Dr. Ngwazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 723
- 289
Huenda kashtuka baada ya kugundua kwamba kumbe alikuwa bendera fuata upepo. wenye vyama (Maalimu na Mbowe) wamekula yeye anaambulia vumbi tu. wakati mwenzake kapewa chopa. chezea Babu wewe!
Huenda kashtuka baada ya kugundua kwamba kumbe alikuwa bendera fuata upepo. wenye vyama (Maalimu na Mbowe) wamekula yeye anaambulia vumbi tu. wakati mwenzake kapewa chopa. chezea Babu wewe!
Ratiba inasema alitakiwa awe wapi?
Safi sana kamanda.babu Duni yupo lindi vijijini leo
Una akili sana wewe, tena za kwenye masa buri