Juma Raibu atishia kumtwanga risasi diwani mwezake

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
227
383
Miezi michache baada ya kuvuliwa umeya kutokana na kashifa ya kudaiwa kuhudhulia sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanumme wanaodaiwa kuwa katika mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja, aliyekuwa meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameingia katika kashifa nyingine tena, akidaiwa kumtishia kumtwanga rasasi diwani mwenzake.

Taarifa kutoka ndani ya Baraza la Madiwani wa Manispa ya Moshi zinapasha kuwa tukio hilo lilitokea hivi karibuni muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati ya Mipango Miji.

Inadaiwa kuwa kwenye kikao hicho, diwani wa Kata ya Miembeni, Mohamed Mushi, alihoji juu ya uhalali wa Juma Raibu kumilikishwa kiwanja kinachodaiwa kuwa ni eneo la wazi ambako tayari amezungushia uzio tayari kwa kuanza ujenzi wa vibanda vya maduka.

Baada ya kuhoji, inadaiwa Juma Raibu alihamaki na kuanza kumtishia diwani huyo kwamba atamteketeza yeye na familia yake huku akimtolea lugha za matusi ya nguoni ambayo kutokana na misingi ya kimaadili hatuwezi kuyaweka hapa.

Mohamed amezungumza na Jamiiforums na kukiri kutokea kwa mkasa huo na kwamba anajiandaa kupeleka barua yq malalamiko kwenye kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi.

Amesema chanzo cha hayo ni mapema mwaka jana wkaiwa kwenye changuzi za viongozi ndani ya chama(CCM),Raibu alifika kwenye kata yake(miembeni)kwa lengo la kumnadi kiongozi mmoja.

Amesema kuwa baa ya kumuono akahoji iweje aende kwenye kata yake bila kumtaarifu kutokana na kikao hicho kuwa ni cha ndani cha kamati ya siasa ya kata.

Kutokana na hilo Mohamed anasema malalamiko hayo yote ya mwaka jana na mwaka huu ameyawasilisha kwa uongozi wa chama kwa ajili ya hatua zaidi.

Itakumbukwa kuwa mwaka jana madiwani 19 walipiga kura ya kutokuwa na imani na Raibu huku kumi wakimuunga mkono baada ya picha kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akilishwa keki kwenye sherehe ya kijana mmoja anayedaiwa kuwa kwenye uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja .


Nini kinaendelea katika sakata hilo na je unajua Raibu kamtolea kashifa gani diwani huyo?,usikae mbali kesho tunakuletea picha lote.

Nawatakia Sabato njema
 
Miezi michache baada ya kuvuliwa umeya kutokana na kashifa ya kudaiwa kuhudhulia sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanumme wanaodaiwa kuwa katika mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja, aliyekuwa meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameingia katika kashifa nyingine tena, akidaiwa kumtishia kumtwanga rasasi diwani mwenzake.

Taarifa kutoka ndani ya Baraza la Madiwani wa Manispa ya Moshi zinapasha kuwa tukio hilo lilitokea hivi karibuni muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati ya Mipango Miji.

Inadaiwa kuwa kwenye kikao hicho, diwani wa Kata ya Miembeni, Mohamed Mushi, alihoji juu ya uhalali wa Juma Raibu kumilikishwa kiwanja kinachodaiwa kuwa ni eneo la wazi ambako tayari amezungushia uzio tayari kwa kuanza ujenzi wa vibanda vya maduka.

Baada ya kuhoji, inadaiwa Juma Raibu alihamaki na kuanza kumtishia diwani huyo kwamba atamteketeza yeye na familia yake huku akimtolea lugha za matusi ya nguoni ambayo kutokana na misingi ya kimaadili hatuwezi kuyaweka hapa.

Mohamed amezungumza na Jamiiforums na kukiri kutokea kwa mkasa huo na kwamba anajiandaa kupeleka barua yq malalamiko kwenye kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi.

