Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Mods, naomba lianzishwe jukwaa maalum kwa ajili ya wanawake, ambapo tutaweza kuyajadili kiunaga ubaga mambo yetu yanayotuhusu na kutukereketa moyoni.
Kuna baadhi ya mambo hatuwezi kuyaongea hapa kwenye jukwaa la mapenzi kwani kina baba hawachelewi kutuharibia threads zetu.
Pia uhuru wa kuongea utu wetu wa ndani unakuwa ni mdogo sana kwani tumeumbwa na nyuso za aibu mbele ya kinababa.
Nawakilisha
Kuna baadhi ya mambo hatuwezi kuyaongea hapa kwenye jukwaa la mapenzi kwani kina baba hawachelewi kutuharibia threads zetu.
Pia uhuru wa kuongea utu wetu wa ndani unakuwa ni mdogo sana kwani tumeumbwa na nyuso za aibu mbele ya kinababa.
Nawakilisha