Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,125
- 8,231
Wakuu,
Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.
Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.
Mtakuja kunishkuru.
Kabla huzuni na majonzi hayajatutoka kufuatia mauaji ya mwanamke mrembo na wa kisasa kuuwawa na mumewe huko Mwanza, mtajwa hapo juu bibie Joyce Kiria anazidi kupigilia 'msumali' na kuwashauri ujinga mabinti zetu na wanawake walio katika unyoofu wa maadili.
Nashauri wanaume mnaojielewa Huyu ni aina ya wanawake wakuwakwepa kama ukoma linapokuja suala la ndoa au mahusiano ya muda mrefu.
Mtakuja kunishkuru.