Amesema chanzo cha hayo ni mapema mwaka jana wkaiwa kwenye changuzi za viongozi ndani ya chama(CCM),Raibu alifika kwenye kata yake(miembeni)kwa lengo la kumnadi kiongozi mmoja.

Amesema kuwa baa ya kumuono akahoji iweje aende kwenye kata yake bila kumtaarifu kutokana na kikao hicho kuwa ni cha ndani cha kamati ya siasa ya kata.

Kutokana na hilo Mohamed anasema malalamiko hayo yote ya mwaka jana na mwaka huu ameyawasilisha kwa uongozi wa chama kwa ajili ya hatua zaidi.

Itakumbukwa kuwa mwaka jana madiwani 19 walipiga kura ya kutokuwa na imani na Raibu huku kumi wakimuunga mkono baada ya picha kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akilishwa keki kwenye sherehe ya kijana mmoja anayedaiwa kuwa kwenye uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja .


Nini kinaendelea katika sakata hilo na je unajua Raibu kamtolea kashifa gani diwani huyo?,usikae mbali kesho tunakuletea picha lote.

Nawatakia Sabato njema
Dunia hii Mama lukumba lukumba, dunia ina mwendo kama wa ngamia × 2.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo akimtwanga risasi,akiuaaa
Serikali/jamii itamuangalia tu
Aise hizi silaha sahvi washamba wanazimiliki

Ova
 
Miezi michache baada ya kuvuliwa umeya kutokana na kashifa ya kudaiwa kuhudhulia sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanumme wanaodaiwa kuwa katika mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja, aliyekuwa meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameingia katika kashifa nyingine tena, akidaiwa kumtishia kumtwanga rasasi diwani mwenzake.

Taarifa kutoka ndani ya Baraza la Madiwani wa Manispa ya Moshi zinapasha kuwa tukio hilo lilitokea hivi karibuni muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha Kamati ya Mipango Miji.

Inadaiwa kuwa kwenye kikao hicho, diwani wa Kata ya Miembeni, Mohamed Mushi, alihoji juu ya uhalali wa Juma Raibu kumilikishwa kiwanja kinachodaiwa kuwa ni eneo la wazi ambako tayari amezungushia uzio tayari kwa kuanza ujenzi wa vibanda vya maduka.

Baada ya kuhoji, inadaiwa Juma Raibu alihamaki na kuanza kumtishia diwani huyo kwamba atamteketeza yeye na familia yake huku akimtolea lugha za matusi ya nguoni ambayo kutokana na misingi ya kimaadili hatuwezi kuyaweka hapa.

Mohamed amezungumza na Jamiiforums na kukiri kutokea kwa mkasa huo na kwamba anajiandaa kupeleka barua yq malalamiko kwenye kamati ya maadili ya chama cha mapinduzi.

Amesema chanzo cha hayo ni mapema mwaka jana wkaiwa kwenye changuzi za viongozi ndani ya chama(CCM),Raibu alifika kwenye kata yake(miembeni)kwa lengo la kumnadi kiongozi mmoja.

Amesema kuwa baa ya kumuono akahoji iweje aende kwenye kata yake bila kumtaarifu kutokana na kikao hicho kuwa ni cha ndani cha kamati ya siasa ya kata.

Kutokana na hilo Mohamed anasema malalamiko hayo yote ya mwaka jana na mwaka huu ameyawasilisha kwa uongozi wa chama kwa ajili ya hatua zaidi.

Itakumbukwa kuwa mwaka jana madiwani 19 walipiga kura ya kutokuwa na imani na Raibu huku kumi wakimuunga mkono baada ya picha kusambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha akilishwa keki kwenye sherehe ya kijana mmoja anayedaiwa kuwa kwenye uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja .


Nini kinaendelea katika sakata hilo na je unajua Raibu kamtolea kashifa gani diwani huyo?,usikae mbali kesho tunakuletea picha lote.

