Kombo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,812
- 511
zitto: mshahara wa mbunge ni milioni 2.3, na unakatwa kodi
posho ni milioni tano
kwa mwezi hiyo.
kamati zinakaa vikao 80 kwa mwaka + vikao mbalimbali vya bunge ambavyo ni elfu 70/80 kwa siku
wanapewa fedha kupitia mfuko wa kuendeleza jimbo+ mkopo wa gari
Mkuu posho ya vikao ni laki mbili kwa siku siyo elfu sabini! Rekebisha kumbukumbu zako. Posho ya kujikimu/DSA ndiyo elfu themanini kwa siku.