Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa ze2 zitapona kwakweli..
<br />Hii itakuwa thread niipendao <br />
Kupita kiasi
mwenye kujua namna ya kupika vyakula chukuchuku vya aina mbalimbali atujuze wapendwa
watakuwa wametusaidia hasaa...maana wengine ni mwendo wa chukuchuku tu kinyume chake tunavimbiwa mno!Ngoja niwaite Gaga, Mbu na King'asti... hao ndio wataalam wa Chuku chuku...
watakuwa wametusaidia hasaa...maana wengine ni mwendo wa chukuchuku tu kinyume chake tunavimbiwa mno!
ntashukuru mpendwa!Nitahakikisha na deliver the message... Usijali dear...
Ngoja niwaite Gaga, Mbu na King'asti... hao ndio wataalam wa Chuku chuku...
lol! wifi kwa ruksa yako ntaanza na chukuchuku ya kmoto (sweetie wako akipita mitaa hii huwa anadusa,na mie huwa napika kwa siri kakako akiwa hayupo,lol. shurti bigijii pakiti nzima!)