Mkuu habari za siku nyingi na pole na misukosuko ya maisha Kamanda Henry Kilewo.
Yangu leo ninayo machache sana ya kukuhusia mdogo wangu, si kwamba naingilia maisha yako bali nakutabanaisha hulka tulizokuwa nazo watz wa sasa.
Kamanda Kilewo waswahilo wanasema kosea kujenga nyumba lkn usikosee kuoa mke. Kamanda kwa heshima kubwa nakushauri ufanye review ya ndoa yako na Joyce Kiria dada asiyethamini mwili wake.
Kamanda Kilewo kama makamanda wenzio Freeman Mbowe, Tundu lisu, John Mnyika, G. Lema etc wanakuonea aibu kukuambia ukweli wacha mimi nikueleze. Post za Joyce Kiria katika fb page yake zinanipa conclusion ya kwamba she is not your type hasa kwa kipindi hiki ambacho watz wameweka imani yao kwa CDM kama mkombozi wao wa pili katika kuitafuta haki yao ya kikatiba ndani ya nchi yao. Kamanda Kilewo pole sana mana wazungu wanasema Charity begins at home lkn kwa bahati mbaya nyumbani kwako ni tofauti. Mwisho nikaushauri Kiongozi mzuri ni yule anayeweza kuiongoza familia yake kwa tamaduni za jamii husika. Sitarajii kuona wana same wakikuchagua kuwa mbunge wao huku wakiona mke wa mbunge wao akijidhalilisha kwenye mitandao ya kijamii. Ukishindwa Kumdhibiti mkeo Mpoto alisema Kuanza upya si ujinga.
wasaalam
Yule dada anafanya mambo ya ajabu sana fb anatuharibia jamii.Mkuu unatafuta matusi kutoka kwa yule bi mkubwa wa Kilewo.
Ameshashauriwa sana huko Facebook na wanaomshauri hupewa majibu ya karaha