TABASAMU LA BUNDI By Jaja-kah Tunti

Ncha ya Mkukina

JF-Expert Member
Dec 17, 2017
561
694
1. KIKAO CHA SIRI
Kulikuwa na kikao cha siri sana, cha Maafisa wa Usalama wa Taifa wa Africa ya Mashariki. kikao kilifanyika kwenye horofa ta tatu ya jengo mashuhuri la Kiputu Towers maeneo ya Msasani, karibu na JKT. Mimi na Timid Chuwaka tulipoingia kikaoni, wenzangu kadhaa walishatutangulia. Horofa hii tuliyokuwepo zilikuwa Ni ofisi za MK SOLUTIONS. Walishughulika na digital and electronics Security appliances. Ilikuwa ni kampuni halali kabisa, lakini chini ya usalama wa Taifa, wengi hawakulijua hili. Hati ya Umiliki ilionyesha jina la Prudence Kimaro.

Consolata Kagingo, Evodia Mwakidube, Grace Otieno, Halima Himidi
Ni miongoni mwa ma colligues wetu waliokuwepo kwa uchache, kwa maana ya timu ya Tanzania. Mawakala wawili wa kijeshi kutoka Lugalo Makao makuu na JKT Mlalakuwa, maeneo ya Kawe jijini Dar es Salaam. Pia mtu kutoka kitengo Cha usalama Cha Polisi(wote Hawa walikuwa makomandoo) kwa Jina la Thomas Wandiba

Palikuwa na watu kutoka , Kenya, Uganda, Ethiopia na Somalia, Congo, Burundi na Rwanda. MK SOLUTIONS pana ukumbi maridadi wa mikutano. Ulikuwa wa ukubwa wastani, lakini executive, self contained. Hakuna mtu yeyote aliye jua kuhusu kikao hiki, neno lilikuwa kwamba Ni kongamano maalumu la wizara na sekta ya biashara kwa nchi husika.

Alipo ingia X-vii Kama alivyo fahamika idarani, kutoka makao makuu ya usalamaTanzania wachache walimfahamu. Niliwaza mratibu wa zoezi nilimkaribisha, kwa kumwambia itifaki yote imezingatiwa. Aidha pia,niliwajibika kutoa taarifa ya mjumbe mwenzetu ambaye angechelewa kufika kutokana na dharula ambayo haikuzuilika,Bwana Thomas Wandiba, katika uhakiki wa mahudhurio.
" Nawasilisha" nilisema nikimkaribisha Ndugu X, Mwenyekiti wa kikao hiki.


Aliongea kwa kiswahili lakini kulikuwa na wakalimani wa kiingereza na kifaransa
X alisema:

" Ndugu tunawashukuru Sana kwakufika kwenu hapa"

Wala sitapoteza Muda kuwasilisha agenda kuu ya kikao hiki. Awali kilipitishwa na Umoja wetu wa nchi Huru za kiafrica chombo kimoja Cha usalama Cha bara hili, huu Ni utekelezwaji wa majukumu ya Kanda yetu. Mambo yanayoendelea Sasa bara la Africa Ni ya Siri. Kikubwa Ni kwamba tumeamua kuungana kiitikadi, na kukwamuana sisi kwa sisi kiuchumi, kupunguza bidhaa kutoka nje na pia kuwa na tamko Moja kuhusu msimamo wa bara letu katika jukwa la kimataifa. Ndugu tumeitana hapa kuwaambia tayari tunaanza kukabiliana na upinzani, Tena kupitia watu walioko ndani, unyonge wa mwafirika Ni furaha kwa wengi, njaa kwetu kwao shibe! Alisema kwa uchungu' wao na vibaraka wao kutoka ndani. Sasa Kuna mawili hapa Kama si matatu' Moja Ni mtandao wa wauza vipusa na nyara pori katika Kanda yetu, na pili ni kusapotiwa kwa Siri vikundi vya kigaidi na hao wenzetu wasiopenda amani na ukombozi wa mtu mweusi. Mtandao wa kimataifa wa kuuza silaha, wakibadilishana na vipusa hivi. Wanyama Wana uliwa, baadhi tuna hofia watapotea duniani! Tunajua Kuna uhusiano mkubwa wa maharamia Hawa katika maeneo ya uraibu wa madawa ya kulevya pia. Na biashara utumwa mambo leo,ikiwa ni sehemu ya tasnia ya filamu za ngono, na uvunjifu mkubwa wa maadili ya Jamii na kidini duniani. Ni Kama pembe tatu ya kifo, na miongoni mwetu, Kuna viongozi wakubwa tu wako mifukoni mwa mabilionea hawa, katika nafasi kubwa za wajibu serikalini, na hivyo inakuwa ngumu kuzuia. Lakini tunavyanzo vyetu, tunawafahamu, tena orodha ya majina yao tunayo, na mtandao wao wote. Sasa tunafununu ya shambulio ukanda wetu, na tunachangamoto ya miundo mbinu ya kiufundi kukabiliana na changamoto hii, bajeti yetu ndogo. Ndugu wajumbe nawasilisha kwenu tuzungumze na kufikia maamuzi ya utekelezaji.

Nawasilisha" Alimaliza Bwana X

BINTI MZURI

Wakati X alipokuwa anazungumza kulikuwa na binti akiwajibika Kama katibu muhtasi wake, nafahamu jina lake aliitwa Enzi Mkotopia alikuwa mtaalamu wa lugha. Aliongea kwa ufasaha lugha Kama saba hivi! Enzi alikuwa mzuri mno, sawa kwa mujibu wa macho yangu miye' Kila wakati alikuwa nyuma ya X,
alikuwa na macho yaliyonivuta, yalikuwa macho makali mno, Alikuwa kama mashine, aliandika kila neno la X, pia alikuwa anakiangalia chumba kizima'
Sasa X alipo maliza hutuba yake, itifaki ilizingatiwa, Cha Kwanza tulijichanganya...tukajadili hutuba, alafu vilikuja vinywaji na bites...kila mtu alikuwa na laptop na diary za kuandika. Tulijikusanya vikundi tukaijadili mada. Ilipita saa nzima, kisha tukarudi meza kuu.

Enzi alikuwa personal bodyguard wa X, alikuwa mzuri mno. Pembeni yake Ni mtu wa itifaki Ikulu. Jina lake anaitwa Enoki Mwaizile. Tulizungumza mada yote. Enzi alikuwa na umbile la kisomali, tofauti nao alikuwa portable tight maeneo ya kiunoni na mapajani. Japokuwa alivalia sketi ndefu yakupwaya, mahipsi yake hayakujificha. Nywele alijaaliwa, na pua ya upanga. Alikuwa mweusi maji kunde, midomo minene iliyojawa mahaba. Pamoja na yote hayo, wapumbavu tu ndio wangehadaika, alikuwa na ujeuri Fulani hivi, uliojificha katika kina cha mboni za macho yake, ukahawia na kijivu Kama nyoka! Ambavyo usingevigundua kwa urahisi! Ukavu Fulani wa kifedhuli, iwapo kama ungemuudhi! Naifahamu sana dizaini hii, usiombe kudandia gari yake kwa mbele, wavuvi, tunajuana wenyewe....!!!!
Mdahalo uliendelea

Kwa mfano Mirondo Obote kutoka Uganda Ali sema Bob Marley alikuwa kibaraka Cha wayahudi, akadai ili Africa ijikomboe lazima kuwe na Ibada Asilia.
Hapa Timid hakunyamaza kimya, alimuuliza Mirondo

" Hivi unaposema Bob alikuwa kibaraka Cha wayahudi unakuwa Maana gani?"

Nakuwa namaanisha kwamba Kama ulivyokuwa Uislamu, na ukiristo, vijizalia vya baba na Mama yao ujudism, Urastafari nao unaendeleza kasumba ileile ya Miungu migeni na bandia....!!! Kabla yakuja myahudi na ngano zake, Tena maelfu ya miaka awali Bara hili la Africa lilikuwa na tasnia yake mashuhuri ya dini....!!!
"Urasta hauwezi kumkomboa mweusi, urasta umeshachakachuliwa na wayahudi, Kama ilivyo uislamu na ukiristo" Sayuni sio ahadi Wala baraka yetu, alijibu Mirondo'

Timid nilinyamaza kimya kwa mshangao!

Mirondo Aliongeza, tunalo tatizo la watu wa Asia!!!! Watu wabaya Sana, Kwani wanatudharau, pili wana ishi nchini kwetu. Akasema Wahindi na waarabu ni watu wabaya mno!!! Hawafai. Ni ma Ibilisi. Ili Africa ijikomboe lazima ijue jinsi ya kudili na wanyama Hawa.

