Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Yupo kijiji cha njianne kata ya Tingi
Wilayani kilwa muda,huu anahutubia katika viwanja vya shule ya msingi kikanda
 
Duni ni CUF damudamu na dhamiri yake inamsuta kuikana CUF na kujiunga CHADEMA. Maana mwisho wa siku CUF inakufa huku CHADEMA ikiongezewa nguvu ya wabunge na donge la ruzuku kuongezeka. Mzee kastuka.
 
Duni ni CUF damudamu na dhamiri yake inamsuta kuikana CUF na kujiunga CHADEMA. Maana mwisho wa siku CUF inakufa huku CHADEMA ikiongezewa nguvu ya wabunge na donge la ruzuku kuongezeka. Mzee kastuka.

mkuu sharifu hamad ni mjanja kamtanguliza duni chadema halafu kamkasirisha prof lipumba na prof kujiuzulu nyadhifa zake ili yeye ajipe uenyekiti wa chama kirahisi
 
Ratiba ya babu mbona sijaisoma jamani?
Mwenye taarifa tafadhali
 
Zomeazomea inayoendelea kuwakumba viongozi wandamizi wa UKAWA, mgombea mwenza wake Juma Duni ameonekana kukata tamaa ghafla kutokana na kile anachofanyiwa yeye na wafuasi wa CHADEMA wanaojiita wazalendo wa CHADEMA.

Wanaumbuka sana mwaka huu
 
mkuu sharifu hamad ni mjanja kamtanguliza duni chadema halafu kamkasirisha prof lipumba na prof kujiuzulu nyadhifa zake ili yeye ajipe uenyekiti wa chama kirahisi

Hahahahahqh
Akilin kumtwe
 
Back
Top Bottom