Curtis the Second
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 245
- 216
kwa picha we kibokoBila picha hainogi
kwa picha we kibokoBila picha hainogi
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
You have said it all,i saw the same na nikashangaa sana.Hata kama alianza sehemu nyingine kutafuta habari but angebeba kanga kwenye pochi yake kwa habari ile ya kupokea mwili.Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
Halafu wewe... unawakataza watu kukompliketi mambo wakati wewe mwenyewe mimi unanikompliketia...usipende ku complicate mambo mtoa mada.... na ile suruali yake mbona ilikua poa sana
Wapi nilipotetea ujinga?Asirudi kwa nini Big no! Haikuwa fair hata kidogo hebu acheni kutetea ujunga!
Hili jibu nililitazamia kitambonani kakuambia ni lazma uvae kanga kwenye msiba nan?
Kwanza suruali ni nzuri msibani, kwani iwapo utapata uchungu hata ukigalagala utakua umejisitiri.Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
Nasikia enzi hizo hata vichaa walikuwa wanaogopwa wakidhaniwa ni mashushushuNaskia kipindi hicho ukimuongea Mwl Nyerere kwa ubaya hata kama upo ndani na mke wako unamuongea kwa ubaya kesho yake asubuhi wazee wapo mlangoni kwako ni kweli mkuu
Mwandishi alikuwa Kazini Sio Msibani nae akienda Msibani huvaa Khanga!
Mfanyakazi wa Guest house hata akiwa Ana bleed huwa anaenda Kazini japo Kwa utamaduni wetu Dem akiwa Ana bleed haji Guest house kuliwa!