Joti hata kama ni Sanaa lakini...!

Joti hata kama ni Sanaa lakini...!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,140
Reaction score
859,420
1476980250234.jpg
...
Kila kitu kina kiasi chake! Ukipitiliza kiasi maswali yatakuwa mengi
 
Huyu Jamaa atakuwa na hisia za kike kiasi maana tokea alipoanza kuigiza mdada basi ndio kakolea sana... nilisikia kuwa aliulizwa hasumbuliwi na mashababi yakitaka kumbandua akasema anasumbuliwa sana Swali mbona haachi?
Anapenda
 
Jamii inategemea kupata burudani na elimu kutoka kwa kioo kama hiki cha jamii, kudharau mambo madogo madogo kama haya ndo jamii inazidi kuharibika. Ni vema scene ya mwanamke awekwe mwanamke na ya mwanaume awekwe mwanaume.
 
Back
Top Bottom