Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Mjadala unaendelea sasa BBC kuhusu posho
- Juma posho ziongezwe ni ndogo mno
- Zitto posho ziondolewe
pitia RFANaomba frequency
hawa jamaa kweli ni hatari eti kwa mbunge anae watumikia wananchi kama inavyo sitahili basi ni bora aongezewe posho
mbunge wa kenya ameua bendi kuwa shida ni za kila mtu na kusaidia ni jadi ya kila mtu siyo lazima uwe na posho
5mil hazikatwi kodi kwa mwezi
hawa jamaa kweli ni hatari eti kwa mbunge anae watumikia wananchi kama inavyo sitahili basi ni bora aongezewe posho
Naomba frequency
chanzo cha kufukuzwa viongozi nchi za kiaarabu ni watu kukata tamaahiyo ni daylight robbery! Hatari sana kwa taifa lenye watu wengi masikini kama letu, iko siku watu waliokata tamaa ya maisha wataingia barabarani na kila kitu kitabadilika!
Nkamia ni kilaza la kufa mtu..alinitwanga shikamoo wakati anauwezo wa kunizaa ..