WAKABAMBEE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 605
- 275
View attachment 421561...
Kila kitu kina kiasi chake! Ukipitiliza kiasi maswali yatakuwa mengi
/QUOTE]
MWENYEWE KAPENDEZA UNAONA WIVU, LAKINI NI JADI YENU KUWA NA WIVU ULIOPITILIZA!!!!!!!!!!!!!
View attachment 421561...
Kila kitu kina kiasi chake! Ukipitiliza kiasi maswali yatakuwa mengi
/QUOTE]
MWENYEWE KAPENDEZA UNAONA WIVU, LAKINI NI JADI YENU KUWA NA WIVU ULIOPITILIZA!!!!!!!!!!!!!
Jambo zuri lipi?Kiasi ni jambo nzuri
Mimi nashangaa sana baadhi ya wasanii wa bongo wa comedy, hivi uki-cross dress kuna uchekeshaji gani ndani yake??View attachment 421561...
Kila kitu kina kiasi chake! Ukipitiliza kiasi maswali yatakuwa mengi
Mwanaume wa dar katika ubora wakeWadada wa mjini wanajua kuvaa jamani mfano mzuri huyo hapo juu.
Kapendeza anafaa kuliwa na mchuzi
Yule ni total make over! Anavaa moulds!Unamfahamu MADEA!
una akili sanaAtakuwa anatumika kuhamasisha jinsia ya tatu.
Pesa wazee...Sio kama anapenda ila pesa ndio kila kitu, watu wanamuona mngese ila pengine huko ndiko kwenye maslahi zaidi. Times change na sanaa ndivyo ilivyo hata baadhi ya wale waliokuwa wana hiphop leo hii wanabana pua. Ni maisha tu na utafutaji ila sidhani kama Joti mtoto wa mjini anaweza kufikia stage ya kuliwa boga!
KiasiJambo zuri lipi?
View attachment 421561...
Kila kitu kina kiasi chake! Ukipitiliza kiasi maswali yatakuwa mengi