Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 156
Wakuu,
Nina swali,Je Jaji warioba ana hisa katika Kampuni ya Celtel? There is a story I have here mpaka naanza kuogopa.
Inasemekana alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kuwa wajumbe wa Bodi ya Kampuni ya Celtel na ninajaribu kujua alikuwa akiiwakilisha serikali au na yeye ni mwana hisa?
Ukikumbuka, kampuni ya Celtel haikuwahi kutumia pesa yake kuanzisha kampuni hiyo ambayo hivi karibuni itabadili jina na kuitwa Zain.
Mie nataka kujua kuhusu hili.
Connecting to the dots...
Nina swali,Je Jaji warioba ana hisa katika Kampuni ya Celtel? There is a story I have here mpaka naanza kuogopa.
Inasemekana alikuwa ni mmoja wa watu wa kwanza kuwa wajumbe wa Bodi ya Kampuni ya Celtel na ninajaribu kujua alikuwa akiiwakilisha serikali au na yeye ni mwana hisa?
Ukikumbuka, kampuni ya Celtel haikuwahi kutumia pesa yake kuanzisha kampuni hiyo ambayo hivi karibuni itabadili jina na kuitwa Zain.
Mie nataka kujua kuhusu hili.
Connecting to the dots...