LAT kawaida yangu hua sipimi ingredients, ngoja kesho ntapika nipime alafu ntakwandikia nikuambatanishie na picha kabisa.
great
awaiting for your delicious mushroom recipe and hope it to be branded "Lizzy mushroom stew" ha ha haa
LAT kawaida yangu hua sipimi ingredients, ngoja kesho ntapika nipime alafu ntakwandikia nikuambatanishie na picha kabisa.
Sijui kuna member Ana recipe ya samaki wa foil ? Please share au ni inbox asante
Nsiande unataka ladha iwe simple au spicey?
Na samaki unaotaka kuoka ni wakubwa au wadogo? Niambie ili maelezo yangu yaendane na mahitaji yako.
@LAT. . pole kwa kusubiri bana, recipe yako nimeshaiandaa sema nataka niweke nikiwa na pc ili niweze kuweka na picha vizuri. Jumatatu ndo ntaweka.
Nsiande unataka ladha iwe simple au spicey?
Na samaki unaotaka kuoka ni wakubwa au wadogo? Niambie ili maelezo yangu yaendane na mahitaji yako.
@LAT. . pole kwa kusubiri bana, recipe yako nimeshaiandaa sema nataka niweke nikiwa na pc ili niweze kuweka na picha vizuri. Jumatatu ndo ntaweka.
Nadhani ukitafuta kwenye hii thread, unaweza kuona mapishi ya biriani.Mi napenda wali(biriliani)ila sijui kupika naomba mnielekeze tafadhari
Iwa mwema
Wakatabahu
Adharusi
Asante kwa recipe, do you like cooking?
I like it I think more than anything in this world.
Lucky you.
Itabidi niwe najichanganya na watu wanaopenda kupika japo na mie nitakuwa interested.
itabidi nihamie kwako kama mambo yenyewe ndo haya...weye wapika mie nala au wasemaje?
wamezea mate nini sasa nnavyotafuna au?Dah! itakuwa poa sana mimi mpishi nikikuangalia ukifaidi huku nikibaki8 namezea mate tu.
wamezea mate nini sasa nnavyotafuna au?
mwe haya si mapishi tena....Hapana ni jinsi unavyonyonya kwa hisia.