Jumatano natakiwa nikapime UKIMWI, confidence zero

Jumatano natakiwa nikapime UKIMWI, confidence zero

Kupima ukimwi sio mchezo,unaweza kujikuta umepatwa na cardiopulmonary arrest hivi hivi kijinga jinga.

Hapa nawaza sana kuhusu huo mtihani,leo nimeonana nae,nikaonyesha hamu sana ya kwenda kupima nae,akaniambia wanaume wengi waliomtaka walikimbia hiyo hatua ingawa kiukweli deep inside nina wasiwasi kinoma.

Naona kwa makonfidensi ninayomuonyesha kama anaelekea kulegeza msimamo,ngoja tuone hiyo jumatano itakuwaje.

Utuletee mrejesho mkuu
 
Nilipima nikasema siwezi kugonga demu tena ikapita mwezi nikapiga demu tena kavukavu mbaya zaidi nikaambiwa anangoma nikakonda bila kupima nikaamua kuliko kujitesa bora nikapime kupima nipo vizuri nikapiga na kashere kisela, juzi juzi hapa nikapiga kademu ila nilikuwa nimevaa combati na wala sijapiga denda na kutoa kondom nimevaa grooves ndo nikatoa.

Mh duh maandaliz yote hy unazalisha
 
Nimeshawahi kupima mara nyingi,ila mwaka jana nlikula nyama ambayo nliambiwa sio salama,tangu August nahairisha kwenda
 
Duh! Mimi namfikiria maria,picha ya Amina inagonga ubongo wangu,kuna mwingine sikumbuki jina lake ila nilipita,mara mbili,baadaye nikaambiwa kuna muhuni aliyepita naye sasa hivi yupo kitandani,ubongo haujamaalizana na hao,mara namkumbuka mwingine,na mwingine,namwingine,na---------------Duh! Mi sipimi! Nyie nendeni tu mkirudi mnipe story.
 
Angalia tu usije kuwa kama yule kijana wa PT kayakwaa huyo fasta kachukua kitu kafanya yake
 
Duh! Mimi namfikiria maria,picha ya Amina inagonga ubongo wangu,kuna mwingine sikumbuki jina lake ila nilipita,mara mbili,baadaye nikaambiwa kuna muhuni aliyepita naye sasa hivi yupo kitandani,ubongo haujamaalizana na hao,mara namkumbuka mwingine,na mwingine,namwingine,na---------------Duh! Mi sipimi! Nyie nendeni tu mkirudi mnipe story.
Ulipiga peku
 
Kweli cheti hakuna.......nisamehe.....
Ila weka picha ya kistripe.......najua ulikipiga picha.........
Cheti hamna ila kuna kale kakaratas unaandikiwa majibu yako hiyo pia hupewagi?
 
Staki hata kuambiwa habari za kupima. ..

Nitapima dawa ikigundulika
 
Wakuu salama.

Wandugu jumatano,tarehe 05.11.2014 natakiwa niende angaza kupima UKIMWI hapa nilipo confidence ni zero inaelekea negative.

Kwa kawaida mimi huwa najiamini kupita kawaida kwa kila jambo nalofanya lakini hili la UKIMWI, confidence imedrop significantly.

Kiukweli sijawahi kupima UKIMWI toka nimezaliwa, kuna binti kaniambia hawezi kukubali kutoka nami bila kupima, alinipa interval ya miez 3 nikamshawishi hadi akakubali tufanye angalau test 1.

Sitaki kumkosa huyu binti na naogopa kupima, ebu nipeni makonfidensi wakuu
Bs achana nae mkuu km hutaki kupima
 
mpka karne hii bdo kuna watu wanaogopa hako ka ugonjwa?
 
Back
Top Bottom