Nawatakia Sabato njema
Je Jamii Forums imehakiki taarifa hii upande wa pili yaani mlalamikiwa?

Dunia hii si haba ina mengi yamejificha
 
Huu ni uongo sasa mimi nampinga Juma kwa madhaifu yake ya hapa na pale lakini kwa hii taarifa nikumpaka matope, mtoa post unazungumzia kiwanja gani? Ni pale mpakani na mashamba ya Tpc corner ya kwenda Shabaha?!
 
jr_1.JPG
Mstahiki Meya aliyetimuliwa kwa kashfa ya Ushoga, Manispaa ya Moshi, Juma Raibu,ameingia kwenye kashifa nyingine safari hii akituhumiwa kumtishia kwa bastola diwani mwenzake,Mohamed Mushi wa Kata ya Miembeni.

Habari za uhakika kutoka ndani ya Baraza la Madiwani wa Manispaa ya Moshi,zinadai kuwa,Juma alimtishi kumtwanga rsasi diwani Mushi kwenye kikao cha kamati ya mipango miji kilichofayika Januari 20 mwaka huu kwenye ukumbi wa manispaa ya moshi.

Mtoa taarifa kwa la kutotajwa jina lake,amedai kuwa chanzo cha Juma Raibu kutishia kumtwanga risasi diwani huyo ni baada ya kuhoji maeneo ya wazi ambayo meya huyo wa zamani anadaiwa kujimilikisha baada ya kujitengenezea hati .

Kutokana na diwani huyo kuhoji kitendo cha Juma Raibu kuhodhi maeneo ya wazi,inadaiwa kitendo hicho kilimkasilisha Juma kuanza kumtolea maneno ya kashifa ikiwamo matusi ya nguoni kabla ya kutishi kutwanga risasi.

Mtoa taarifa wetu amedai kuwa, JR alienda mbali zaidi na kutishia kuisambaratisha familia ya diwani huyo kwa kile aichodai kufuatwafuatwa na diwani huyo kwa muda mrefu kuanzia sakata lililopelekea kung;olewa kwenye nafasi ya umeya.

Diwani Mushi alikiri kutishiwa kwa bastola la Juma kwenye kikao hicho cha mipango miji kutokana na yeye kuhoji kuporwa maeneo ya wazi na Juma.

Mbali na kitisho hicho,diwani Mushi amedai kuwa,Juma Raibu alianza kumtumia ujumbe wa matusi mfupi wa maandishi kupitia simu yake ya kiganjani huku akimhusisha na kiongozi mmmoja wa Chama cha Mapinduzi(CCM) ngazi ya mkoa .

Diwani huyo amedai kuwa kutokana na vitisho hivyo kutoka kwa JR,tayari ameandika barua ya malalamiko kwenda kwenye kamati ya maadili ya CCM wilaya kwa hatua zaidi za kinidhamu.

Hata hivyo mwenyekiti wa CCM wilaya Faraji Swai, pamoja na kukiri kufahamu juu ya tukio hilo, alikataa kulizungumzia kwa kile alichodai si msemaji wa chama ngazi ya wilaya huku akitaka asihusishwe kwa namna yoyote na migogoro ya kutengenezwa.

Wakati mwenyekiti huyo akijiondoa kwenye sakata hilo, katibu wa madiwani wa CCM, Witness Mziray alikataa kuzungumzia sakata hilo kwa kile alichodai yeye si mwenyekiti wa kamati ya mipango miji.

Alipotafutwa JR kwenye simu yake ya kiganjani, iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe mfupi wa maneno kupitia simu yake ya kiganjani hakuweza kujibu.

Agosti 11,2022 Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi,lilimng’oa kwenye kiti cha umeya Juma Raibu baada ya kuzongwa na tuhuma mbalimbali ikiwamo ya kujihusisha na watu wa mapenzi ya jinsia moja.
 
Back
Top Bottom