Julieth Robert (ITV) Ulikosa Khanga msibani?

Julieth Robert (ITV) Ulikosa Khanga msibani?

Mwandishi alikuwa Kazini Sio Msibani nae akienda Msibani huvaa Khanga!

Mfanyakazi wa Guest house hata akiwa Ana bleed huwa anaenda Kazini japo Kwa utamaduni wetu Dem akiwa Ana bleed haji Guest house kuliwa!
Umesahau
 
Fyuu
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
uuuu fyuuuuyu hovyooio
 
Hawa dawa yao ni ule Muswada wa Habari. Mtu anashindwa kutofautisha matukio!!??
 
hahahaaaa!! dah eti sio utamaduni wetu!! hivi unaujua utamaduni wetu? babu na bibi za wazee wenu walikua wanaziba sehemu moja tu ya mwili, dushelele au 'K'. matiti na matak.o waliacha wazi, huo ndio utamaduni wetu.
 
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
Kabisa nami nilinote. Sidhani kama ilikuwa busara!
 
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
 
maisha ya ujima yanarudi Tv yenyewe tumshukuru Mengi maana mwaka 1993 sheria ya kurusha matangazo ilikua mwisho Mkoa wa Pwani alichokifanya Mzee Mengi ni kuweka TV kubwa kila mkoa kwa hiyo toka tumeanza kuona Live tuna muda kidogo usiturudishe enzi zile tena Mkuu.
hao vijana wanajua tulipotoka?ukikutwa na kipande cha sabuni lazima ueleze umenunua wapi,sukari kwa foleni ukiandikisha bati leo RTC kupata mwezi ujao
 
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
hamna watu wachafu na wenye matendo mabaya kama hawa wanaojidaigi wana maadili sasa kuvaa kanga ndo kuwa na maadili je wanaovaa kanga bila nguo yoyote ndani hao nao wana maadili hebu acheni mambo yenu ya kujifanya wajuaji ilhali yenu hayatizamiki
 
hao vijana wanajua tulipotoka?ukikutwa na kipande cha sabuni lazima ueleze umenunua wapi,sukari kwa foleni ukiandikisha bati leo RTC kupata mwezi ujao
Naskia kipindi hicho ukimuongea Mwl Nyerere kwa ubaya hata kama upo ndani na mke wako unamuongea kwa ubaya kesho yake asubuhi wazee wapo mlangoni kwako ni kweli mkuu
 
Kwenye taarifa ya habari ya ITV,reporter wao wa kike ameonekana akiwa amevaa suruali tena ya kubana kwenye kuriport kuwasili kwa mwili wa marehemu Samuel sitta pale JNA.
Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.
Hapo kwenye Bold ndio unapotakiwa kujiuliza mara mbili kuhusu ushauri wako! JE kuvaa khangaa msibani kwa mwanamke ni kizamani au kisasa!?
 
We jamaa unatoka Chato nini!! Yupo kazini sio msibani
 
Back
Top Bottom