passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,578
- 3,148
Wakuu habari za uzima?
Jua lile literemke mama ni moja ya nyimbo wengi wetu tuliokuwa tukiimba pindi tupo mchakamchaka shule. Hii nyimbo ilikuwa inatupa nguvu na hali mpya siku nyingine inapoanza.
Leo nita share na nyinyi stori ya kaka yangu ni mtoto wa baba mkubwa Na kanizidi umri.
Stori hii ni kwa ajili ya kujifunza na kuongeza hali baina yetu vijana tuendelee kupambana.
Stori yake nataka nianzie akiwa form six.bro alichukua masomo ya economics, sasa kipindi yupo advance ni type ya wale wanafunzi ambao hawaogopi ku question walimu na hata viongozi.
sasa baada ya kupishana na mwalimu wake sababu ya kuhoji kwake akapewa suspension na uongozi wa shule na kipindi hicho walikuwa wanakaribia maandalizi ya mitihani ya form six.
Baada ya kurudi akaanza kutafuta tution na kujisomea, sasa kipindi anaenda tution huko akiwa yupo nje ya shule akakutana na manzi(msichana) wa kinyaturu yeye alikuwa yupo shule za kwenda na kurudi. basi siku zikaenda wakazoeana wakaingia kwenye mahusiano.
suspension aliyopewa ikaisha ikabidi arudi ila akiwa na mzazi, hakumwambia mtu yoyote akarudi shule peke yake, mwalimu mkuu na mwalimu wa nidhamu wakamwambia mbona upo peke yako?akawajibu mama yangu ni mgonjwa baba kasema hawezi kuja.mkuu akasema hii ni kwa ajili ya maisha yako rudi kamlete mzazi.
Bro akarudi lakini alivyorudi hakurudi nyumbani tena akaenda kwa uncle yake. Basi akamwambia uncle wamenirudisha ila mimi nataka sasahiv nirudi three weeks kabla ya pepa. Uncle akaongea pale lakini hakumsikia . Ikabidi atafute mtu apge simu shule awaambie kwamba yeye kalazwa na anaumwa.basi jamaa alijitambulisha kama mjomba ikabidi walimu waitike sababu bro walishamchoka kwa tabia.
Siku zikaenda akiwa anaendelea mahusiano na mtoto wa kinyaturu (ni pisi haswa). Basi wiki tatu kabla ya mtihani alirudi shule akiwa na uncle akiwa na document za hosptal kwamba alikuwa anaumwa ila zilitengenezwa tu. sasa kuna mwalimu wake wa jiografia alikuwa anapingana nae sana. Wapo siku za mwisho wanafanya review ticha akaingia akamwambia Ricky(code sababu anampenda Ricky gervais (american comedian), ticha akasema wewe kama ukifaulu sijui😂. Ricky akasema ticha ikitokea mtihani huu watafaulu watu watatu tanzania mimi nitakuwa kwenye hio tatu bora na nitarudi hapa nikuletee zawadi ya mkanda( walikuwa wanamtania ticha huyo sababu hajawahi badilisha mkanda)
inaendelea hapa chini👇.
Jua lile literemke mama ni moja ya nyimbo wengi wetu tuliokuwa tukiimba pindi tupo mchakamchaka shule. Hii nyimbo ilikuwa inatupa nguvu na hali mpya siku nyingine inapoanza.
Leo nita share na nyinyi stori ya kaka yangu ni mtoto wa baba mkubwa Na kanizidi umri.
Stori hii ni kwa ajili ya kujifunza na kuongeza hali baina yetu vijana tuendelee kupambana.
Stori yake nataka nianzie akiwa form six.bro alichukua masomo ya economics, sasa kipindi yupo advance ni type ya wale wanafunzi ambao hawaogopi ku question walimu na hata viongozi.
sasa baada ya kupishana na mwalimu wake sababu ya kuhoji kwake akapewa suspension na uongozi wa shule na kipindi hicho walikuwa wanakaribia maandalizi ya mitihani ya form six.
Baada ya kurudi akaanza kutafuta tution na kujisomea, sasa kipindi anaenda tution huko akiwa yupo nje ya shule akakutana na manzi(msichana) wa kinyaturu yeye alikuwa yupo shule za kwenda na kurudi. basi siku zikaenda wakazoeana wakaingia kwenye mahusiano.
suspension aliyopewa ikaisha ikabidi arudi ila akiwa na mzazi, hakumwambia mtu yoyote akarudi shule peke yake, mwalimu mkuu na mwalimu wa nidhamu wakamwambia mbona upo peke yako?akawajibu mama yangu ni mgonjwa baba kasema hawezi kuja.mkuu akasema hii ni kwa ajili ya maisha yako rudi kamlete mzazi.
Bro akarudi lakini alivyorudi hakurudi nyumbani tena akaenda kwa uncle yake. Basi akamwambia uncle wamenirudisha ila mimi nataka sasahiv nirudi three weeks kabla ya pepa. Uncle akaongea pale lakini hakumsikia . Ikabidi atafute mtu apge simu shule awaambie kwamba yeye kalazwa na anaumwa.basi jamaa alijitambulisha kama mjomba ikabidi walimu waitike sababu bro walishamchoka kwa tabia.
Siku zikaenda akiwa anaendelea mahusiano na mtoto wa kinyaturu (ni pisi haswa). Basi wiki tatu kabla ya mtihani alirudi shule akiwa na uncle akiwa na document za hosptal kwamba alikuwa anaumwa ila zilitengenezwa tu. sasa kuna mwalimu wake wa jiografia alikuwa anapingana nae sana. Wapo siku za mwisho wanafanya review ticha akaingia akamwambia Ricky(code sababu anampenda Ricky gervais (american comedian), ticha akasema wewe kama ukifaulu sijui😂. Ricky akasema ticha ikitokea mtihani huu watafaulu watu watatu tanzania mimi nitakuwa kwenye hio tatu bora na nitarudi hapa nikuletee zawadi ya mkanda( walikuwa wanamtania ticha huyo sababu hajawahi badilisha mkanda)
inaendelea hapa chini👇.