Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,367
Naamini maelezo yako si msimamo wa admin wa Jamii forums.Kwa sababu kama wahusika wangekuwa na msimamo huo basi wasingeingia kwenye Internet,badala yake mijadala yote wangefanya kwenye kompyuta zao majumbani mwao.[/QUOangalia hapa!! hili ni nini?
Last Post
Dini/Imani
(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!