Hapo Halima Othman Himidi aliingilia, akasema:

" Siwezi kuvumilia ubaguzi huu wa rangi na upuuzi katika dunia hii ya Sasa, wako waswahili Arabuni na India. Hawabaguliwi sababu wao ni waswahili"

Halima alisema hivi sababu yeye Ni chotara wa kiarabu, asili yake Zanzibar, Mzee wake Bwana Othman Himidi alikuwa wale ma intelligence wa kwanza kabisa Mara baada ya Uhuru. Alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa mno na kutegemewa serikalini. Sasa akiwa na umri wa karibu miaka 80, aliheshimiwa mno.
Bwana Mirondo hakuweweseka na hoja ya Halima, Bali alijibu mapigo alisema , Ni uwongo!

"Waswahili hawana maisha mazuri Arabuni Wala India Kama ambayo wahindi Hawa na waarabu wana ya ejoy na kuishi hapa. Wala hata huko Ulaya. Mfano hawawezi kupata nyadhifa katika serikali za nchi hizo, kwa mfano ubunge! hata Kama ni ni Raia. Pili wana fanyiwa ukatili ikiwa ni harassment mbalimbali, vipigo hadi kuuliwa. Alisema Mirondo, na kuongeza kuwa, India wanafunzi waswahili walio masomoni kule Wana nyanyaswa, baadhi wameuliwa eti sababu walikuwa na mahusiano na mabinti wa kihindi!!!!! Wahindi hawa mbona wanalala na dada zetu hapa??????? Ni ubaguzi na dharau tu za kumdunisha mtu mweusi, Muda umefika mambo haya ya kome, na viongozi wa Africa lazima watetee utu, heshima na usalama wa Watu weusi, aling'aka Obote mpaka pofu liki mtoka kinywani!

Watu wote walikuwa kimya, wakimsikiliza Mirondo. Alafu akadakia Bakari Bakoka kutoka Mombasa Kenya. Chotara wa kisomali na kikamba. Mtu mrefu mweusi tii!

" Ndivyo sivyo wako Kila mahali, sio sababu ya kupiga mkasi jumba zima! Hapa tunachokabiliana nacho Ni Vita ya propaganda! " Tena kichwa chake Ni Sera za kidunia. Sera za kijamaa daima zimeandamana naheshima, utu, upendo na usawa, au kwa kiasi kikubwa zimelenga hayo. Kinyume chake wafanya biashara wachache, wakiruhusiwa kuwa na mtaji na umiliki mkubwa, Ni shidaaaa!!!! Tatizo siku hizi ukizungumzia ujamaa utaonekaana Ni mwendawazimu!! Haya tuendelee kutandaa wazi, si biashara bwana!!!! Mikandamichafu ya ngono ruksa, ndoa za jinsia moja ruksa. Weusi sisi hatuna cha kusema! Sisi shetani, weupe ndio Mungu! Alisema Bakari kwa uchungu!

Mpaka hapo, X aliyekuwa Mwenyekiti wa kikao alikuwa kimya akisikiliza. Kisha akaingilia kwa kusema:

" Asanteni Ndugu wajumbe, tutayapitia yote hayo, lakini msisahau wajibu wetu Kama Chombo Ni kulinda maslahi ya Kanda yetu na watu wake. Sio kuwaua Raia pasipo sababu! Ikumbukwe pia changamoto tunazo nyingi! Ukiweka pembeni hayo mnayoyasema, ya uchumi, siasa na utamaduni' Pia tunachangamoto za kimazingira. Uchafuzi wa mazingira, unaohatarisha maisha ya viumbe na mimea, nchi kavu na kwenye vyanzo vya maji! Alisema X. Sasa mawazo yenu mnayo yatoa hapa, yatahakikiwa na maazimio kuwasilishwa kwa Maraisi wa Kanda yetu.

Ujue sisi kama chombo ni washauri wa watawala, na wapiga mbiu!
Sasa kuhusu kudunishwa na kupuuzwa watu weusi duniani, hiyo haina ubishi! Binafsi nimeishi nchi za Ulaya na marekani, nimeyashuhudia haya! Hayana ubishi! Ile wanaita systematically ama institutional racism, yaani ubaguzi na udunishwaji wa kimfumo wa watu weusi. Kuanzia mashuleni mweusi haandaliwi kuja kufanya kazi Bora! Ukienda kwenye taasisi mbalimbali unakuta waasia na wazungu! Ndugu, si kwamba hatuna akili! Ni kunyimwa fursa kwa makusudi! Magereza ndio wametengewa weusi! Usishangae uhalifu kama watu hawana kazi! Sisi weusi Ni wakati umefika tuanze kupendana sisi sasa. Kwani tumeshajua hawatupendi, Wala kututakia wema wowote ule. Kukabiliana na hili lazima tutekeleze agenda zetu, za kujikwamua! Alisema X kwa hamasa. Asanteni Ndugu"

Unajua hata katika chumba kilichokimya,hata Kama Kuna watu, utamjua mkimya! Hata Kama akizungumza utamjua tu, hulka haijifichi!

Huyo ndio Grace Otieno. Binti wa kiluo huyu alikuwa mpole mno. Hadi sauti yake ilikuwa tepetevu. Grace alikuwa kichwa ile mbaya, alikuwa mratibu usalama wa IT wa itifaki ikulu. Kimsingi wote waliohudhuria kikao hiki walikuwa mabosi wa vitengo na idara, sio kitoto Wala usifanye mchezo Ndugu!

Grace alisema:

Tusisahau mfumo wa Elimu, inabidi ushabihi mahitaji yetu. Mbona Wahindi na waarabu kusoma hawasomi, wanafanya biashara zao tu? Biashara kwao ndio kila kitu! Namaanisha vipaumbele, na Kama wakisoma Wana malengo, na Ni wa taaluma kwelikweli! Muhindi anatoka kwao huko,maskini hohehahe, anakuja tajirikia hapa! Ujue Kuna elimu na kipaji! Tujifunze namna ya kuendeleza vyote, tusiue vipaji, bali tuviendeleze kwa utaratibu mzuri. Mfumo wa Elimu tulio nao Ni mtumba, unaendeleza kasumba za kumtukuza mtu mweupe, na kutukirisha sisi kwamba hatuwezi! Ni hivi majuzi TU taarifa zimeanza kutoka kwamba weusi tulistaarabika zamani, kabla ya wakoloni na hao waliotuchukua utumwani. Lakini watoto wetu darasani hawafundishwi hayo. Walimu wanasimama darasani kuwatukana watoto wakisema mswahili Ni pumbavu tu, hawezi kumfikia mzungu,ama mwarabu ama muhindi. Imekuwa ramani ya dunia, kila mahali mswahili ndiye mwenye kudharauliwa! Na kibaya zaidi mswahili ameikubali Hali hii ya kutengenezwa Kama maisha yake stahili!!!!

Grace Otieno aliongeza kwamba
" Weusi hatuna taarifa sahihi kutuhusu, kwani taarifa hizo zimekuwa muhanga wa uharibivu mkubwa, kupitia ubandia dini, elimu, utamaduni, siasa na uchumi tegemezi ambapo mweusi yeye amenyimwa fursa ya kielelezo sayansi na teknolojia.
Ile wanasema kiwiliwili TU kinatembea Bila uhai! Utu ulishafyonzwa zamani,limebaki kasha tu....
Muda wote huu wote tulikaa kimya tukishangaa maneno ya Grace Otieno!!! X alitoa leso na kufuta machozi yaliyokuwa yakimlengalenga. Maneno ya Grace yalimchoma kila mmoja!

INAENDELEA:

TABASAMU LA BUNDI
Jaja-Kah Tunti Ani Gwa Upobu

ENOKI MWAIZILE

Wakati huu nilipata ujumbe kutoka katika intel-pad yangu, ambacho ni kifaa maalumu cha Kiofisi kupokea na kutoa taarifa za kazi. Nilifanya mawasiliano mrejesho, kisha niliwajibika kutoka kikaoni. Nilidandia lifti na kushuka mpaka chini. Nilielekea kwenye Car parking, Hatua tano kabla ya kufika mraba wa saba ilikokuwa imepakiwa gari yangu, nywele zina nisimama nikihisi hali ya hatari! Napapasa kiunoni mwangu: Lahaula Koti na Bastola yangu nimeacha Juu Horofani kiuzembe kabisa! Kwani sikutegemea chochote, zaidi ya tahadhari kutoka Intel –Pad yangu, wakati haya yote yakiendelea kichwani mwangu, siku onyesha ishara yoyote wala kusita! Niliendelea moja kwa moja kuelekea kwenye gari yangu aina ya Volvo 740 turbo blue. Kulikuwa na mwangaza hafifu, cha kwanza nilichoshangaa! Nilifikia gari na kufungua mlango wa dereva, pale pale nikahisi kama ubaridi wa chupa ya coca cola shingoni mwangu!


