Kama wahusika wanatumia Biblia, basi siyo lazima itakuwa siyo biblia hii tunayoijua wote. Kwa sababu biblia ninayoijua hata mimi inasema "Walakini, habari za siku ile na saa ile hakuna ajuaye, HATA MALAIKAWALIO MBINGUNI wala Mwana ila BABA PEKE YAKE"! [Mathayo 24:36]
Sasa hawa jama zangu habari za mwisho wa dunia wa tarehe 21 mei 2011 wanazipata wapi? Yesu anayeuwakilisha uKristo ndiyo aliyeyasema haya, sasa hawa jamaa zangu habari za Mungu wanawakilishwa na nani? Au wanadhani Mungu anaweza kufanyiwa utafiti kama mambo ya kisayansi tu?
Ninaamini kuwa tarehe 21 itapita na hakuna lolote litakalotokea, kitakachotekea ni aibu tu kwa hao walioleta unabii huo na pia watajulikana kuwa ni manabii wa uwongo kama biblia yenyewe inenavyo katika Mathayo 24:4-5; Yesu akajibu akawaambia, [yale waliyotaka kuyajua wanafunzi wake kuhusiana na mwisho wa dunia]Angalieni, mtu asiwadanganye. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ni Kristo; nao watawadanganya wengi. Unaona!
Kwa ujumla hizi ni nyakati za mwisho, na hizo habari za akina 21 mei ni dalili mojawapo. Msingi wa uhakika wa habari hizi ni Mathayo 24:36 zaidi ya hapo ni uwongo!
Asante, nimeingia bila hodi; naomba mnikubali nyumbani mwenu, huko nje kuna watu wanakera wanasema habari za kuwatisha watu, nimekasirika nimejikuta nimeingia mpaka ndani bila hodi ili niwajuvya uwongo huo wa mchana kweupe.
uwongo ukisemwa sana hugeuka kuwa ukweli
Naona hiyo siku atauliwa gadafi na babu halafu yatatimia. Si vibaya kushuhdia mwisho wa dunia tena bila umeme wa tanesco!tena mmemuua osama bin ladeni? lazima iwe mwisho wa dunia kwa kweli...!!:A S 103:
...signifying the coming Doomsday on May 21....
m_kishuri don't worry, ntakupigia simu 22nd May tukutane!...Please! please! transfer all your property and possessions to me before hiyo siku.....
Crazy church peoples who still believe Jesus is the Son of God. Nonesense
Achana naye huyo. Unapoteza muda wako bure. Yeye anaamini Muhamadi ndiye mtume wa mwisho.naona ww unavamia wala huji maandiko yanasemaje. yesu ni mwana wa Mungu biblia inaandika hivo na pia yesu ni Mungu.Soma Injili ya Yohana 1:1 au soma Isaya nk sitaki kungia deep kuanza kukufundisha biblia hapa we baki na imani yako na ujue unashangaza sana kwa ulichoandika.Jina lako haliendani na mawazo yako.
Mwanzoni nilikua na taarifa kuhusu mwisho wa dunia ni December 21,2012 na leo tena nimeona 2012 sio tena na sasa bado siku 2 yani ni may 21, 2011--Jama wataalamu wa sayansi munatuambiaje kwa hili?---Mimi imani yangu ipo pale pale (Only Allah(S.W) know end of the day).
Angalieni hii habari: Family Radio Swahili - Kiswahili
Mwanzoni nilikua na taarifa kuhusu mwisho wa dunia ni December 21,2012 na leo tena nimeona 2012 sio tena na sasa bado siku 2 yani ni may 21, 2011--Jama wataalamu wa sayansi munatuambiaje kwa hili?---Mimi imani yangu ipo pale pale (Only Allah(S.W) know end of the day).
Angalieni hii habari: Family Radio Swahili - Kiswahili
Mwanzoni nilikua na taarifa kuhusu mwisho wa dunia ni December 21,2012 na leo tena nimeona 2012 sio tena na sasa bado siku 2 yani ni may 21, 2011--Jama wataalamu wa sayansi munatuambiaje kwa hili?---Mimi imani yangu ipo pale pale (Only Allah(S.W) know end of the day).
Angalieni hii habari: Family Radio Swahili - Kiswahili