Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

Joshua Nassary ametoa pesa wapi ya kukodisha Helkopta?

wanabodi nawasalimu sana.

leo katika viwanja vya Seela Singisi mbunge Wa Meru ndugu Joshua Nasary anafanya mkutano Wa hadhara kusemea ilani ya chama chake aliyosimamia miaka takribani mitatu.

mosi karibu wiki mbili mbunge huyu amekuwa akifanya ziara zake kwa kutumia usafiri Wa helkopta katika kata 26 za hapa meru , napata mashaka na maswali kama mwananchi Wake kwamba gharama anayotumia kuzunguka na helkopta hii wakati wanameru wengi bado wanachangamoto kubwa sana kama ukosefu Wa Maji kama kata za Maroroni, kata ya Maji ya Chai , mathalani kijiji anachotoka hivi majuzi shule ya pale ilifungwa kwa ukosefu Wa vyoo.

aghalabu mbunge huyu kakodisha helkopta hii toka nchini Kenya sasa swali la logic inakuwaje gharama ya hizi helkopta asielekeze kutoa misaada kwenye maeneo yenye changamoto kama miundombinu ya barabara n.k

kaleta ambulance bado hajazikabidhi kwa Mkurugenzi Wa haashauri ya Meru ndugu Mallya, mganga Mkuu Wa Wilaya bado hana taarifa ya hizi ambulance , wananchi wanashangaa tu zinapiga ruti kama daladala.

naomba wanaomshauri Nasary wamshauri vizuri.

Ulitaka atembee kwa miguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!
 
Akili nyingine za hovyo sana. Unakaa unawaza Nassari katowa wapi pesa? Wewe unapata wapi hela? Umeona nassari tu ndo ambaye anakuweka macho unataka ujuwe kapata wapi hela? Jinga sana.
 
Akili nyingine za hovyo sana. Unakaa unawaza Nassari katowa wapi pesa? Wewe unapata wapi hela? Umeona nassari tu ndo ambaye anakuweka macho unataka ujuwe kapata wapi hela? Jinga sana.

Mimi ni mwanachi Wake Nina haki ya kumhoji mbunge wangu kuhusu matumizi mabovu ya pesa zetu ambazo ni kodi zetu.

Mwenyekiti Wa Wilaya Wa Ccm kaumizwa sana na mbunge huyu kutumia helkpta wakati wananchi wanateseka hapa Meru.
 
Kumbe ndio hivyo mkuu, asante kwa taarifa, basi atazaa bila mimba mwaka huu!!
 
swali je hizo pesa kazipata wapi kwa mbunge Wa juzi juzi mchanga namna hii.

Umeshajibiwa zimetoka hizo pesa ametoa kwa mama yako.mwanaume kama @mmranguoriginal kuwa tabia za umbea umbea kama hizi nakuwa na wasi wasi na jinsia yako.
 
kwani hela za kukodi helikopta ni zake au za serikali? sasa ni kipindi cha kujipanga kwa campaign. labda kama unataka asirejee ubunge!
 
Mimi ni mwanachi Wake Nina haki ya kumhoji mbunge wangu kuhusu matumizi mabovu ya pesa zetu ambazo ni kodi zetu.

Mwenyekiti Wa Wilaya Wa Ccm kaumizwa sana na mbunge huyu kutumia helkpta wakati wananchi wanateseka hapa Meru.
Pesa amepewa na mama yako una swali lingine?
 
kuna siku utauliza Diamondi katoa wapi fedha za kukodi helkopta!!! Ukiona vipi muulize mkeo atakwambia.
 
wanabodi nawasalimu sana.

leo katika viwanja vya Seela Singisi mbunge Wa Meru ndugu Joshua Nasary anafanya mkutano Wa hadhara kusemea ilani ya chama chake aliyosimamia miaka takribani mitatu.

