majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 813
Hakika Tigo lile tangazo la Mzee Mwalubadu limekaa vizuri sana. Joti nae kabana matangazo hataki kutoa kolabo noma sana ila limependeza sana.
Wakuu, mnasemaje kuhusu hili tangazo?
hapa mjini bwana, kuuliza jelo! kuelekezwa buku!