Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,560
Huyu kifulambute tu hajui alif wala be.Ni Kama huyu tunaye eti anapigana dhidi ya rushwa Na ufisadi
Warioba policy wonk Attorney General pekee aliyemchachafya Nyerere.
Day and night.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kifulambute tu hajui alif wala be.Ni Kama huyu tunaye eti anapigana dhidi ya rushwa Na ufisadi
Hakuna atayepona kwa mkono wa ngosha9 years later.....
Grave diggers kazini.
Ohoooo-oh! watasema unataka kufanya hewa iwe kama ya maliwatoni!Kigoma asante kwa habari ulizotupa,kumbe ni member wa bodi ya TTCL pia?
so far yeye ni au alikuwa
1.Mjumbe wa Mwananchi Gold Minning
2.Mjumbe wa TTCL akiwakilisha Celtel ina maana ana hisa TTCL(kwa upeo wangu ninahisi kuna fact hapa)
Swali ambalo nitaka kujua ambalo ninahisi kumekuwa na uzugujai mkubwa sana kwa watanzania,Je ni nani alikuwa Mwenyekiti wa ile Tume ya Rushwa aliyounda Mkapa?
tukitoka hapa tunaenda kurudisha nyumba za serikali zilizoibiwa..haponi mtu safari hii..Hakuna atayepona kwa mkono wa ngosha
Hakuna atayepona kwa mkono wa ngosha
A man will be as honest as he is required to be. Hata mtu muadilifu mwenye nyumba Dar, ukimwambia kuna malipo mazuri ya kisheria kupanga nyumba Dar bila hata kumuuliza kama anahitaji nyumba Dar, unamkwaza.
Wewe unayempa hiyo offer unamuweka katika mtihani unaomtaka awe kama malaika wakati yeye ni mtu tu.
Tunapopiga vita rushwa, tuweke mifumo inayolazimisha watu kutochukua rushwa. Si mifumo inayolazimisha watu wachukue rushwa, halafu tutegemee watu wakatae rushwa.
Nimwmecheka kwa sauti mpaka watu wanashangaa, yaani mtu anataka kumtaja mwizi anaambiwa aandike barua, watia majambazi wanalazimishwaNdo maana Rugemalila anataka kumtaja mwizi jaji anasema aandike barua ya maombi kupitia kwa wakili wake. Yaani maombi ya kumtaja mwizi hapo unaweza kukubaliwa au kukataliwa. Polisi wakishika jambazi wanaliminya pu,,,mb litaje majambazi wenzake sasa Ruge anaomba kutaja mwizi!
Pole mkuu naona umeongea kwa uchungu sana.Halafu kwenye hotuba zao utawasikia. Naanza kwa kutanguliza shukran zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu mwingi rahema... Huku kea siku una lamba million 400, unalipwa Na kutunzwa Hadi kufa Na hell ya walipa Kodi. Wengine Hadi migodi wajigawia. Wengine Hadi nyumba za serikali wameonga halafu wanaona poa tu Hadi rambirambi wamepiga isitoshe bill mshipa wa aibu wanajenga international airport kijijini kwao. Tukipaza sauti kuhoji tunaitwa malofa nakusswekwa kwenye salfet cocobeach.
The problem Karma takes too long
Warioba..shujaa wa katiba mpyaKwa jinsi watanzania tulivyo sitashangaa kabisa kusikia warioba anahusika kwenye mascandal mengi mengi tu.
Tunahangaika sana kutafuta mchawi wetu lakii mchawi Mkubwa ni matumbo yetu tu
Kuongelea mtu mmojani sawa. Huwezikuwana nyumba ya matofalibilakuwa na tofali moja.Al watan upo sahihi sana lakin nadhan hukuelewa Msingi wa comment yangu!,
najaribu ku assess uadilifu wa Mtu Mmoja Mmoja sio wa Mfumo , inajulikana kabisa Mfumo wetu ni corrupt Sasa tunakuja to what extent individuals can abstain them selves from corruptions and embezzlement!
Mf. Wewe unakaa kwa Kaka yako au Ndugu yako na huna Mke wala demu lakin Kaka yako kasafiri Halafu Shemeji yako anajilengesha kwako hapo tutapima uadilifu wako wa kujizuia kwako kupiga bila ya kuhoji Kwanini Kaka yako kakuacha na Shemeji yako akijua huna Mke na Una mahitaji ya kimwili au kuhoji Kwanini Shemeji kajilengesha!
uadilifu ni pamoja na kujizuia na pato haramu bila ya kuangalia mahitaji binafsi Kwa hiyo kuchukua Malipo ya pango kwa style niliyo taja ni ukosefu wa uadilifu bila ya kujali dhamira ya mtoaji