“Usigeuke nyuma” Sauti ilisema


“Ingia uendeshe gari” Sauti iliongeza

Nilifanya kama nilivyoagizwa, alihakikisha nimekaa, kutokea hapa sasa nikaiona vizuri bastola yake aina ya Sig Sauer:(1911 Ultra-Compact Sleek design combined with stopping power)

. Akiwa amesimama dirishani nduli huyu nilihisi ubaridi mwingine sikio la kushoto kwangu, huku niki kaa kwenye usukani, wa pili kumbe alikuwa siti ya nyuma Kwa dereva na alisisitiza:

“Endesha, geti liko wazi toka chukua njia ya Cocacola kuelekea Mwenge alisema” Nilifanya kama nilivyo agizwa, mdogo kama piritoni!! Usinicheke! Bali nisikitikie, ndio kazi zetu, roho mkononi. Wa kwanza aliyenipokea kwanza alizunguka na kuja siti ya mbele upande wa dereva, yote haya yakitokea kwa kasi ya ajabu!

EEh Mungu wangu unisaidie nilijiwazia '
Tulianza kuiacha Kiputu Towers maeneo ya JKT Head Quarters Mlalakuwa Kawe.

**************
Sasa akili yangu ilianza kujipanga kwa kasi ya ajabu, aliyenipokea wa pili alikaa siti ya nyuma na alikuwa na bastola aina ya Springfield Armory® XD® MOD.2™ 9mm 3" zote za kisasa zenye ufanisi wa Hali ya juu' Nilistaajabu ya dunia!

Hawa walikuwa ni watu gani??? Walizitoa wapi taarifa za kikao hiki? Walinzi wa geti kuu la kuingilia wako wapi? na security camera mbona hazikutoa alarm?
Hasira Kali za kishetani zilianza kunipanda...miongoni mwetu Kuna watu sio wenzetu!!!!! Niliwaza kwa uchungu mwingi!!!!

Ndani ya dakika 15 baada ya hayo yaliyojiri, Kikao kiliendelea, kilisha chukua karibu masaa 13, ilikuwa saa nne za usiku. Waandishi waliandika, laptop na computer ukumbini mpaka zilichoka…umeme ulikatika na genereta kuwashwa, hatimaye ukarudi kikao kikaendelea!Watu walikula, walikunywa vinywaji: juisii, kahawa kwa maji na bites, na vingine vinywaji vya nguvu! Pombe tu ndio haikuonekana hapa! Na walevi utawajua, walikuwa wamenuna ile mbaya! Mijadala na hoja mpya ziliibuka, zingine kufutwa, ama kuungamanishwa katika hoja kuu. Kuna Mdada aliitwa Mukamatara Gahigi kutoka Rwanda, alileta mpambano mkubwa na Mirondo, aliposema kwenye mjadala kuhusu maadili na Taasisi ya Ndoa, alisema


“ Ndoa sasa sio kama zamani, suala la ndoa za Jinsia moja liko mezani, huwezi kulikana tu hivi hivi, ukidai Ni kinyume cha mila na desturi za Kiafrica’ Sasa tunafahamu mambo haya yalikuwepo tangu enzi, lakini yalifichwa, kama mengine mengi”

Mirondo huyu kweli alikuwa Pan Africanist Mganda huyu akasema:


Msianze kutuletea ujinga wa Ulaya hapa! Kutuambia mavi ni usafi, ama mikojo ni maji! Hatutaki’ waga mnaanza hivi kisha mkimaliza mnakuja kusema, mabinti walale na baba zao, na vijana wawapande mama zao, hata kama yalikuwepo, hatuwezi kurasimisha!” Yatakaa hivyo hivyo, kama babu zetu walivyo shughulika nayo”


Kauli hii ilimuuma Mukamatara, aliyekuwa shushushu' Mtoto wa Bwana Gahigi Balozi wa Rwanda nchini Africa kusini, ambaye zilishavuma idarani kwamba anakula wanawake wenzie!

Walikuwa wamekaa meza moja, Jazba zilimkosesha fikra na ghafla Mukamatara alifyatua ngumi kali iliyolenga jicho la Mirondo, Mirondo ambaye hakulitegemea hili akijaribu kuepa ikamfika kidevuni! Mukamatara alisha simama na kumkaba kooni, Hapa Halima Himidi aliye kuwa pembeni yake aliukamata mkono wa Muka na kuupinda kijudo, alitoa ukulele Dada huyu na kulala chini!

Kana kwamba hakuna kilichotokea kikao kiliendelea watu wote kimya!

Enzi mwongoza mada Pembeni ya X, Alisema mjadala huo wa Ndoa, umewekwa katika ghala B kwa ajili ya follow up. Kikao kikaendelea.

Kilichofuata lilikuwa pendekezo La kustawisha Kanda za kwa mujibu wa ghafi zinazo patikana.

Ilisemwa kwamba

i. Maeneo yenye vyanzo maji kama maziwa na bahari, yajikite kwenye viwanda vya kustawisha mazao husika , yaani, kuuza na kusindika samaki

ii. Maeneo yenye Mbuga, kujikita kwenye utalii kwa ustawi na maisha bora ya mikoa husika

iii. Maeneo yenye madini vivyo hivyo

iv. Ikasemwa mfumo wa Elimu yetu usukwe upya ukizingatia asili zetu, na hulka za watu/ makabila’ Mfano kuna baadhi ya makabila wana vipaji vya ufundi, basi taasisi na vyuo vya kiufundi vijengwe kwenye mikoa yao, sambamba na elimu ya kisasa, vivyo hivyo elimu ya jadi, kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu

v. Kufufuliwa upya Mahekalu ya ibada asilia.

************"""""*********************"""""""""""""**********************""&&&&&&


Wakati haya yanaendelea aliingia mdada kutoka mapokezi kama alivyodai, na kusema anaomba Koti la Enoki Mwaizile, akidai yuko chini nje kuna itifaki anakamilisha,

Enzi alimkata jicho lenye shaka, na kumhoji mbona sikukuona asubuhi?

Akajibu Nimekuja baadae, Akitoa vitambulisho vyake’

Ikumbukwe kuwa Tangu alipotoka nje Enoki ilipita takribani dakika 20, sema jinsi kikao kilivyokuwa bize, watu hawakutilia maanani!

Enzi alimwambia akachukue koti, alifanya hivyo binti na kuanza kutoka. Mara hiyo Enzi alikumbuka Intel –Pad yake, ambapo wanamtandao wa usalama wenye clearance Ikulu tu waliwasiliana peke yao moja kwa moja’

Alisema samahani ndugu wajumbe, najaribu kuwasiliana na Enoki, nifahamu nini kinaendelea, aliinamisha kichwa chake tena na kutazama Intel Pad yake, na kukutana na ishara X NYEKUNDU

***********************************************************************8

Kumbe umeme ulipokatika awali, Cruizer Jeusi lilitua kwa nje ya ukuta wa Jengo la Kiputu mwali, Likiwa linasindikizwa na mdada aliyeendesha bonge la pikipiki Jeusi kwa mwendo wa silensa, , kiza kimetapakaa, watu 8 walishuka wakiwa wamevalia nguo za mpira zilizo wabana miili, na kufunika mpaka nyuso kubakiza macho kama Ma Ninja Wakiwa na vifaa maalumu walizizima Camera zote zilizo zunguka jengo, kwa kuzikata nyaya kuu. Kisha waliingia ndani na kwenda kwenye security room, hapo waliwapulizia wana usalama wawili aina ya perfume, nao wakadodoka na kupoteza fahamu palepale. Waliingia mapokezi na kufanya vivyo hivyo, kisha wakamwacha mwenzao mmoja aliyechukua vitambulisho vya receptionist aliye zimika, Hapa reception pia kulikuwa na kabati lililokuwa na mawasiliano yote ya kielectroniki ya jengo zima. Mmoja wapo wawavamizi hawa alifungua na kuanza ku intercept mawasiliano yote akiwa na ki brief case kilichokuwa na screen, baada ya sekunde chache waliweza kuona na kusikia kila kilichokuwa inaendelea ukumbi wa mikutano. Walichokuwa wanakitafuta ilikuwa ni hard disk ya Enoki Mwaizile iliyokuwa na Blue print ya zoezi zima, ikiwa ni pamoja na orodha ya waliotuhumiwa kuihujumu Africa.


Kikundi hiki kilikuwa na watu wenye utaalamu wa hali ya juu. Walifanya zoezi lao ndani ya dk 15 tu, na kumtumia ujumbe wa uongo Enzi kupitia simu yake ya mkono, aliye mforwadia Enoki kwenda kumpokea Mjumbe aliye chelewa Thomas Wandiba. Mara baada ya kumkamata Enoki hawakupata walichotaka na hivyo kumtuma mwenzao wa kike kurudia koti la Enoki, aliyefanikiwa kufanya hivyo na sasa alikuwa anaondoka.

