Joti na tangazo la Tigo "Mzee Mwalubadu"

Joti na tangazo la Tigo "Mzee Mwalubadu"

Ila kuna kosa la muendelezo wa kisa yaani 'action continuity error' wakati wa kupeana boksi awali lilionekana Lipo mikononi mwa dereva hali bado mdada anamuongelesha hali akiwa ameshika boksi I.e wote wana boksi Mara ya pili akapewa tena hilo boksi.
 
Mie nimeacha kutumia mtandao wa tigo baada ya hili tangazo kwa kuogopa kupotea kwa maelekezo ya siyo sahihi.
 
Hivi wanafanyaje pale mtu m1 kuact sehemu mbili kwenye scene moja?
 
Hakika Tigo lile tangazo la Mzee Mwalubadu limekaa vizuri sana. Joti nae kabana matangazo hataki kutoa kolabo noma sana ila limependeza sana.

Wakuu, mnasemaje kuhusu hili tangazo?

Promo liko powa sana hili. Nadhani ni mpango wa Tigo kubana budget/matumizi. Maana wangetupia Kolabo la mtu kama Mpoki hivi, ingewa'cost (ni muhaya yule!). Hana shida na vijisenti. So,ingebidi tigo wafungue wallet vyakutosha!

NI MTAZAMO TU!
 
Promo liko powa sana hili. Nadhani ni mpango wa Tigo kubana budget/matumizi. Maana wangetupia Kolabo la mtu kama Mpoki hivi, ingewa'cost (ni muhaya yule!). Hana shida na vijisenti. So,ingebidi tigo wafungue wallet vyakutosha!

NI MTAZAMO TU!

ni kweli pale wamefanikiwa kubana matumiz mkuu
 
Kuuliza jero kuelekeza buku,mjini hapa hamna vya bure....tehe tehe tehe

mi kamanifurahisha baada ya kuelekezwa kakamwambia babu iende irudi noma sana.
 
  • Thanks
Reactions: lin
Ila kuna kosa la muendelezo wa kisa yaani 'action continuity error' wakati wa kupeana boksi awali lilionekana Lipo mikononi mwa dereva hali bado mdada anamuongelesha hali akiwa ameshika boksi I.e wote wana boksi Mara ya pili akapewa tena hilo boksi.

ngoja tulifuatilie tuone kama ni kweli
 
Back
Top Bottom