Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
- Thread starter
- #21
Hakuwepo mkuu. Kama amekuwa na ujasiri wa kulisemea hili tumuunge mkono.Kwani kipindi inapitishwa huyo Mbunge aliyeongea hayo hakuwepo?
Hakuwepo mkuu. Kama amekuwa na ujasiri wa kulisemea hili tumuunge mkono.Kwani kipindi inapitishwa huyo Mbunge aliyeongea hayo hakuwepo?
Money laundering ndo mbaya kabisa,,inatumika kuwakomoa watuKwa Tanzania sasa ukikamatwa na kosa la kutokutoa au kutopokea risiti ya EFD Machine wewe unaweza kutupwa ndani kwa kosa la kuhujumu uchumi...
Kwani ndicho walichopitisha? Acha kutukana wanzako; na utakufa bila kufika bungeni hata kwa ziara binafsi wacha utalii wa ndaniJinga kabisa siku wanapitisha si alikuwepo leo analalamika nini?
Bashiru na Polepole wapo Bungeni nadhani wamemsikia,watalifanyia kazi!Afukuzwe kwenye Chama
Watu wengine wao wako programmed kutukana tu, huyo dada ndio kwanza anaingia Bungeni kwa muhula wa kwanza.Kwani ndicho walichopitisha? Acha kutukana wanzako; na utakufa bila kufika bungeni hata kwa ziara binafsi wacha utalii wa ndani
Mkuu sijui kama watakuelewa na umesema vizuri kabisa wako PROGRAMMED kiasi kwamba hata ukiwambia karibu chakula watakutukana.Watu wengine wao wako programmed kutukana tu, huyo dada ndio kwanza anaingia bungeni kwa muhula wa kwanza.
Kwa mchango wa aina hiyo anaipa hadhi nafasi ya vitu maalum, if only wote wangekuwa wanaingia kwa uwezo huo.
Ni shidaMkuu sijui kama watakuelewa na umesema vizuri kabisa wako PROGRAMMED kiasi kwamba hata ukiwambia karibu chakula watakutukana.
Hata kama angekuwepo asingeweza kuyasema hayo mbele ya utawala wa Mwendazake.Na hilo umeshindwa kulitambua?Kwani kipindi inapitishwa huyo Mbunge aliyeongea hayo hakuwepo?
Yaani hii ndio kiboko cha kuwatundika wasiowapenda na wale wanaoonekana kuwa wasumbufuMoney laundering ndo mbaya kabisa,,inatumika kuwakomoa watu
Huyu Mbunge wenda ni akili kubwa kati ya Wabunge walio Bungeni, achana na wale kanisa la kukufua WATU, kiroho namuona ni mtu makini SanaTulipata mapokeo ya Sheria ya uhujumu uchumi bila kuangalia mazingira yetu, sasa inatumika kupora wala mali na Uhuru wao kwa kuondoa dhamana.
Kosa la uhujumu uchumi limerahisishwa sana na nchini ili kuwezesha kuumiza watu kisha tunawashinikiza kukubali makosa.
Usisahahau na MEDIA SERVICES LAW, ile inayohusu blogs, youtube, websites na mengine ya kimtandao. Adhabu yake haipishani sana na ya uhujumu uchumi. Ndio hio ilitaka kuiondoa JF hewani, Maxence Melo kapigana nayo sana hiyo kesi. Hii sheria ni mbovu sanaEneo la haraka sana la Mama Samia kuliangalia ni hili la (sheria ya) uhujumu uchumi! Kati ya sheria mbovu kabisa kuwahi kutungwa ni hii!
Good thinkingTulipata mapokeo ya Sheria ya uhujumu uchumi bila kuangalia mazingira yetu, sasa inatumika kupora wala mali na Uhuru wao kwa kuondoa dhamana.
Kosa la uhujumu uchumi limerahisishwa sana na nchini ili kuwezesha kuumiza watu kisha tunawashinikiza kukubali makosa.
Aaah hapana mkuu ila wanasiasa wanashangaza sana, ila tusiwalaumu sana maana huenda ukiwa kwenye nafasi alonayo ukafanya afanyayo.Hata kama angekuwepo asingeweza kuyasema hayo mbele ya utawala wa Mwendazake.Na hilo umeshindwa kulitambua?