Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Alotuma hakumwelekeza vizuri kama walivyoelekezwa TWAWEZA
 
Kaisaidia CDM kuiua CUF visiwani ..ila zenji wanasema ndoa yake kwenda chadema ataisoma
 
Zomeazomea inayoendelea kuwakumba viongozi wandamizi wa UKAWA, mgombea mwenza wake Juma Duni ameonekana kukata tamaa ghafla kutokana na kile anachofanyiwa yeye na wafuasi wa CHADEMA wanaojiita wazalendo wa CHADEMA.

january anajitahidi wapi twambwe isa nafasi yako kakalia -----
 
Zomeazomea inayoendelea kuwakumba viongozi wandamizi wa UKAWA, mgombea mwenza wake Juma Duni ameonekana kukata tamaa ghafla kutokana na kile anachofanyiwa yeye na wafuasi wa CHADEMA wanaojiita wazalendo wa CHADEMA.

Si kweli, kilichomkatisha tamaa ni kile alicho sema Dr. Slaa kuwa Chadema wame hamishia choo cha CCM chumbani kwao, baada ya mgombea kujiachia na choo Laivu. Kumbuka yule ni Mpemba wenzetu wanakuwa na Taasisi tofauti kwa tukio Kama lile.
 
Si kweli, kilichomkatisha tamaa ni kile alicho sema Dr. Slaa kuwa Chadema wame hamishia choo cha CCM chumbani kwao, baada ya mgombea kujiachia na choo Laivu. Kumbuka yule ni Mpemba wenzetu wanakuwa na Taasisi tofauti kwa tukio Kama lile.
mnajitekenya wenyewe mnacheka wenyewe
 
Ccm mwaka ndo wamekuwa kama wapinzabi angalia hata mada wanazoanzisha ni za kiupinzani zaidi

mbona hili liko wazi
zamani upinzani ndio walikuwa wanadai midahalo ila leo ni CCM
zamani upinzani walikuwa wanawakemea mafisadi ila leo ni CCM
 
Back
Top Bottom