Hebu nyamaza wewe...mbona una kidomodomo hivyo...
...there is no hope for you!
Hebu nyamaza wewe...mbona una kidomodomo hivyo...
Naona Mtatiro fasta fasta, upekuzi na mashtaka kuandaliwa chap chap. Chenge, Mramba wao kimyaaa, mafile bado yanapekuliwa.
So,he didn't ask for a lawyer.
Wasn't mistreated...well,expect for the ''kipanda uso thing''.
What now?Change of stories?
Huyu jamaa tayari yuko nje kwa dhamana.Hivi na taarifa kwamba Odong Odwali amesimamishwa masomo UDSM na kurudishwa Uganda chini ya ulinzi mkali wa polisi kuna ukweli hapa?
Maana sasa naona serikali imeamua kuwakatili hawa wadai haki za wenzao!
Ni taarifa zimezagaa mtaani kwamba Odong amekamatwa na tayari amerudishwa kwao Uganda!Huyu ni mmoja wa wanamapinduzi wa pale mlimani.Yumkini kuna mtu ana info zake za kutosha please atuwekee hapa
..then 2010 sitashangaa majority ya UD student watavote CCM kama kawaida yao,maana hata diwani sehemu yao ni wa CCM,wanaume wa shoka wako tarime na ndio wana deserve support yetu sio hawa matapeli wanaobeba gari la kikwete na makamba huku wakicheza mdundiko then wakinyimwa pesa wana act kama watoto kwa kuvunja viti na milango,hata kuendesha migomo hawajui sijui ni wasomi gani hawa? ndio maana tunaishia kuwa na mikataba ya Richmond na EPA kwa wasomi wa namna hii....akili zao ni sawa na CCM!
Hakuna ukweli wowote juu ya hili swala, Odong bado anashikiliwa na polisi na si kweli kama amesharudishwa kwao Uganda, ila once polisi watakapomaliza uchunguzi wao basi itawekwa wazi na kama kutaonekana kuna uonevu wowote juu yake hapo ndo tutakuwa na haki ya kulipigia kelele lakini sasa hivi halitatusaidia kitu tutabakia kupayuka mambo meeengi lakini hatutaweza kulitatua till polisi watakapotoa statement yao
Hakuna ukweli wowote juu ya hili swala, Odong bado anashikiliwa na polisi na si kweli kama amesharudishwa kwao Uganda, ila once polisi watakapomaliza uchunguzi wao basi itawekwa wazi na kama kutaonekana kuna uonevu wowote juu yake hapo ndo tutakuwa na haki ya kulipigia kelele lakini sasa hivi halitatusaidia kitu tutabakia kupayuka mambo meeengi lakini hatutaweza kulitatua till polisi watakapotoa statement yao
Kama unafuatilia news utakuwa tayari unafahamu kama hapa ulikosea.Amesharudishwa kwao!
[/COLOR]
Kama upo makini kusoma kila post inayokuwa published humu basi utagundua umekurupuka,, angalia hiyo post yangu nimeiweka alhamisi na wewe umesubiria magazeti ya jana yakwambie kuwa odong amerudishwa ndo unakuja kukosoa.... Hehehehe hiyo nilipost hata kabla polisi hawajatoa tamko lao, Odong amerejeshwa kwao ijumaa asubuhi na ndege ya Kenya airways KQ.
Kuwa makini unapotaka kutoa boriti kwenye jicho la mwenzako
[/COLOR]
Kama upo makini kusoma kila post inayokuwa published humu basi utagundua umekurupuka,, angalia hiyo post yangu nimeiweka alhamisi na wewe umesubiria magazeti ya jana yakwambie kuwa odong amerudishwa ndo unakuja kukosoa.... Hehehehe hiyo nilipost hata kabla polisi hawajatoa tamko lao, Odong amerejeshwa kwao ijumaa asubuhi na ndege ya Kenya airways KQ.
Kuwa makini unapotaka kutoa boriti kwenye jicho la mwenzako
Rudia tena kusoma hii thread,halafu utafahamu mimi na wewe nani anapost bila kusoma whole thread! Na hatakama nasubiri magazeti tatizo lako nini.Post yangu ilitaka kukueleza kuwa ulichosema kuwa bado anashikiliwa si kweli maana tayari nilipata habari kuwa amerudishwa kwao uganda,na nikapost kuwa habari hizo zimezagaa,then vyombo vya habari vilipo confirm nikakuhabarisha! Wawapi wewe, huelimishwi!!? Yaelekea unapenda kujibizana!
Kumbe na jakaya alikuwa na utawala wa kiimla?Utawala wa kiimla unaogopa sana mwamko wa wanafunzi wa elimu ya juu! Unajua hawa jamaa kama wangeweza kumkamata kile mtu anayewapinga na isijulikane wangekamata kila mtu; tusipoangalia tutaanza kuokota miili in reminiscent of Idi Amin Dada...