*********************************************8

Chini huku Mungu naye si Athumani, Thomas nae anafika, njiani akiwa amepishana Land cruiser Jeusi likiongozana na Volvo Blue ya Enoki, Thomas akadhani labda kikao kimekwisha, alipofika getini nje kuna piki piki kubwa Jeusi anakuta geti liko wazi, limeegeshwa, na Mwanga hafifu, akashangaa hii sio kawaida. Kwenye chumba cha walinzi anakuta watu hawana fahamu! Masalalee, nini kimetokea!!!Anachukua Intel pad yake na Kubofya kitufe cha wana mtandao wa Ikulu nakutangaza hali ya Hatari! Anachomoa bastola yake na kuanza kuelekea mlangoni, ambapo anakutana na Bibiye kabeba koti anatoka, bibiye ana stuka na kuipiga teke bastola, ikifuatiwa na ngumi kali chini ya taya la Thomas! Thomas anayumba na kuweweseka, lakini anajiweka sawa, na kuachia ngumi tano fupifupi, zenye mkandamizo wa hali ya juu, dada anachuchumaa chini, nakuushika mguu wa Thomas, huku koti la Enoki likiwa limedondoka chini, Thomas anainama kidogo akitafuta balance, Bi Dada anaukamata mkono wakulia wa Thomas na Kuupinda ki Jiujitsu, Thomas anagumia kwa uchungu, lakini anabinuka sawa sawa na mkono wake ili ukae sawa usivunjike, na kupata balance, kisha anashusha ngumi nyingine tatu tu kwenye shingo ya bibiye, ambaye anapoteza fahamu.,,,!
 
1. KIKAO CHA SIRI

Kulikuwa na kikao cha siri sana, cha Maafisa wa Usalama wa Taifa wa Africa ya Mashariki. kikao kilifanyika kwenye horofa ta tatu ya jengo mashuhuri la Kiputu Towers maeneo ya Msasani, karibu na JKT. Mimi na Timid Chuwaka tulipoingia kikaoni, wenzangu kadhaa walishatutangulia. Horofa hii tuliyokuwepo zilikuwa Ni ofisi za MK SOLUTIONS. Walishughulika na digital and electronics Security appliances. Ilikuwa ni kampuni halali kabisa, lakini chini ya usalama wa Taifa, wengi hawakulijua hili. Hati ya Umiliki ilionyesha jina la Prudence Kimaro. Consolata Kagingo, Evodia Mwakidube, Grace Otieno, Halima Himidi Ni miongoni mwa ma colligues wetu waliokuwepo kwa uchache, kwa maana ya timu ya Tanzania. Palikuwa na watu kutoka , Kenya, Uganda, Ethiopia na Somalia, Congo, Burundi na Rwanda. MK SOLUTIONS pana ukumbi maridadi wa mikutano. Ulikuwa wa ukubwa wastani, lakini executive, self contained. Hakuna mtu yeyote aliye jua kuhusu kikao hiki, neno lilikuwa kwamba Ni kongamano maalumu la wizara na sekta ya biashara ya nchi husika.
Alipo ingia X-vii Kama alivyo fahamika idarani, kutoka makao makuu ya usalamaTanzania wachache walimfahamu.
Aliongea kwa kiswahili lakini kulikuwa na wakalimani wa kiingereza na kifaransa
X alisema

" Ndugu tunawashukuru Sana kwakufika kwenu hapa"
Wala sitapoteza Muda kuwasilisha agenda kuu ya kikao hiki. Awali kilipitishwa na Umoja wetu wa nchi Huru za kiafrica chombo kimoja Cha usalama Cha bara hili, huu Ni utekelezwaji wa majukumu ya Kanda yetu. Mambo yanayoendelea Sasa bara la Africa Ni ya Siri. Kikubwa Ni kwamba tumeamua kuungana kiitikadi, na kukwamuana sisi kwa sisi kiuchumi, kupunguza bidhaa kutoka nje na pia kuwa na tamko Moja kuhusu msimamo wa bara letu katika jukwa la kimataifa. Ndugu tumeitana hapa kuwaambia tayari tunaanza kukabiliana na upinzani, Tena kupitia watu walioko ndani, unyonge wa mwafirika Ni furaha kwa wengi, njaa kwetu kwao shibe! Alisema kwa uchungu' wao na vibaraka wao kutoka ndani. Sasa Kuna mawili hapa Kama si matatu' Moja Ni mtandao wa wauza vipusa na nyara pori katika Kanda yetu, na pili ni kusapotiwa kwa Siri vikundi vya kigaidi na hao wenzetu wasiopenda amani na ukombozi wa mtu mweusi. Mtandao wa kimataifa wa kuuza silaha, wakibadilishana na vipusa hivi. Wanyama Wana uliwa, baadhi tuna hofia watapotea duniani! Tunajua Kuna uhusiano mkubwa wa maharamia Hawa katika maeneo ya uraibu wa madawa ya kulevya pia. Ni Kama pembe tatu ya kifo, na miongoni mwetu, Kuna viongozi wakubwa tu wako mifukoni mwa mabilionea hawa, katika nafasi kubwa za wajibu serikalini, na hivyo inakuwa ngumu kuzuia. Sasa tunafununu ya shambulio ukanda wetu, na tunachangamoto ya miundo mbinu ya kiufundi kukabiliana na changamoto hii, bajeti yetu ndogo. Ndugu wajumbe nawasilisha kwenu tuzungumze na kufikia maamuzi ya utekelezaji.
Nawasilisha" Alimaliza Bwana X

Wakati X alipokuwa anazungumza kulikuwa na binti akiwajibika Kama katibu muhtasi wake, nafahamu jina lake aliitwa Enzi Mkotopia alikuwa mtaalamu wa lugha. Enzi alikuwa mzuri mno,sawa kwa mujibu wa macho yangu miye, Kila wakati alikuwa nyuma ya X,
alikuwa na macho yaliyonivuta, yalikuwa macho makali mno, Alikuwa kama mashine, aliandika kila neno la X, pia alikuwa anakiangalia chumba kizima
Sasa X alipo maliza hutuba yake, itifaki ilizingatiwa, Cha Kwanza tulijichanganya...tukajadilu hutuba, alafu vlikuja vinywaji na chakula...kila mtu alikuwa na laptop na diary za kuandika. Tulijikusanya vikundi tukaijadiku mada. Ilipita nusu saa, tukarudi meza kuu.

Itaendelea
 
1. KIKAO CHA SIRI
Kulikuwa na kikao cha siri sana, cha Maafisa wa Usalama wa Taifa wa Africa ya Mashariki. kikao kilifanyika kwenye horofa ta tatu ya jengo mashuhuri la Kiputu Towers maeneo ya Msasani, karibu na JKT. Mimi na Timid Chuwaka tulipoingia kikaoni, wenzangu kadhaa walishatutangulia. Horofa hii tuliyokuwepo zilikuwa Ni ofisi za MK SOLUTIONS. Walishughulika na digital and electronics Security appliances. Ilikuwa ni kampuni halali kabisa, lakini chini ya usalama wa Taifa, wengi hawakulijua hili. Hati ya Umiliki ilionyesha jina la Prudence Kimaro. Consolata Kagingo, Evodia Mwakidube, Grace Otieno, Halima Himidi Ni miongoni mwa ma colligues wetu waliokuwepo kwa uchache, kwa maana ya timu ya Tanzania. Palikuwa na watu kutoka , Kenya, Uganda, Ethiopia na Somalia, Congo, Burundi na Rwanda. MK SOLUTIONS pana ukumbi maridadi wa mikutano. Ulikuwa wa ukubwa wastani, lakini executive, self contained. Hakuna mtu yeyote aliye jua kuhusu kikao hiki, neno lilikuwa kwamba Ni kongamano maalumu la wizara na sekta ya biashara kwa nchi husika.
Alipo ingia X-vii Kama alivyo fahamika idarani, kutoka makao makuu ya usalamaTanzania wachache walimfahamu.
Aliongea kwa kiswahili lakini kulikuwa na wakalimani wa kiingereza na kifaransa
X alisema:

