Jukwaa linaloogopwa

Naamini maelezo yako si msimamo wa admin wa Jamii forums.Kwa sababu kama wahusika wangekuwa na msimamo huo basi wasingeingia kwenye Internet,badala yake mijadala yote wangefanya kwenye kompyuta zao majumbani mwao.[/QUOangalia hapa!! hili ni nini?
Last Post


forum_new-48.png
Dini/Imani

(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!
 
Bahati mbaya ilikuwa sijuwi kwamba Invisible ndiye anayeliendesha.Wewe unayefahamiana naye mwambie afanye mipango ili mtambo wake usizimike kila mara.Kwa sababu mimi hili jukwaa ndilo ninaloona litawapeleka wana jamii pema kwa anyetaka na pabaya kwa anayetaka.
Title
Jukwaa hili hapa! kwanini unasema hulioni?




Last Post


forum_new-48.png
Dini/Imani

(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!
 
wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii

jukwaa lipo siku zote wazi lah! hujaliona, basi siku hiyo lina marekebisho kidogo,

Yesu na akuponye ufahamu wako, uweze kufahamu ukionacho
 
Title
Jukwaa hili hapa! kwanini unasema hulioni?






Last Post


forum_new-48.png
Dini/Imani

(1 Viewing)
Karibu, hapa si mahala pa mihadhara bali masuala kuhamasishana kiimani na kufundishana yale yaliyo mema. Aidha ni sehemu muafaka kuangalia mapungufu katika dini zetu na kuuliza maswali kwa waamini wa dini husika kuhusu imani yao. Contact Invisible to get access!
Hivi ninavyoandika halipo.Limeshazimika.
 
Kwa jinsi huu msamiati wa udini unavyotumika kwengine hii dini ina uwezekano kwamba ni kama ya huko.Mfano tunasikia serikali haina dini lakini huwa inaumwa sana ukristo ukishambuliwa na hauna habari uislamu ukiumizwa. Kwa mfano kupitia sheria ya ugaidi.

Nilijua tu kuwa wewe utakuwa mwislamu. Haya uyasemayo kwenye wino mwekundu siyo kweli hata kidogo kwa maana rais ni mwislamu, makamu wa rais ni mwislamu na mkuu wa polisi ni mwislamu.
 
Inasikitisha kuona watu wanashindwa kufahamu maana ya uwepo wa JF. Soma maelezo hapo juu kuhusu matumizi ya jukwaa lenyewe. Hapa siyo mahali pa kukashifiana kidini. Maana jukwaa la dini ni lazima litazaa upuuzi huo kama halitaangaliwa vizuri. Kwanini unataka jukwaa la dini tuuu?? Huna jingine bora kwa jamii? Imefika mahali watanzania inabidi tuwe watanzania wale ambao Nyerere alitufundisha namna ya kuishi pamoja tukijua kwamba serikali ya Tanzania haina dini bali watu wake ndiyo wenye dini. Ukishapata ufahamu huo sawasawa wala huhitaji tena kuliona hilo jukwaa la dini hapa.
 
siliogopi ila huwa sipendi malumbano ya kidini kwakuwa najua athari zake huwa nawaachia wale wasiojua athari zake waendelee kukomaa. Actually uhuru wa kuongea una raha na karaha zake
 
Back
Top Bottom