nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Juma anauliza mbona zitto alipoingia mara ya kwa hakupinga posho,huyu akilizake kaweka wapi,hajui wenzake wamefanya utafiti na kugundua zinapashwa kuondolewa,hajui kila kitu na wakati;hii staili imeumiza wengi sana wakubwa wote wanatengeneza posho za kufa mtu wafanyakazi wa chini wanalagaiwa eti taasisi haina uwezo hatawao wanahitaji mishahara mikubwa hivyo wavumilie,lakini angalia ukigeuka huku posha ya kikao,safari,entertaiment sijui nini mambo lukuki matokea yake hata mshahara wenyewe hauna kazi tena maana posho za kufa mtu.
Tutafika tu.
Tutafika tu.