Joti hata kama ni Sanaa lakini...!

Joti hata kama ni Sanaa lakini...!

Hio ni sanaa na Anatafuta pesa hamna kingine, hapo mtihani wanao watoto wake wakikua na kukuta picha za mzee wao.
 
Yupo sawa na hiyo ndiyo maana ya comedy,kavaa kama msichana lakini kajisitiri.

Toeni boriti kwenye macho yenu kwanza.

Snura anavaa uchi.
Diamond anaimba matusi tupu.
Wema sepetu na Lulu wanavaa mpaka chupi zao na bikini zinaonekana hamsemi!
Wasanii wanavaa robo uchi na kucheza kanga moko hamsemj mnamsema aliyejisitiri!

Joto fanya kazi,elimisha jamii na pia mpende Mungu!
 
Kwani lazma amuweke shemeji hadharani!
Mshazoea ya Daimond na Wema na Skuizi haka katoto Idris?

Masanja aliwahi kumuweka mkewe hadharani?
 
Dah sure wenzake wameacha kitamboo yeye kangangania maana wore walikua wanaigiza kama madem ila sasa wameacha wengne wamepunguza hawa wanahamasisha ushoga kwa kias kikubwa her serikali iiingilie kati
 
Huyu jamaa nahisi ni elton john maana kitambo...... Alaf na mwingine yupo comedy ya EATV nae anapenda sana kuwa demu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom