeuzwa?

Hilo ni Galasa narejea kwenye mchango wangu katika moja ya thread iliyohusu uchaguzi huu ni fedha,hila na michezo michafu bila kuzingatia uwezo wa mgombea na tija kwa taifa.ukitaka kuprove hili ngoja afanyiwe interview ndiyo mtakubaliana na mimi.
 
Sina CV yake.
Huyo mama ni mweupe kichwani...aligombea Ubunge jimbo la Kawe 2010 na kugaragazwa na Halima...Alikuwa anaendesha kampeni zake kitoto sana...uwezo wake wa kupambanua mambo ni sawa na hakuna...wanakampeni wake walikuwa wanaporomosha matusi waziwazi..Kwa jinsi nilivyomtathimini wakati huo sijui wabunge wamevutiwa na kitu gani hadi kumchagua
 
Mkuu Cv yake ni ya kichina four lever,unga magumashi masters mzumbe she has never attend class session ila amegraduate.unachezea pesa wewe!
Inshort uwezo wake ni mdogo sana yaan ukisikia unalamba joka then jirani analia last kadi ndiyo hii!

mkuu umenichekesha sana hiyo ishu ya kulamba joka, afu last kadi.
 
Sina CV yake.
Huyo mama ni mweupe kichwani...aligombea Ubunge jimbo la Kawe 2010 na kugaragazwa na Halima...Alikuwa anaendesha kampeni zake kitoto sana...uwezo wake wa kupambanua mambo ni sawa na hakuna...wanakampeni wake walikuwa wanaporomosha matusi waziwazi..Kwa jinsi nilivyomtathimini wakati huo sijui wabunge wamevutiwa na kitu gani hadi kumchagua

Pesa mkuu wote wameshikishwa hivi yale aliyoongea Dr. Mwakiembe hayawakuwaingia wapiga kura?kwa kifupi Cv yake inaweza kuwa mbaya kuliko ya Lusinde lakini ukiona ilivyoboreshwa kichina!
 
Yupo kwenye ule mtandao wa kina riz-1 wa kuuza unga.
 
mkuu umenichekesha sana hiyo ishu ya kulamba joka, afu last kadi.

Jamaa anamaliza game unakufa na joka lako. Yaan msingi wa hili ni yeye amefanikisha lengo lake ila sisi kama nchi tumekufa na joka na tumetoka kwa wingi wa karata.
 
Chezea pesa wewe cv kitu gani, cv kwa masikini . tajiri angalia cv saa ngapi? La kairo ana cv gani, kwa hiyo kama iko pesa cv not important angalia ja people kule njombe cv yake std two lakini pesa kama mchanga, im offline now,
 
Tumepeleka mafisadi na makada wa Magamba. Uweledi na utaalamu kwa Magamba siyo kitu. Huyo Bernard Mrunya si yule fisadi mkubwa aliyekuwa TANAPA?
 
Pesa mkuu wote wameshikishwa hivi yale aliyoongea Dr. Mwakiembe hayawakuwaingia wapiga kura?kwa kifupi Cv yake inaweza kuwa mbaya kuliko ya Lusinde lakini ukiona ilivyoboreshwa kichina!

KWA KWELI KAMA NI HIVYO NI HATARI KWA NCHI YETU.wasomi wote tulio nao tunaendekeza fedha?
 
Sina CV yake.
Huyo mama ni mweupe kichwani...aligombea Ubunge jimbo la Kawe 2010 na kugaragazwa na Halima...Alikuwa anaendesha kampeni zake kitoto sana...uwezo wake wa kupambanua mambo ni sawa na hakuna...wanakampeni wake walikuwa wanaporomosha matusi waziwazi..Kwa jinsi nilivyomtathimini wakati huo sijui wabunge wamevutiwa na kitu gani hadi kumchagua

Ndg yangu mbona mnakuwa mnasahau, wabunge wa CCM huwa wanampa kura/kumchagua mtu kwa kuzingatia vitu vitatu... rushwa, mwenzetu, na kumpa pole kama mtu akiwa amkekosa labda nafasi fulani, basi anaweza pewa nafasi hii kama kifuta jasho.. ndio utaratibu wao huo , kubebana!! Bila kabisa kuzingatia uwezo wa mtu au maslahi ya nchi hata mtu awe mweupe vipi, they do not care!!
 
Hebu muulizeni Mtoto wa rais mtaafu Mwinyi kuhusu CV ya Angela. There you can connect the dots. na mtajua nguvu imetokea wapi ya kushinda ubunge!
 
Mkuu Cv yake ni ya kichina four lever,unga magumashi masters mzumbe she has never attend class session ila amegraduate.unachezea pesa wewe!
Inshort uwezo wake ni mdogo sana yaan ukisikia unalamba joka then jirani analia last kadi ndiyo hii!
Asee
 
Back
Top Bottom