hadi mpira wa gozi nacheza pekupeku ila kupima no
Kapime bana.......sio ngumu.........unafika Angaza.......unakaa kwenye stuli.......anachukua kidude tu kidogo cha karatasi.......anakutoboa kidogo anaweka damu kwenye hicho kikaratasi na kidrop kidogo tu cha kidawa......sijui ni kidawa gani kile......basi damu inaanza kupanda.......inapanda weeeeee........mstari wa kwanza inapita inaenda wa pili.......inagomea pale........
anakwambia upo safi..........ugumu hapo upo wapi........?
Hivyo vidude vinauzwa?
Kapime bana.......sio ngumu.........unafika Angaza.......unakaa kwenye stuli.......anachukua kidude tu kidogo cha karatasi.......anakutoboa kidogo anaweka damu kwenye hicho kikaratasi na kidrop kidogo tu cha kidawa......sijui ni kidawa gani kile......basi damu inaanza kupanda.......inapanda weeeeee........mstari wa kwanza inapita inaenda wa pili.......inagomea pale........
anakwambia upo safi..........ugumu hapo upo wapi........?
Kuogopa naogopa mimi....hahahaaa
Mkuu........nenda kapime........ni bora kujua status yako........kufa kuko palepale........kuwe kwa ngoma au bila.......
ila kupokea majibu nayo inahitaji roho nyingine mpya mekuu........ila we kapime.......halafu dem mjanja huyo............
vinauzwa......ila hicho kidawa sasa ndio hakipo madukani.......sijui maana yake ndio nini.........
usikubali mtu akaja kukwambia mpime na hicho kidude kavu kavu..........
Mjanja sana,sijawahi ona,ingawa alishaniruhusu deep kissing ila mengne amegoma hadi tukapime,nimemkubalia ila hapa sina amani.
Inaonekana umecheza sana mech bila viatu kapime ila mwambie docta hata majibu yakiwa ovyo akwambie POA.
hadi mpira wa gozi nacheza pekupeku ila kupima no
Kuna mechi nyingi nimecheza uwanja wa changarawe bila njumu yaani acha tu. Kupima ukimwi ni mtihani.
Kapime wala usiogope..!
Mie hui ushauri nasaha ndio siufagilii..!
Naenda straight maabara, naacha kisusio, narudi baada ya mda naongea na dokta...nachukua mzigo...na nimemaliza..!
Ushauri nasaha ndio unaongeza presha...!
Ucogope ukimwi unapimika frsh na majibu ako utayapata vzr!, kama unaogopa kwenda kupima na kupewa majibi just go to pharmacy then get something called "H.I.V test home kit" ile unajipima then unajipea majibu mwenyewe in case you feel shy receiving your status from a Doctor. Unakaa kwa ghetto then unamaliza kila kitu... It is like a U.P.T for women... Ucogope kaza buti... it is simple like that....
Good,let me do that. Lakini hata hilo linahitaji moyo,damu ya wap,kwenye kidole au kwenye nyonga ya mkono.