N he is boosting it slowly
Kwani huwa anatoa namba zake !! Au wanamfuata face to faceHuyu Jamaa atakuwa na hisia za kike kiasi maana tokea alipoanza kuigiza mdada basi ndio kakolea sana... nilisikia kuwa aliulizwa hasumbuliwi na mashababi yakitaka kumbandua akasema anasumbuliwa sana Swali mbona haachi?
Kikishakua hivo kinakua siyo kichekesho!! Hamuwez Cheka kama wakifanya vice versaJamii inategemea kupata burudani na elimu kutoka kwa kioo kama hiki cha jamii, kudharau mambo madogo madogo kama haya ndo jamii inazidi kuharibika. Ni vema scene ya mwanamke awekwe mwanamke na ya mwanaume awekwe mwanaume.
Mwanaume halisi utapendezewaje na kuwa mwanamke kwa kuigiza tu labda uwe unahormone za kikeKuact kama mwanamke yahitaji moyo sana
Waweza pendezewa na uanamke kabisa kabisa
Usije ukawa ndo mlaji mbona unamsifia mwanaume mwenzioHuyo jamaa naye kazidi mwishowe watamkula... alafu ana kiuno laini sana
Kweli umedhamiria kumtukana ngoja nikusaidieUpimbavi huu
Upumbavu wa hali ua juu
Punguza haraka mkuu.
Ngoja nikusaidie kuandika ulichotaka
UPUMBAVU WA HALI YA JUU
nimepatia mkuu?? au na mimi nimeenda chaka![]()
![]()
![]()
![]()
kabla sijaona hii comment yako nikamsaidia kumbe wewe ulishamsaidia