Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Taarifa ni kuwa Juma Haji Duni, mgombea mwenza wa Lowassa kampeni zake zimesimamishwa kutokana na chama chake cha Chadema kupungukiwa pesa ya kufanyia kampeni, hivyo imeonelewa kuwa ni bora wabaki na mgombea mmoja ili kuendana na hali halisi ya mfuko. Wengi wenu mtakuwa mnakumbuka majuzi juzi Chadema walizindua harambee ya kukusanya michango ili kuwezesha mipango ya kampeni iende sawia, sasa mambo bado hayajawa vyema hivyo kamati kuu ya chadema ikaonelea ni bora kusitisha ratiba ya mgombea mwenza kama ilivyokuwa imepangwa tangu awali.
 
Mi naona ile zomea zomea na ule mkasa wa kukoswa kulambwa mtama kule tabora kumemfanya huyu Mduni kunudika na kuamua kuingia mitini
 
Duni vs samia, nani anafaa zaidi kuwa president likitokea la kutokea?
 
Back
Top Bottom