" Ndugu tunawashukuru Sana kwakufika kwenu hapa"
Wala sitapoteza Muda kuwasilisha agenda kuu ya kikao hiki. Awali kilipitishwa na Umoja wetu wa nchi Huru za kiafrica chombo kimoja Cha usalama Cha bara hili, huu Ni utekelezwaji wa majukumu ya Kanda yetu. Mambo yanayoendelea Sasa bara la Africa Ni ya Siri. Kikubwa Ni kwamba tumeamua kuungana kiitikadi, na kukwamuana sisi kwa sisi kiuchumi, kupunguza bidhaa kutoka nje na pia kuwa na tamko Moja kuhusu msimamo wa bara letu katika jukwa la kimataifa. Ndugu tumeitana hapa kuwaambia tayari tunaanza kukabiliana na upinzani, Tena kupitia watu walioko ndani, unyonge wa mwafirika Ni furaha kwa wengi, njaa kwetu kwao shibe! Alisema kwa uchungu' wao na vibaraka wao kutoka ndani. Sasa Kuna mawili hapa Kama si matatu' Moja Ni mtandao wa wauza vipusa na nyara pori katika Kanda yetu, na pili ni kusapotiwa kwa Siri vikundi vya kigaidi na hao wenzetu wasiopenda amani na ukombozi wa mtu mweusi. Mtandao wa kimataifa wa kuuza silaha, wakibadilishana na vipusa hivi. Wanyama Wana uliwa, baadhi tuna hofia watapotea duniani! Tunajua Kuna uhusiano mkubwa wa maharamia Hawa katika maeneo ya uraibu wa madawa ya kulevya pia. Ni Kama pembe tatu ya kifo, na miongoni mwetu, Kuna viongozi wakubwa tu wako mifukoni mwa mabilionea hawa, katika nafasi kubwa za wajibu serikalini, na hivyo inakuwa ngumu kuzuia. Sasa tunafununu ya shambulio ukanda wetu, na tunachangamoto ya miundo mbinu ya kiufundi kukabiliana na changamoto hii, bajeti yetu ndogo. Ndugu wajumbe nawasilisha kwenu tuzungumze na kufikia maamuzi ya utekelezaji.
Nawasilisha" Alimaliza Bwana X

Wakati X alipokuwa anazungumza kulikuwa na binti akiwajibika Kama katibu muhtasi wake, nafahamu jina lake aliitwa Enzi Mkotopia alikuwa mtaalamu wa lugha. Enzi alikuwa mzuri mno,sawa kwa mujibu wa macho yangu miye, Kila wakati alikuwa nyuma ya X,
alikuwa na macho yaliyonivuta, yalikuwa macho makali mno, Alikuwa kama mashine, aliandika kila neno la X, pia alikuwa anakiangalia chumba kizima
Sasa X alipo maliza hutuba yake, itifaki ilizingatiwa, Cha Kwanza tulijichanganya...tukajadili hutuba, alafu vilikuja vinywaji na bites...kila mtu alikuwa na laptop na diary za kuandika. Tulijikusanya vikundi tukaijadili mada. Ilipita nusu saa, tukarudi meza kuu.

BINTI MZURI

Enzi alikuwa personal bodyguard wa X, alikuwa mzuri mno. Mimi Ni mtu wa itifaki Ikulu. Jina langu naitwa Enoki Mwaizile. Tulizungumza mada yote. Enzi alikuwa na umbile la kisomali, tofauti nao alikuwa portable tight maeneo ya kiunoni na mapajani. Japokuwa alivalia sketi ndefu yakupwaya, mahipsi yake hayakujificha. Nywele alijaaliwa, na pua ya upanga. Alikuwa mweusi maji kunde, midomo minene iliyojawa mahaba. Pamoja na yote hayo, wapumbavu tu ndio wangehadaika, alikuwa na ujeuri Fulani hivi, uliojificha katika mboni za macho yake, ukahawia na kijivu Kama nyoka! Ambavyo usingevigundua kwa urahisi. Ukavu Fulani wa kifedhuli, iwapo kama ungemuudhi. Naifahamu sana dizaini hii, usiombe kudandia gari yake kwa mbele, wavuvi, tunajuana wenyewe....!!!!
Mdahalo uliendelea

Kwa mfano Mirondo Obote kutoka Uganda Ali sema Bob Marley alikuwa kibaraka Cha wayahudi, akadai ili Africa ijikomboe lazima kuwe na Ibada Asilia.
Hapa Timid hakunyamaza kimya, alimuuliza Mirondo

" Hivi unaposema Bob alikuwa kibaraka Cha wayahudi unakuwa Maana gani?"
"Urasta hauwezi kumkomboa mweusi, urasta Ni tengenezo la wayahudi, Kama ilivyo uislamu na ukiristo" Sayuni sio ahadi Wala baraka yetu, alijibu Mirondo

Timid alinyamaza kimya kwa mshangao!

Mirondo Aliongeza, tunalo tatizo la watu wa Asia!!!! Watu wabaya Sana, Kwani wanatudharau, pili wana ishi nchini kwetu. Akasema Wahindi na waarabu ni watu wabaya mno!!! Hawafai. Ni ma Ibilisi. Ili Africa ijikomboe lazima ijue jinsi ya kudili na wanyama Hawa.

Hapo Halima Othman Himidi aliingilia, akasema:

" Siwezi kuvumilia ubaguzi huu wa rangi katika dunia hii ya Sasa, wako waswahili Arabuni na India. Hawabaguliwi sababu wao ni waswahili"

Halima alisema hivi sababu yeye Ni chotara wa kiarabu, asili yake Zanzibar, Mzee wake Bwana Othman Himidi alikuwa wale ma intelligence wa kwanza kabisa Mara baada ya Uhuru. Alikuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa mno na kutegemewa. Sasa akiwa na umri wa karibu miaka 80, aliheshimiwa mno.
Bwana Mirondo hakuweweseka na hoja ya Halima, Bali alijibu mapigo alisema , Ni uwongo!

"Waswahili hawana maisha mazuri Arabuni Wala India Kama ambayo wahindi Hawa na waarabu wana ya ejoy na kuishi hapa. Wala hata huko Ulaya. Mfano hawawezi kupata nyadhifa katika serikali za nchi hizo, kwa mfano ubunge! hata Kama ni ni Raia. Pili wana fanyiwa ukatili ikiwa ni harassment mbalimbali, vipigo hadi kuuliwa. Alisema Mirondo, na kuongeza kuwa, India wanafunzi waswahili walio masomoni kule Wana nyanyaswa, baadhi wameuliwa eti sababu walikuwa na mahusiano na mabinti wa kihindi!!!!! Wahindi hawa mbona wanalala na dada zetu hapa??????? Ni ubaguzi na dharau tu za kumdunisha mtu mweusi, Muda umefika mambo haya ya kome, na viongozi wa Africa lazima watetee utu, heshima na usalama wa Watu weusi, aling'aka Obote mpaka pofu liki mtoka kinywani!

Watu wote walikuwa kimya, wakimsikiliza Mirondo. Alafu akadakia Bakari Bakoka kutoka Mombasa Kenya. Chotara wa kisomali na kikamba. Mtu mrefu mweusi tii!

" Ndivyo sivyo wako Kila mahali, sio sababu ya kupiga X, jumba zima. Hapa tunachokabiliana nacho Ni Vita ya propaganda! " Tena kichwa chake Ni Sera za kidunia. Sera za kijamaa daima zimeandamana naheshima, utu, upendo na usawa, au kwa kiasi kikubwa zimelenga hayo. Kinyume chake wafanya biashara wachache, wakiruhusiwa kuwa na mtaji na umiliki mkubwa, Ni shidaaaa!!!! Tatizo siku hizi ukizungumzia ujamaa utaonekaana Ni mwendawazimu!! Haya tuendelee kutandaa wazi, si biashara bwana!!!! Mikandamichafu ya ngono ruksa, ndoa za jinsia moja ruksa. Weusi sisi hatuna cha kusema! Sisi shetani weupe ndio Mungu! Alisema Bakari kwa uchungu!

Mpaka hapo, X aliyekuwa Mwenyekiti wa kikaoalikuwa kimya akisikiliza. Kisha akaingilia kwa kusema:

" Asanteni Ndugu wajumbe, tutayapitia yote hayo, lakini msisahau wajibu wetu Kama Chombo Ni kulinda maslahi ya Kanda yetu na watu wake. Sio kuwaua Raia pasipo sababu! Ikumbukwe pia changamoto tunazo nyingi! Ukiweka pembeni hayo mnayoyasema, ya uchumi, siasa na utamaduni' Pia tunachangamoto za kimazingira. Uchafuzi wa mazingira, unaohatarisha maisha ya viumbe na mimea, nchi kavu na kwenye vyanzo vya maji! Alisema X. Sasa mawazo yenu mnayo yatoa hapa, yatahakikiwa na maazimio kuwasilishwa kwa Maraisi wa Kanda yetu.

