Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,604
- 4,259
Inawezekana kifungu hakina makosa, labda aliyeandika hapa kwenye jukwaa ndiye aliyekosea transcription...yale yale ya "kafa Manzese mazishi Sinza, mchicha mbichi mpishi mbishi!", unapoyatamka, ni rahisi kuchanganya ulimi kama hauko well composed.Hivi muandishi wa hiki kifungu amedhamiria kuandika kilichoandikwa ama la?
Kimsingi amesema mtu asikamatwe au kupekuliwa na polisi baada ya saa 12.30 jioni na kabla ya saa 12.30 alfajiri ila tu pale kutakapokuwa na ushahidi wa kutosha kwamba kumpekua au kumkamata baada ya saa 12.30 jioni na kabla ya saa 12.30 alfajiri kunaweza kuleta madhara.
Kwa hiyo asipekuliwe wala kukamatwa katika muda huo mpaka pale kutakapokuwa na ushahidi kwamba kutakuwa na madhara, tunatafuta madhara kwa nguvu, nani kaandika utumbo huu?