Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
km hujawahi kupima kuogopa ni kawaida kaka
Na kama unachovya chovya kupima ndio utaona kugumu kabisaaaa
Ye akapime tu halaf majibu awaachie hospital
km hujawahi kupima kuogopa ni kawaida kaka
Wakuu salama.
Wandugu jumatano,tarehe 05.11.2014 natakiwa niende angaza kupima UKIMWI hapa nilipo confidence ni zero inaelekea negative.
Kwa kawaida mimi huwa najiamini kupita kawaida kwa kila jambo nalofanya lakini hili la ukimwi confidence imedrop significantly.
Kiukweli sijawahi kupima ukimwi toka nimezaliwa,kuna binti kaniambia hawezi kukubali kutoka nami bila kupima,alinipa interval ya miez 3 nikamshawishi hadi akakubali tufanye angalau test 1.
Sitaki kumkosa huyu binti na naogopa kupima,ebu nipeni makonfidensi wakuu
Mi nilidhan umejiunga na boko haramu,welcome jf
Mkuu Kichwa Ndio Mtu..........kesho ndio fainali........imekaa vipi hii maneno.......?
mambo....... shwari?mimi nilishapima jumamosi
Wapi.....?.....lete cheti......
Otherwise mambo poa.........
hatuwewi cheti au we ulipimaga hospitali gani ukapewa?
nimek downloadKweli cheti hakuna.......nisamehe.....
Ila weka picha ya kistripe.......najua ulikipiga picha.........
hivi bado ukimwi upo?
nimek download
Mkuu Kichwa Ndio Mtu..........kesho ndio fainali........imekaa vipi hii maneno.......?