Ujue sisi kama chombo ni washauri wa watawala, na wapiga mbiu!
Sasa kuhusu kudunishwa na kupuuzwa watu weusi duniani, hiyo haina ubishi! Binafsi nimeishi nchi za Ulaya na marekani, nimeyashuhudia haya! Hayana ubishi! Ile wanaita systematically racism, ama ubaguzi na udunishwaji wa kimfumo wa watu weusi. Kuanzia mashuleni mweusi haandaliwi kuja kufanya kazi Bora! Ukienda kwenye taasisi mbalimbali unakuta waasia na wazungu! Ndugu, si kwamba hatuna akili! Ni kunyimwa fursa kwa makusudi! Magereza ndio wametengewa weusi! Usishangae uhalifu kama watu hawana kazi! Sisi weusi Ni wakati umefika tuanze kupendana sisi sasa. Kwani tumeshajua hawatupendi, Wala kututakia wema wowote ule. Kukabiliana na hili lazima tutekeleze agenda zetu, za kujikwamua! Alisema X kwa hamasa. Asanteni Ndugu"

Unajua hata katika chumba kilichokimya,hata Kama Kuna watu, utamjua mkimya! Hata Kama akizungumza utamjua tu, hulka haijifichi!
Huyo ndio Grace Otieno. Binti wa kiluo huyu alikuwa mpole mno. Hadi sauti yake ilikuwa tepetevu. Grace alikuwa kichwa ile mbaya, alikuwa mratibu usalama wa IT wa itifaki ikulu. Kimsingi wote waliohudhuria kikao hiki walikuwa mabosi wa vitengo na idara, sio kitoto Wala usifanye mchezo Ndugu!

Grace alisema:

Tusisahau mfumo wa Elimu, inabidi ushabihi mahitaji yetu. Mbona Wahindi na waarabu kusoma hawasomi, wanafanya biashara zao tu? Biashara kwao ndio kila kitu! Namaanisha vipaumbele, na Kama wakisoma Wana malengo, na Ni wa taaluma kwelikweli! Muhindi anatoka kwao huko,maskini hohehahe, anakuja tajirikia hapa! Ujue Kuna elimu na kipaji! Tujifunze namna ya kuendeleza vyote, tusiue vipaji, bali tuviendeleze kwa utaratibu mzuri. Mfumo wa Elimu tulio nao Ni mtumba, unaendeleza kasumba za kumtukuza mtu mweupe, na kutukirisha sisi kwamba hatuwezi! Ni hivi majuzi TU taarifa zimeanza kutoka kwamba weusi tulistaarabika zamani, kabla ya wakoloni na hao waliotuchukua utumwani. Lakini watoto wetu darasani hawafundishwi hayo. Walimu wanasimama darasani kuwatukana watoto wakisema mswahili Ni pumbavu tu, hawezi kumfikia mzungu,ama mwarabu ama muhindi. Imekuwa ramani ya dunia, kila mahali mswahili ndiye mwenye kudharauliwa! Na kibaya zaidi mswahili ameikubali Hali hii ya kutengenezwa Kama maisha yake stahili!!!!

Grace Otieno aliongeza kwamba
" Weusi hatuna taarifa sahihi kutuhusu, kwani taarifa hizo zimekuwa muhanga wa uharibivu mkubwa, kupitia ubandia dini, elimu, utamaduni, siasa na uchumi tegemezi ambapo mweusi yeye amenyimwa fursa ya kielelezo sayansi na teknolojia.
Ile wanasema kiwiliwili TU kinatembea Bila uhai! Utu ulishafyonzwa zamani,limebaki kasha tu....
Muda wote huu wote tulikaa kimya tukishangaa maneno ya Grace Otieno!!! X alitoa leso na kufuta machozi yaliyokuwa yakimlengalenga. Maneno ya Grace yalimchoma kila mmoja!



Itaendelea
Binge la hadithi Hadi noumah, Mkukina noma...teh he he
 
INAENDELEA:

TABASAMU LA BUNDI
Jaja-Kah Tunti Ani Gwa Upobu


Wakati huu nilipata ujumbe kutoka katika intel-pad yangu, ambacho ni kifaa maalumu cha Kiofisi kupokea na kutoa taarifa za kazi. Nilifanya mawasiliano mrejesho, kisha niliwajibika kutoka kikaoni. Nilidandia lifti na kushuka mpaka chini. Nilielekea kwenye Car parking, Hatua tano kabla ya kufika mraba wa saba ilikokuwa imepakiwa gari yangu, nywele zina nisimama nikihisi hali ya hatari! Napapasa kiunoni mwangu: Lahaula Koti na Bastola yangu nimeacha Juu Horofani kiuzembe kabisa! Kwani sikutegemea chochote, zaidi ya tahadhari kutoka Intel –Pad yangu, wakati haya yote yakiendelea kichwani mwangu, siku onyesha ishara yoyote wala kusita! Niliendelea moja kwa moja kuelekea kwenye gari yangu aina ya Volvo 740 turbo blue. Kulikuwa na mwangaza hafifu, cha kwanza nilichoshangaa, nilifikia gari na kufungua mlango wa dereva, pale pale nikahisi kama ubaridi wa chupa ya coca cola shingoni mwangu!


“Usigeuke nyuma” Sauti ilisema


“Ingia uendeshe gari” Sauti iliongeza

Nilifanya kama nilivyoagizwa, alihakikisha nimekaa, kutokea hapa sasa nikaiona vizuri bastola yake aina ya Sig Sauer(1911 Ultra-Compact Sleek design combined with stopping power)

. Akiwa amesimama dirishani nduli huyu nilihisi ubaridi mwingine sikio la kushoto kwangu, huku niki kaa kwenye usukani, wapili kumbe alikuwa siti ya nyuma Kwa dereva na alisisitiza:

“Endesha, geti liko wazi toka chukua njia ya Cocacola kuelekea Mwenge alisema” Nilifanya kama nilivyo agizwa, mdogo kama piritoni!! Usinicheke! Bali nisikitikie, ndio kazi zetu, roho mkononi

EEh Mungu wangu unisaidie nilijiwazia '
Tulianza kuiacha Kiputu Towers maeneo ya JKT Head Quarters Mlalakuwa Kawe.
Sasa akili yangu ilianza kujipanga kwa kasi ya ajabu, aliyenipokea kuwa nyuma alikuwa na bastola aina ya Springfield Armory® XD® MOD.2™ 9mm 3" zote zakisasa zenye ufanisi wa Hali ya juu'
Hawa walikuwa ni watu gani??? Walizitoa wapi taarifa za kikao hiki? Walinzi wa geti kuu la kuingilia wako wapi? na security camera mbona hazikutoa alarm?
Hasira Kali za kishetani zilianza kunipanda...miongoni mwetu Kuna watu sio wenzetu!!!!!
Ndani ya dakika 15 baada ya hayo yaliyojiri, Kikao kiliendelea, kilisha chukua karibu masaa 13, ilikuwa saa nne za usiku. Waandishi waliandika, laptop na computer ukumbini mpaka zilichoka…umeme ulikatika na genereta kuwashwa, hatimaye ukarudi kikao kikaendelea!Watu walikula, walikunywa vinywaji: juisii, kahawa kwa maji na bites, na vingine vinywaji vya nguvu! Pombe tu ndio haikuonekana hapa! Na walevi utawajua, walikuwa wamenuna ile mbaya! Mijadala na hoja mpya ziliibuka, zingine kufutwa, ama kuungamanishwa katika hoja kuu. Kuna Mdada aliitwa Mukamatara Gahigi kutoka Rwanda, alileta mpambano mkubwa na Mirondo, aliposema kwenye mjadala kuhusu maadili na Taasisi ya Ndoa, alisema


“ Ndoa sasa sio kama zamani, suala la ndoa za Jinsia moja liko mezani, huwezi kulikana tu hivi hivi, ukidai Ni kinyume cha mila na desturi za Kiafrica’ Sasa tunafahamu mamabo haya yalikuwepo tangu enzi, lakni yalifichwa, kama mengine mengi”

Mirondo huyu kweli alikuwa Pan Africanist Mganda huyu akasema:


“Msianze kutuletea ujinga wa Ulaya hapa! Kutuambia mavi ni usafi, ama mikojo ni maji! Hatutaki’ waga mnaanza hivi kisha mkimaliza mnakuja kusema, mabinti walale na baba zao, na vijana wawapande mama zao, hata kama yalikuwepo, hatuwezi kurasimisha!” Yatakaa hivyo hivyo, kama babu zetu walivyo shughulika nayo”


Kauli hii ilimuuma Mukamatara, amabaye alikuwa shushushu Mtoto wa Bwana Gahigi Balozi wa Rwanda nchini Africa kusini, walikuwa wamekaa meza moja, jazba zilimkosesha fikra na ghafla alifyatua ngumi kali iliyolenga jicho la Mirondo, Mirondo ambaye hakulitegemea hili akijaribu kuepa ikamfika kidevuni! Mukamatara alisha simama na kumkaba kooni, Hapa Halima Himidi aliye kuwa pembeni yake aliukamata mkono wa Muka na kuupinda kijudo, alitoa ukulele Dada huyu na kulala chini!