mosi karibu wiki mbili mbunge huyu amekuwa akifanya ziara zake kwa kutumia usafiri Wa helkopta katika kata 26 za hapa meru , napata mashaka na maswali kama mwananchi Wake kwamba gharama anayotumia kuzunguka na helkopta hii wakati wanameru wengi bado wanachangamoto kubwa sana kama ukosefu Wa Maji kama kata za Maroroni, kata ya Maji ya Chai , mathalani kijiji anachotoka hivi majuzi shule ya pale ilifungwa kwa ukosefu Wa vyoo.

aghalabu mbunge huyu kakodisha helkopta hii toka nchini Kenya sasa swali la logic inakuwaje gharama ya hizi helkopta asielekeze kutoa misaada kwenye maeneo yenye changamoto kama miundombinu ya barabara n.k

kaleta ambulance bado hajazikabidhi kwa Mkurugenzi Wa haashauri ya Meru ndugu Mallya, mganga Mkuu Wa Wilaya bado hana taarifa ya hizi ambulance , wananchi wanashangaa tu zinapiga ruti kama daladala.

naomba wanaomshauri Nasary wamshauri vizuri , na sisi tunaposema hatuna chuki Bali kukumbushana majukumu.

Nawasilisha.
Zinapiga ruti kutoka wapi kwenda wapi? Je, umeshauliza kujua ni kwanini mkurugenzi hajakabidhiwa hizo gari?
 
Mimi ni mwanachi Wake Nina haki ya kumhoji mbunge wangu kuhusu matumizi mabovu ya pesa zetu ambazo ni kodi zetu.

Mwenyekiti Wa Wilaya Wa Ccm kaumizwa sana na mbunge huyu kutumia helkpta wakati wananchi wanateseka hapa Meru.
Mwenyekiti wako anaumizwa yeye alifanya nini kipindi chote cha utawala wa chama chenu?
 
Mimi ni mwanachi Wake Nina haki ya kumhoji mbunge wangu kuhusu matumizi mabovu ya pesa zetu ambazo ni kodi zetu.

Mwenyekiti Wa Wilaya Wa Ccm kaumizwa sana na mbunge huyu kutumia helkpta wakati wananchi wanateseka hapa Meru.
Hapo kwenye red ndo umeharibu. Hayo maccccmmm ndo yamefisadi hela kuanzia epa, richmond na juzi mmegawana za escrow halafu umekaa kimya. Kwani wakati mnagawana mabilion wananchi wa meru hawakuwa wanateseka? Unanitafutia ban.
 
Hapo kwenye red ndo umeharibu. Hayo maccccmmm ndo yamefisadi hela kuanzia epa, richmond na juzi mmegawana za escrow halafu umekaa kimya. Kwani wakati mnagawana mabilion wananchi wa meru hawakuwa wanateseka? Unanitafutia ban.

Nasary katudhalilisha sana kama kijana kuwa na matumizi mabovu kwa jimbo lenye changamoto kama Meru.
 
Mwenyekiti wako anaumizwa yeye alifanya nini kipindi chote cha utawala wa chama chenu?

mambo ambayo Nasary anayaendeleza mengi amechukua kwa marehemu Mzee Sumari , lakini la helkopta katia aibu kwa mbunge mchanga hivi ndio matumizi mabaya ya mfuko Wa jimbo hayo.
 
Zinapiga ruti kutoka wapi kwenda wapi? Je, umeshauliza kujua ni kwanini mkurugenzi hajakabidhiwa hizo gari?

hizi ambulance za nasary zinapiga ruti Tengeru hadi Maji ya Chai, Katibu Wa Ccm Wilaya alilisemea kwenye kikao kwa huzuni sana.
 
Umeshajibiwa zimetoka hizo pesa ametoa kwa mama yako.mwanaume kama @mmranguoriginal kuwa tabia za umbea umbea kama hizi nakuwa na wasi wasi na jinsia yako.

una njaa sana njoo hapa kwa donii upate lunch
 
Back
Top Bottom