Hapa kazi tu#
Ukiwa kwa wafiwa.
nyie mmeshanganyikiwa amejitoa wapi?Duni kajitoa
Wana jamii nauliza tu,yule mgombea mweza wa UKAWA Mhe. Juma Duni aka babu Duni yuko wapi kwa sasa? Mbona kimya wakati spidi yake ya mwanzo ilikuwa ni hatari au ndio hivyo wanasema keshachoka kuwapigia debe wanachadema?? Nauliza tuu
Wana jamii nauliza tu,yule mgombea mweza wa UKAWA Mhe. Juma Duni aka babu Duni yuko wapi kwa sasa? Mbona kimya wakati spidi yake ya mwanzo ilikuwa ni hatari au ndio hivyo wanasema keshachoka kuwapigia debe wanachadema?? Nauliza tuu
Babu Duni hoi keshaona upepo mbaya hasikiki wala havumi yuko tuliiii
mtu mzima................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1