Kana kwamba hakuna kilichotokea kikao kiliendelea watu wote kimya!

Enzi mwongoza mada Pembeni ya X, Alisema mjadala huo wa Ndoa, umewekwa katika ghala B kwa ajili ya follow up. Kikao kikaendelea.

Kilichofuata lilikuwa pendekezo La kustawisha Kanda za kwa mujibu wa ghafi zinazo patikana.

Ilisemwa kwamba

i. Maeneo yenye vyanzo maji kama maziwa na bahari, yajikite kwenye viwanda vya kustawisha mazao husika , yaani, kuuza na kusindika samaki

ii. Maeneo yenye Mbuga, kujikita kwenye utalii kwa ustawi na maisha bora ya mikoa husika

iii. Maeneo yenye madini vivyo hivyo

iv. Ikasemwa mfumo wa Elimu yetu usukwe upya ukizingatia asili zetu, na hulka za watu/ makabila’ Mfano kuna baadhi ya makabila wana vipaji vya ufundi, basi taasisi na vyuo vya kiufundi vijengwe kwenye mikoa yao, sambamba na elimu ya kisasa, vivyo hivyo elimu ya jadi, kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu

v. Kufufuliwa upya Mahekalu ya ibada asilia.
******************""""""""&************
Wakati haya yanaendelea aliingia mdada kutoka mapokezi kama alivyodai, na kusema anaomba Koti la Enoki Mwaizile, akidai yuko chini nje kuna itifaki anakamilisha,

Enzi alimkata jicho lenye shaka, na kumhoji mbona sikukuona asubuhi?

Akajibu Nimekuja baadae, Akitoa vitambulisho vyake’

Ikumbukwe kuwa Tangu alipotoka nje Enoki ilipita takribani dakika 20, sema jinsi kikao kilivyokuwa bize, watu hawakutilia maanani!

Enzi alimwambia akachukue koti, alifanya hivyo binti na kuanza kutoka. Mara hiyo Enzi alikumbuka Intel –Pad yake, amabapo wanamtandao wa usalma wenye clearance ikulu waliwasiliana moja kwa moja’

Alisema samahani ndugu wajumbe, najaribu kuwasiliana na Enoki, nifahamu nini kinaendelea, aliinamisha kichwa chake tena na kutazama Intel Pad yake, na kukutana na ishara X NYEKUNDU

***********************************************************************8

Kumbe awali umeme ulipokatika awali, Cruizer Jeusi lilitua kwa nje ya ukuta wa Jengo la Kiputu mwali, Likiwa linasindikizwa na mdada aliyeendesha bonge la pikipiki Jeusi kwa mwendo wa silensa, , giza kimetapakaa, watu 8walishuka wakiwa wamevalia nguo za mpira zilizo wabana miili, na kufunika mpaka nyuso kubakiza macho. Wakiwa na vifaa maalumu walizizima Camera zote zilizo zunguka jingo, kwa kuzikata nyaya kuu. Kisha waliingia ndani na kwenda kwenye security room, hapo waliwapulizia wana uslama wawili aiana ya perfume, nao wakadodoka na kupoteza fahamu palepale. Waliingia mapokezi na kufanya vivyo hivyo, kisha wakamwacha mwenzao mmoja aliyechukua vitambulisho vya receptionist aliye zimika, Hapa reception pia kulikuwa na kabati lililokuwa na mawasiliano yote ya kie electroniki ya jingo zima. Mmoja wapo wawavamizi hawa alifungu na kuanza ku intercept mawasiliano yote akiwa na ki brief case kilichokuwa na screen, baada ya sekunde chache waliweza kuona na kusikia kila kilichokuwa inaendelea ukumbi wa mikutano. Walichokuwa wanakitafuta ilikuwa ni hard disk ya Enoki Mwaizile iliyokuwa na Blue print ya zoezi zima, walikuwa na utaalamu wa hali ya juu. Walifanya zoezi lao ndani ya dk 15 tu, na kumtumia ujumbe wa uongo Enzi kupitia simu yake ya mkono, aliye mforwadia Enoki kwenda kumpokea Mjube aliye chelewa Thomas Wandiba. Mara baada ya kumkamata Enoki hawakupata walichotaka na hivyokumtuma mwenzao wa kike kurudia koti la Enoki, aliyefanikiwa kufanya hivyo na sasa alikuwa anaondoka.

*********************************************8

Chini huku Mungu si Athumani, Thomas nae anafika, njiani akiwa amepishana na Land cruiser Jeusi likiongozana na Volvo Blue ya Enoki, Thomas akadhani labda kikao kimekwisha, alipofika getini nje kuna piki piki kubwa Jeusi 'anaikuta geti liko wazi, limeegeshwa, na Mwanga hafifu, akshangaa hii sio kawaida. Kwenye chumba cha walinzi anakuta watu hawana fahamu! Masalalee, nini kimetokea!!!Anachukua Intel pad yake na Kubofya kitufe cha wana mtandao na kutangaza hali ya Hatari! Anachomoa bastola yake na kuanza kuelekea mlangoni, ambapo anakutana na Bibiye kabeba koti anatoka, bibiye ana stuka na kuipiga teke bastola, ikifuatiwa na ngumi kali chini ya taya la Thomas! Thomas anayumba na kuweweseka, lakini anajiweka sawa, na kuachia ngumi tano fupifupi, zenye mkandamizo wa hali ya juu, dada anachuchumaa chini, nakuushika mguu wa Thomas, huku koti likiwa limedondoka chini, Thomas anainama kidogo akitafuta balance, Bi Dada anaukamata mkono wakulia wa Thomas na Kuupinda ki Jiujitsu, Thomas anagumia kwa uchungu, lakini anabinuka sawa sawa na mkono wake ili ukae sawa usivunjike, na kupata balance, kisha anashusha ngumi nyingine tatu tu kwenye shingo ya bibiye, ambaye anapoteza fahamu.,,,!
 
INAENDELEA:

TABASAMU LA BUNDI
Jaja-Kah Tunti Ani Gwa Upobu


Wakati huu nilipata ujumbe kutoka katika intel-pad yangu, ambacho ni kifaa maalumu cha Kiofisi kupokea na kutoa taarifa za kazi. Nilifanya mawasiliano mrejesho, kisha niliwajibika kutoka kikaoni. Nilidandia lifti na kushuka mpaka chini. Nilielekea kwenye Car parking, Hatua tano kabla ya kufika mraba wa saba ilikokuwa imepakiwa gari yangu, nywele zina nisimama nikihisi hali ya hatari! Napapasa kiunoni mwangu: Lahaula Koti na Bastola yangu nimeacha Juu Horofani kiuzembe kabisa! Kwani sikutegemea chochote, zaidi ya tahadhari kutoka Intel –Pad yangu, wakati haya yote yakiendelea kichwani mwangu, siku onyesha ishara yoyote wala kusita! Niliendelea moja kwa moja kuelekea kwenye gari yangu aina ya Volvo 740 turbo blue. Kulikuwa na mwangaza hafifu, cha kwanza nilichoshangaa, nilifikia gari na kufungua mlango wa dereva, pale pale nikahisi kama ubaridi wa chupa ya coca cola shingoni mwangu!


