The Maasai King
Member
- Oct 4, 2014
- 43
- 2
He!!.........hapana aisee........
Ulilalwa dry mara ngapi? Na watu wangapi kwa muda gani!!!!!
He!!.........hapana aisee........
Ulilalwa dry mara ngapi? Na watu wangapi kwa muda gani!!!!!
I did It once, and am not gonna do It again!.Hakuna adhabu mbaya kama kupima ngoma.............
I did It once, and am not gonna do It again!.
Kapime bana.......sio ngumu.........unafika Angaza.......unakaa kwenye stuli.......anachukua kidude tu kidogo cha karatasi.......anakutoboa kidogo anaweka damu kwenye hicho kikaratasi na kidrop kidogo tu cha kidawa......sijui ni kidawa gani kile......basi damu inaanza kupanda.......inapanda weeeeee........mstari wa kwanza inapita inaenda wa pili.......inagomea pale........
anakwambia upo safi..........ugumu hapo upo wapi........?
I did It once, and am not gonna do It again!.
...hiyo ya kupewa majibu hapohapondo staki hata kuisikia, kupima inataka moyo mama. sio kukurupuka tu aiseee
charminglady mimi sina sababu tena ya kufanya hilo zoezi, niko fit. Vipi nije nikusindikize?.Wa kwetu twende basi... Tutagawana woga, et eeeeh!!!
Wakuu salama.
Wandugu jumatano,tarehe 05.11.2014 natakiwa niende angaza kupima UKIMWI hapa nilipo confidence ni zero inaelekea negative.
Kwa kawaida mimi huwa najiamini kupita kawaida kwa kila jambo nalofanya lakini hili la ukimwi confidence imedrop significantly.
Kiukweli sijawahi kupima ukimwi toka nimezaliwa,kuna binti kaniambia hawezi kukubali kutoka nami bila kupima,alinipa interval ya miez 3 nikamshawishi hadi akakubali tufanye angalau test 1.
Sitaki kumkosa huyu binti na naogopa kupima,ebu nipeni makonfidensi wakuu
Kapime wala usiogope..!
Mie hui ushauri nasaha ndio siufagilii..!
Naenda straight maabara, naacha kisusio, narudi baada ya mda naongea na dokta...nachukua mzigo...na nimemaliza..!
Ushauri nasaha ndio unaongeza presha...!
Nilipima nikasema siwezi kugonga demu tena ikapita mwezi nikapiga demu tena kavukavu mbaya zaidi nikaambiwa anangoma nikakonda bila kupima nikaamua kuliko kujitesa bora nikapime kupima nipo vizuri nikapiga na kashere kisela, juzi juzi hapa nikapiga kademu ila nilikuwa nimevaa combati na wala sijapiga denda na kutoa kondom nimevaa grooves ndo nikatoa.
ha ha ha mpaka kasherehe duh!!
wanaongeza homa ..Mm naenda ushaur nasaha nibembelezwee hlf napima