Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,847
Labda kama ni kuoa nitapima ila kwa mechi tu, no WAY asee" sihitaji presha mimi bora nimkose tu
Hahahaaaaa.... Aiseee..!!
Labda kama ni kuoa nitapima ila kwa mechi tu, no WAY asee" sihitaji presha mimi bora nimkose tu
Ucogope ukimwi unapimika frsh na majibu ako utayapata vzr!, kama unaogopa kwenda kupima na kupewa majibi just go to pharmacy then get something called "H.I.V test home kit" ile unajipima then unajipea majibu mwenyewe in case you feel shy receiving your status from a Doctor. Unakaa kwa ghetto then unamaliza kila kitu... It is like a U.P.T for women... Ucogope kaza buti... it is simple like that....
Kapime bana.......sio ngumu.........unafika Angaza.......unakaa kwenye stuli.......anachukua kidude tu kidogo cha karatasi.......anakutoboa kidogo anaweka damu kwenye hicho kikaratasi na kidrop kidogo tu cha kidawa......sijui ni kidawa gani kile......basi damu inaanza kupanda.......inapanda weeeeee........mstari wa kwanza inapita inaenda wa pili.......inagomea pale........
anakwambia upo safi..........ugumu hapo upo wapi........?
Kapime mkuu ili ujue afya yako.
hiki kipimo nilifanyiwa sabasaba kwenye banda la tacaids daah nakumbuka yule dada ali niambia niangalie damu inavyo tembea akanielekeza jinsi ya kusoma majibu kiroho kilikua kinataka kunitoka siku hiyo.looh.
Hakuna adhabu mbaya kama kupima ngoma.............
We acha tu bora ukaibe kambi ya jeshi ukamatwe kuliko kwenda kupima ngoma.
Nenda kapime kwanza ukishajijua uko fiti, unaenda nae ila kama umekanyaga miwaya unamzingua kwa kupiga kimya.
He!!.........hapana aisee........
Muuaji mkubwa wewe!!!!!!Inaonekana umecheza sana mech bila viatu kapime ila mwambie docta hata majibu yakiwa ovyo akwambie POA.
Mie sikwenda huko angaza as najua huo ushauri uliwahi kunipa stress Mara ya kwanza kupima. Nilienda maabara hospital moja temeke pale...straight bila ushauri nikatoa kisusio then nikaitwa na dokta..nilimwambia anipe majibu bila maswali..nae hakusita akamwaga 'razi'kumbe unaweza kukwepa huo ushauri nasaha?maana nasikia huo ushauri umekaa kibwege sana unaweza kusababisha ukapata presha bure. Hebu nambie naukwepaje?