“Usigeuke nyuma” Sauti ilisema


“Ingia uendeshe gari” Sauti iliongeza

Nilifanya kama nilivyoagizwa, alihakikisha nimekaa, kutokea hapa sasa nikaiona vizuri bastola yake aina ya Sig Sauer(1911 Ultra-Compact Sleek design combined with stopping power)

. Akiwa amesimama dirishani nduli huyu nilihisi ubaridi mwingine sikio la kushoto kwangu, huku niki kaa kwenye usukani, wapili kumbe alikuwa siti ya nyuma Kwa dereva na alisisitiza:

“Endesha, geti liko wazi toka chukua njia ya Cocacola kuelekea Mwenge alisema” Nilifanya kama nilivyo agizwa, mdogo kama piritoni!! Usinicheke! Bali nisikitikie, ndio kazi zetu, roho mkononi

EEh Mungu wangu unisaidie nilijiwazia '
Tulianza kuiacha Kiputu Towers maeneo ya JKT Head Quarters Mlalakuwa Kawe.
Sasa akili yangu ilianza kujipanga kwa kasi ya ajabu, aliyenipokea kuwa nyuma alikuwa na bastola aina ya Springfield Armory® XD® MOD.2™ 9mm 3" zote zakisasa zenye ufanisi wa Hali ya juu'
Hawa walikuwa ni watu gani??? Walizitoa wapi taarifa za kikao hiki? Walinzi wa geti kuu la kuingilia wako wapi? na security camera mbona hazikutoa alarm?
Hasira Kali za kishetani zilianza kunipanda...miongoni mwetu Kuna watu sio wenzetu!!!!!
Ndani ya dakika 15 baada ya hayo yaliyojiri, Kikao kiliendelea, kilisha chukua karibu masaa 13, ilikuwa saa nne za usiku. Waandishi waliandika, laptop na computer ukumbini mpaka zilichoka…umeme ulikatika na genereta kuwashwa, hatimaye ukarudi kikao kikaendelea!Watu walikula, walikunywa vinywaji: juisii, kahawa kwa maji na bites, na vingine vinywaji vya nguvu! Pombe tu ndio haikuonekana hapa! Na walevi utawajua, walikuwa wamenuna ile mbaya! Mijadala na hoja mpya ziliibuka, zingine kufutwa, ama kuungamanishwa katika hoja kuu. Kuna Mdada aliitwa Mukamatara Gahigi kutoka Rwanda, alileta mpambano mkubwa na Mirondo, aliposema kwenye mjadala kuhusu maadili na Taasisi ya Ndoa, alisema


“ Ndoa sasa sio kama zamani, suala la ndoa za Jinsia moja liko mezani, huwezi kulikana tu hivi hivi, ukidai Ni kinyume cha mila na desturi za Kiafrica’ Sasa tunafahamu mamabo haya yalikuwepo tangu enzi, lakni yalifichwa, kama mengine mengi”

Mirondo huyu kweli alikuwa Pan Africanist Mganda huyu akasema:


“Msianze kutuletea ujinga wa Ulaya hapa! Kutuambia mavi ni usafi, ama mikojo ni maji! Hatutaki’ waga mnaanza hivi kisha mkimaliza mnakuja kusema, mabinti walale na baba zao, na vijana wawapande mama zao, hata kama yalikuwepo, hatuwezi kurasimisha!” Yatakaa hivyo hivyo, kama babu zetu walivyo shughulika nayo”


Kauli hii ilimuuma Mukamatara, amabaye alikuwa shushushu Mtoto wa Bwana Gahigi Balozi wa Rwanda nchini Africa kusini, walikuwa wamekaa meza moja, jazba zilimkosesha fikra na ghafla alifyatua ngumi kali iliyolenga jicho la Mirondo, Mirondo ambaye hakulitegemea hili akijaribu kuepa ikamfika kidevuni! Mukamatara alisha simama na kumkaba kooni, Hapa Halima Himidi aliye kuwa pembeni yake aliukamata mkono wa Muka na kuupinda kijudo, alitoa ukulele Dada huyu na kulala chini!

Kana kwamba hakuna kilichotokea kikao kiliendelea watu wote kimya!

Enzi mwongoza mada Pembeni ya X, Alisema mjadala huo wa Ndoa, umewekwa katika ghala B kwa ajili ya follow up. Kikao kikaendelea.

Kilichofuata lilikuwa pendekezo La kustawisha Kanda za kwa mujibu wa ghafi zinazo patikana.

Ilisemwa kwamba

i. Maeneo yenye vyanzo maji kama maziwa na bahari, yajikite kwenye viwanda vya kustawisha mazao husika , yaani, kuuza na kusindika samaki

ii. Maeneo yenye Mbuga, kujikita kwenye utalii kwa ustawi na maisha bora ya mikoa husika

iii. Maeneo yenye madini vivyo hivyo

iv. Ikasemwa mfumo wa Elimu yetu usukwe upya ukizingatia asili zetu, na hulka za watu/ makabila’ Mfano kuna baadhi ya makabila wana vipaji vya ufundi, basi taasisi na vyuo vya kiufundi vijengwe kwenye mikoa yao, sambamba na elimu ya kisasa, vivyo hivyo elimu ya jadi, kuanzia chekechea hadi vyuo vikuu

v. Kufufuliwa upya Mahekalu ya ibada asilia.
******************""""""""&************
Wakati haya yanaendelea aliingia mdada kutoka mapokezi kama alivyodai, na kusema anaomba Koti la Enoki Mwaizile, akidai yuko chini nje kuna itifaki anakamilisha,

Enzi alimkata jicho lenye shaka, na kumhoji mbona sikukuona asubuhi?

Akajibu Nimekuja baadae, Akitoa vitambulisho vyake’

Ikumbukwe kuwa Tangu alipotoka nje Enoki ilipita takribani dakika 20, sema jinsi kikao kilivyokuwa bize, watu hawakutilia maanani!

Enzi alimwambia akachukue koti, alifanya hivyo binti na kuanza kutoka. Mara hiyo Enzi alikumbuka Intel –Pad yake, amabapo wanamtandao wa usalma wenye clearance ikulu waliwasiliana moja kwa moja’

Alisema samahani ndugu wajumbe, najaribu kuwasiliana na Enoki, nifahamu nini kinaendelea, aliinamisha kichwa chake tena na kutazama Intel Pad yake, na kukutana na ishara X NYEKUNDU

***********************************************************************8

Kumbe awali umeme ulipokatika awali, Cruizer Jeusi lilitua kwa nje ya ukuta wa Jengo la Kiputu mwali, Likiwa linasindikizwa na mdada aliyeendesha bonge la pikipiki Jeusi kwa mwendo wa silensa, , giza kimetapakaa, watu 8walishuka wakiwa wamevalia nguo za mpira zilizo wabana miili, na kufunika mpaka nyuso kubakiza macho. Wakiwa na vifaa maalumu walizizima Camera zote zilizo zunguka jingo, kwa kuzikata nyaya kuu. Kisha waliingia ndani na kwenda kwenye security room, hapo waliwapulizia wana uslama wawili aiana ya perfume, nao wakadodoka na kupoteza fahamu palepale. Waliingia mapokezi na kufanya vivyo hivyo, kisha wakamwacha mwenzao mmoja aliyechukua vitambulisho vya receptionist aliye zimika, Hapa reception pia kulikuwa na kabati lililokuwa na mawasiliano yote ya kie electroniki ya jingo zima. Mmoja wapo wawavamizi hawa alifungu na kuanza ku intercept mawasiliano yote akiwa na ki brief case kilichokuwa na screen, baada ya sekunde chache waliweza kuona na kusikia kila kilichokuwa inaendelea ukumbi wa mikutano. Walichokuwa wanakitafuta ilikuwa ni hard disk ya Enoki Mwaizile iliyokuwa na Blue print ya zoezi zima, walikuwa na utaalamu wa hali ya juu. Walifanya zoezi lao ndani ya dk 15 tu, na kumtumia ujumbe wa uongo Enzi kupitia simu yake ya mkono, aliye mforwadia Enoki kwenda kumpokea Mjube aliye chelewa Thomas Wandiba. Mara baada ya kumkamata Enoki hawakupata walichotaka na hivyokumtuma mwenzao wa kike kurudia koti la Enoki, aliyefanikiwa kufanya hivyo na sasa alikuwa anaondoka.

*********************************************8

Chini huku Mungu si Athumani, Thoms nae anafika, njiani akiwa amepisha na Land cruiser Jeusi likiongozana na Volvo Blue ya Enoki, Thomas akadhani labda kikao kimekwisha, alipofika getini nje kuna piki piki kubwa Jeusi alaikuta geti liko wazi, limeegeshwa, na Mwanga hafifu, akshangaa hii sio kawaida. Kwenye chumba cha walizi anakuta watu hawana fahamu! Masalalee, nini kimetokea!!!Anachukua Intel pad yake na Kubofya kitufe cha wana mtandao na kutangaza hali ya Hatari! Anachomoa bastola yake na kuanza kuelekea mlangoni, ambapo anakutana na Bibiye kabeba koti anatoka, bibiye ana stuka na kuipiga teke bastola, ikifuatiwa na ngumi kali chini ya taya la Thomas! Thomas anayumba na kuweweseka, lakini anajiweka sawa, na kuachia ngumi tanoo fupifupi, zenye mkandamizo wa hali ya juu, dada anachuchuma chini, nakuushika mguu wa Thomas, huku koti likiwa limedondoka chini, Thomas anainama kidogo akitafuta balance, Bi Dada anaukamata mkono wakulia wa Thomas na Kuupinda ki Jiujitsu, Thomas anagumia kwa uchungu, lakini anabinuka sawa sawa na mkono wake ili ukae sawa usivunjike, na kupata balance, kisha anashusha ngumi nyingine tatu tu kwenye shingo ya bibiye, ambaye anapoteza fahamu.,,,!
nilikuwa naiskia hii stori...du, kaka ncha, unatisha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom