Jumuiya ya Africa Mashariki imeshindwa vibaya sana, iko hoi taabani.

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,637
46,279
Hii jumuiya bado haijawa na maana au faida kubwa kutosheleza kwa raia wa nchi wanachama.

Migogoro, kuhasimiana, kuvutana, vita vya kibiashara na ukosefu wa msimamo wa pamoja vimetawala.

DRC wameendelea kuparuana na Rwanda, Burundi na Rwanda wanaparuana, Kenya na Sudan Kusini nao wanaparuana na Kenya. Uganda na Rwanda nao mara kadhaa wanaparuana. Katika Jumuiya ni Tanzania pekee kwa kiasi kikubwa imekuwa haina migogoro mikubwa na majirani zake.

Kenya wamejiunga na mikataba wa EPA na AGOA wakiwaacha wenzao wanapiga kelele tu. Mazuio ya biashara yamekuwa ni jambo la kawaida kila pande na magendo yameshamiri kati ya nchi wanachama.

Kila kiongozi wanajifanyia siasa na kutawala wanavyojisikia, hakuna anayeweza kumwambia mwingine anafanya vibaya.

Hii jumuiya ya nini sasa?!
 
Kosa lilianza walipoikaralibisha DRC, South Sudan na karibuni Somalia. Hizo nchi utulivu ni zero na loyalt zao haziko EAC, Mfano DRC yeye anampenda Mfaransa na Mbelgiji kuliko wenzie wa EAC, Hivyo hivyo Somalia na nchi za Gulf, South Sudan na USA/EU.

Kwa sasa EAC imekuwa uwanja wa fujo. Imekuwa tofauti sana na ile iliyoasisiwa na Mkapa, Moi na Museven
 
Ivunjwe tuu waanze upya
Mimi nikiwa rais nitaivunja hii au kujitoa kabisa mana hakuna la maana wanalo achieve
 
Hiyo jumuiya ni ya wana siasa tu na wala haiwahusu wananchi wa mataifa husika haina tofauti na muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
 
Hii jumuiya bado haijawa na maana au faida kubwa kutosheleza kwa raia wa nchi wanachama.

Migogoro, kuhasimiana, kuvutana, vita vya kibiashara na ukosefu wa msimamo wa pamoja vimetawala.

DRC wameendelea kuparuana na Rwanda, Burundi na Rwanda wanaparuana, Kenya na Sudan Kusini nao wanaparuana na Kenya. Uganda na Rwanda nao mara kadhaa wanaparuana. Katika Jumuiya ni Tanzania pekee kwa kiasi kikubwa imekuwa haina migogoro mikubwa na majirani zake.

Kenya wamejiunga na mikataba wa EPA na AGOA wakiwaacha wenzao wanapiga kelele tu. Mazuio ya biashara yamekuwa ni jambo la kawaida kila pande na magendo yameshamiri kati ya nchi wanachama.

Kila kiongozi wanajifanyia siasa na kutawala wanavyojisikia, hakuna anayeweza kumwambia mwingine anafanya vibaya.

Hii jumuiya ya nini sasa?!
Marais wenyewe ni kama akina saa100 wataofer kitu gani cha maana
 
Hii jumuiya bado haijawa na maana au faida kubwa kutosheleza kwa raia wa nchi wanachama.

Migogoro, kuhasimiana, kuvutana, vita vya kibiashara na ukosefu wa msimamo wa pamoja vimetawala.

DRC wameendelea kuparuana na Rwanda, Burundi na Rwanda wanaparuana, Kenya na Sudan Kusini nao wanaparuana na Kenya. Uganda na Rwanda nao mara kadhaa wanaparuana. Katika Jumuiya ni Tanzania pekee kwa kiasi kikubwa imekuwa haina migogoro mikubwa na majirani zake.

Kenya wamejiunga na mikataba wa EPA na AGOA wakiwaacha wenzao wanapiga kelele tu. Mazuio ya biashara yamekuwa ni jambo la kawaida kila pande na magendo yameshamiri kati ya nchi wanachama.

Kila kiongozi wanajifanyia siasa na kutawala wanavyojisikia, hakuna anayeweza kumwambia mwingine anafanya vibaya.

Hii jumuiya ya nini sasa?!
Rwanda chini ya Dikteta Kagame ndio tatizo kwenye Jumuiya. Solution ni Dikteta Kagame kuwa eliminated na mambo yote yatakuwa shwari!
 
Hii jumuiya bado haijawa na maana au faida kubwa kutosheleza kwa raia wa nchi wanachama.

Migogoro, kuhasimiana, kuvutana, vita vya kibiashara na ukosefu wa msimamo wa pamoja vimetawala.

DRC wameendelea kuparuana na Rwanda, Burundi na Rwanda wanaparuana, Kenya na Sudan Kusini nao wanaparuana na Kenya. Uganda na Rwanda nao mara kadhaa wanaparuana. Katika Jumuiya ni Tanzania pekee kwa kiasi kikubwa imekuwa haina migogoro mikubwa na majirani zake.

Kenya wamejiunga na mikataba wa EPA na AGOA wakiwaacha wenzao wanapiga kelele tu. Mazuio ya biashara yamekuwa ni jambo la kawaida kila pande na magendo yameshamiri kati ya nchi wanachama.

Kila kiongozi wanajifanyia siasa na kutawala wanavyojisikia, hakuna anayeweza kumwambia mwingine anafanya vibaya.

Hii jumuiya ya nini sasa?!
KWA KILA MWENYE AKILI NA KUONA VIZURI HII JUMUIYA NI JUMUIYA YA KIMALAYA MALAYA ..kila mwanaume anapita kusafisha rungu ....niliwaambia watu kuwa sisiemu ni wapumbavu.
 
Back
Top Bottom