Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
!
!
Pole sana mdau....enheee majibu yalikuwaje baada ya kupima
!
Pole sana mdau....enheee majibu yalikuwaje baada ya kupima
Kupima ukimwi sio mchezo,unaweza kujikuta umepatwa na cardiopulmonary arrest hivi hivi kijinga jinga.
Hapa nawaza sana kuhusu huo mtihani,leo nimeonana nae,nikaonyesha hamu sana ya kwenda kupima nae,akaniambia wanaume wengi waliomtaka walikimbia hiyo hatua ingawa kiukweli deep inside nina wasiwasi kinoma.
Naona kwa makonfidensi ninayomuonyesha kama anaelekea kulegeza msimamo,ngoja tuone hiyo jumatano itakuwaje.
Nilipima nikasema siwezi kugonga demu tena ikapita mwezi nikapiga demu tena kavukavu mbaya zaidi nikaambiwa anangoma nikakonda bila kupima nikaamua kuliko kujitesa bora nikapime kupima nipo vizuri nikapiga na kashere kisela, juzi juzi hapa nikapiga kademu ila nilikuwa nimevaa combati na wala sijapiga denda na kutoa kondom nimevaa grooves ndo nikatoa.
Inaweza chukua miaka mingapi hadi uoneshe dalili maana najua inaweza fika hadi 5yrsKapime tu mkuu, kwa msoso wetu ingelikua unao ungeshatoa symptom
Inaweza chukua miaka mingapi hadi uoneshe dalili maana najua inaweza fika hadi 5yrs
Ulipiga pekuDuh! Mimi namfikiria maria,picha ya Amina inagonga ubongo wangu,kuna mwingine sikumbuki jina lake ila nilipita,mara mbili,baadaye nikaambiwa kuna muhuni aliyepita naye sasa hivi yupo kitandani,ubongo haujamaalizana na hao,mara namkumbuka mwingine,na mwingine,namwingine,na---------------Duh! Mi sipimi! Nyie nendeni tu mkirudi mnipe story.
Cheti hamna ila kuna kale kakaratas unaandikiwa majibu yako hiyo pia hupewagi?Kweli cheti hakuna.......nisamehe.....
Ila weka picha ya kistripe.......najua ulikipiga picha.........
Bs achana nae mkuu km hutaki kupimaWakuu salama.
Wandugu jumatano,tarehe 05.11.2014 natakiwa niende angaza kupima UKIMWI hapa nilipo confidence ni zero inaelekea negative.
Kwa kawaida mimi huwa najiamini kupita kawaida kwa kila jambo nalofanya lakini hili la UKIMWI, confidence imedrop significantly.
Kiukweli sijawahi kupima UKIMWI toka nimezaliwa, kuna binti kaniambia hawezi kukubali kutoka nami bila kupima, alinipa interval ya miez 3 nikamshawishi hadi akakubali tufanye angalau test 1.
Sitaki kumkosa huyu binti na naogopa kupima, ebu nipeni makonfidensi wakuu
Ndiyo!Ulipiga peku