Juma Nkamia Vs Zitto Kabwe in BBC now

Juma Nkamia Vs Zitto Kabwe in BBC now

Mibunge ya CCM ndivyo ilivyo minngi haina uwezo wa kujenga hoja ila inajua sana kupiga meza,kuzomea,kupongeza,kuunga mkono hoja kwa asilimia mia moja na ulafi wa pesa,madaraka na unafiki tu.mijitu hii bila kuitoa hapo itatukondesha kabisa.inawaza posho tu kila siku na kutetea ujinga ujinga tu na sasa inaendeleza makundi ya urasi
 
hawa jamaa kweli ni hatari eti kwa mbunge anae watumikia wananchi kama inavyo sitahili basi ni bora aongezewe posho



Vipi Mwalimu anaewafundisha wanafunzi vizazi kwa vizazi ipasavyo??
Vipi Polisi anawalinda hao hao magamba ipasavyo?
Vipi Daktari na manesi wanaohudumia wagonjwa ipasavyo mpaka tunapona??

Huyo Jamaa kachemka apigwe mawe
 
Mkamia n mbunge mwepesi,hajui kujenga hoja wala nini,huyu si aliwai kuwa kiongoz simba(katibu mwenez)aliishia kukimbia,kwanza nimeshangaa kuona na yeye anadegree kasoma lini?
 
Kipindi cha leo yalikuwa ni marudio ya mjadala uliofanyika miezi kama minne hadi mitano iliyopita.
Nakumbuka ilikuwa wakati wa mjadala wa bunge la bajeti wakati hoja ya posho ikiwa imeshika moto.

Kwakuwa sikusikia wakati BBC wanaanza matangazo, kama hawakusema kwamba ni marudio watakuwa wamejisahau. Asubuhi ya leo walirudia taarifa ya uchaguzi wa uganda, bila shaka watakuwa wanakumbushia baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri mwaka 2011.
Mzee hawaku declare hivyo. Nilishangaa kipindi cha zamani wanarudia bila hata kutuambia!
 
Mkamia n mbunge mwepesi,hajui kujenga hoja wala nini,huyu si aliwai kuwa kiongoz simba(katibu mwenez)aliishia kukimbia,kwanza nimeshangaa kuona na yeye anadegree kasoma lini?

ana digrii ya BBA
 
Kama Nkamia ana ubavu wa kutetea hoja yake aje hapa jamvini tumchambue aache kutufanya sisi watoto, nilivyoi na uchungu nilipomsikiliza nilitaka kulia.. maana ni wizi wa mchana kweupe kupitia taasisi tunayopaswa kuiamini
 
wote wana elimu kumzidi mchochezi wako mohamed saidi na hisia zake za kishetani
maulaga, issue hapa ni posho za wabunge, mtetezi ni Mkamia mpinzani ni Zitto, maalim Mohamed Said hapa anaingiaje?.
Japo nakubaliana na hoja kuwa ni mchochezi, sasa hii hoja ya makala za uchochezi za Mohamed Saidi humu kwenye thread hii zinaingiaje?.

Watu wengine kweli akili za matope mkiambiwa mnafikiri kwa kutumia .... mtalalamika mnaonewa?!
 
Mnategemea chochote cha maana kutoka kwa mbunge wa CCM anyewakilisha Iramba? Bora hata angekuwa anawakilisha Igunga!
 
Hivi anayesema posho ziongezwe kuna wanowasikiliza sababu zao na hoja zao?

I doubt that they will make any sense...

Na huyo Juma Nkamia ndo nani? Ama ni ounching bag la zitto?
Njaa kali kishenzi huyo Juma, yani mara tu kapata ubunge anagombea posho!
 
Njaa kali kishenzi huyo Juma, yani mara tu kapata ubunge anagombea posho!
yaelekea waligombea ubunge ili kujipatia pesa za kujikimu kimaisha na kuwajibika kama tunavyo hitaji na hili la akina CHADEMA likikubaliwa litasababisha wengi kuacha kugombea ubunge we subiri uone
 
maulaga, issue hapa ni posho za wabunge, mtetezi ni Mkamia mpinzani ni Zitto, maalim Mohamed Said hapa anaingiaje?.
Japo nakubaliana na hoja kuwa ni mchochezi, sasa hii hoja ya makala za uchochezi za Mohamed Saidi humu kwenye thread hii zinaingiaje?.

Watu wengine kweli akili za matope mkiambiwa mnafikiri kwa kutumia .... mtalalamika mnaonewa?!
Kwani rafiki yako ritz alivyowaingiza akina Sugu kwenye huu mjadala wa Nkamia na Zito ilikuwaje? Kwani ndugu yangu Pasco aliyekuhakikishia kwamba unaakili kuliko wachangiaji wengine humu ninani? Nakushauri acha matusi na dharau kwani inakujengea maadui wengi kuliko unavyowahitaji.
 
Back
Top Bottom