William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,363
Yale yale tu, wa-Tanzania tunampa marupu rupu makubwa sana WArioba ya u-former PM, at this time tungetegemea awe anafanya kazi za kujitolea kwa taifa kwa sababu bado tunamlipia mpaka kufa kwake kila kitu katika maisha yake,
Lakini hiii tamaa isiyokwisha wala kuwa na mipaka, alyways wanting more, wanaishia mpaka kujiabisha kwa kujiepndekeza pendeka kwa mtandao na muungwana, hivi unakumbuka hotuba ya warioba kwenye TV zetu bongo baada ya uchaguzi wa rais uliopita?
Warioba alitakiwa saa hizi atoe huduma bure kama ni za sheria, au za siasa kwa taifa na hasa wananchi, hawa viongozi wetu wapunguze tamaa, kwenye hizo hisa Warioba anatafuta nini hasa kama sio greedy?
Lakini hiii tamaa isiyokwisha wala kuwa na mipaka, alyways wanting more, wanaishia mpaka kujiabisha kwa kujiepndekeza pendeka kwa mtandao na muungwana, hivi unakumbuka hotuba ya warioba kwenye TV zetu bongo baada ya uchaguzi wa rais uliopita?
Warioba alitakiwa saa hizi atoe huduma bure kama ni za sheria, au za siasa kwa taifa na hasa wananchi, hawa viongozi wetu wapunguze tamaa, kwenye hizo hisa Warioba anatafuta nini hasa kama sio greedy?