Julieth Robert (ITV) Ulikosa Khanga msibani?

Julieth Robert (ITV) Ulikosa Khanga msibani?

Haya si maadili yetu, kwa mwanamke wa kitanzania, kuonekana amevaa suruali pekee kwenye misiba pasipo kuvaa angalau mtandio.Hebu nyie waandishi wa kisasa zingatieni pia maadili ya mila na tamaduni zetu.


Kama alitoka job je?
 
jibu ni kwamba huyu dada ni m.ala.ya lengo lilikuwa kuwatamanisha wakubwa
 
hahahaaaa!! dah eti sio utamaduni wetu!! hivi unaujua utamaduni wetu? babu na bibi za wazee wenu walikua wanaziba sehemu moja tu ya mwili, dushelele au 'K'. matiti na matak.o waliacha wazi, huo ndio utamaduni wetu.
Siku hizi madela
 
Ni sheria gani inayosema uvae khanga msibani? usitake kila mtu aamini unachoamini.... usitake kila mtu awe na tamaduni zako..... usitake kila mtu aamini mafundisho ya dini yako.. Tanzania is multicultural state kila mtu ni sovereign kwa kila anachokiamini ilimradi asivunje sheria. Dont make your believe to be supreme over others .
Akivunja sheria itakuwaje? Mbona JPM anavunja sheria kila kukicha na hajafanywa lolote!

Suruali si vazi la kike (usiulize sheria) na kiafrika si sawa (kawaida iliyozoeleka na wengi wakati mwingine huwa kama sheria katika jamii husika) kwenda katika hadhara kama inayotajwa na vijitako vyako vikiwa vimefutuka katika kisuruali chako. Vazi la kike gauni tena si la kubana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh; huyu Dada sio utani ni mkali sana
Huyu demu itakuwa ulimwona jana itv ukaamua uje umsearch picha zake
Sema ni mzuri kiaina.....
Fw1u57iS.jpg
927N4oly.jpg
 
Utakuwa unampenda wewe, wote hao umemuona yeye tu!
 
Ila huyu mdada kwa kweli ni mrembo,sauti tamu na pia bado mkono wa kushoto hajawekewa bati(pete)
 
huyu dada ni moja ya kipaji ktk sekta ya habari anajua sana kuhoji maswali ya kiakili sio ya kukurupuka ...hakika hapa mzee Mengi alipata mfanyakazi
 
Back
Top Bottom