Joti na tangazo la Tigo "Mzee Mwalubadu"

Joti na tangazo la Tigo "Mzee Mwalubadu"

Ila kuna kosa la muendelezo wa kisa yaani 'action continuity error' wakati wa kupeana boksi awali lilionekana Lipo mikononi mwa dereva hali bado mdada anamuongelesha hali akiwa ameshika boksi I.e wote wana boksi Mara ya pili akapewa tena hilo boksi.

Wewe una akili sana,hata mimi niliona hilo kosa.Alafu kosa lingine,dereva anataka kuonesha utani na boss wake kwa kulidondosha boksi tena mbele ya Boss,kitu ambacho hakipo kiuhalisia.
 
Hakika Tigo lile tangazo la Mzee Mwalubadu limekaa vizuri sana. Joti nae kabana matangazo hataki kutoa kolabo noma sana ila limependeza sana.

Wakuu, mnasemaje kuhusu hili tangazo?

Kuna makosa yalifanyika,inakuwaje Joti apewe boksi na boss wake alafu anafanya utani kama anataka kulidondosha?kidogo nimesoma management sioni kama kuna utani kati ya mtumwa na boss hasa kwenye mambo ya kiofisi kama ilivyo kwenye tangazo.
 
Haka kajamaa ni noma. Hiki ni kipaji tena halisi. Yaani kwenye Tangazo moja lakini kabeba uhusika wa sehemu tatu, Amecheza kama Boss mwanamama, then Kijana dereva na mwisho kacheza kama Babu mswahili.
 
me mambo ya kujifanya mwanamke ndo huwa linaponikera....
 
Ingependeza baadhi ya nafasi wakashirikishwa dada zetu. Haipendezi sana mwanaume kuigiza nafasi ya mwanamke.
 
hawa jamaa wa tigo mizengwe tu mtandao wao ni mbovu sana,semA tu namba yangu ya tigo ni nzuri sana iko very special sitaki kuipoteza ndio maana nimeshindwa kuukimbia huu mtandao!
To me ni suala la muda tu,kwakua ni business number,ila hawana muda mrefu sana nami
 
Kuna makosa yalifanyika,inakuwaje Joti apewe boksi na boss wake alafu anafanya utani kama anataka kulidondosha?kidogo nimesoma management sioni kama kuna utani kati ya mtumwa na boss hasa kwenye mambo ya kiofisi kama ilivyo kwenye tangazo.
alilipokea vibaya mkuu lilikuwa linamtaleza hakufanya utani
 
Ilikuwaje yule dereva akapotea na alishaelekezwa na babu
 
Watu wamekolezwA na mb8 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
ana joti kamfunika j milionea mzee wa vijisenti?.
 
Wewe una akili sana,hata mimi niliona hilo kosa.Alafu kosa lingine,dereva anataka kuonesha utani na boss wake kwa kulidondosha boksi tena mbele ya Boss,kitu ambacho hakipo kiuhalisia.

Sure mkuu,nadhani inatakiwa Kama wanausoma huu uzi warekebishe
 
Back
Top Bottom